Hivi Wanachama wenzangu wa Yanga SC tunasubiri nini Kumbutua (Kumuondoa) Injinia Hersi na GSM yake?

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Apr 2, 2015
8,011
16,748
Hakuna asiyejua kuwa All - Rounder ni mwana Yanga SC tena mwenye Umiliki wa Kadi yangu namba 357....13.

Nawaombeni wana Yanga SC wote mlioko JF hebu kuanzia Kesho Alhamisi tuungane Jangwani ili tushinikize GSM na Injinia Hersi watuachie Time yetu haraka iwezekanavyo.

Nataka tuwalazimishe hawa GSM na Injinia Hersi wao waondoke ili ama Timu yetu tumuombe Mwekezaji wa Simba Mo Dewji aichukue au tumkodishe Yanga SC yetu ili Mo Dewji atufanyie Mambo makubwa kama ayafanyayo kwa Simba SC hadi wengine Wivu unatuuma na hata Kujisikia vibaya na Yanga SC yetu.

Yanga SC oyeeeee, nyuma mwiko daima mbelee. Tumeipenda Wenyewe wacheni (acheni) ituue tu Kudadadeki ila GSM na Injinia Hersi wao hatuwataki tena ndani ya Klabu yetu tafadhali ila tunamtaka Mwekezaji wa Simba SC Mo Dewji awekeze Yanga SC.

Wanayanga SC wenzangu msiponisikiliza na Kufanya hiki ninachosema kuanzia leo hii All - Rounder nahamia Simba SC kwani naona wana Uongozi mahiri na Madhubuti na pia Wakishinda Mechi zao zote za Viporo watawazidi Yanga SC kwa alama ( points ) Saba ( 7 ) na Kuelekea kuwa Bingwa wa 2020 / 2021 Vodacom Premier League.
 
Huo ndio mzizi wa matatizo.Magarasa usajili wewe halafu lawama za matokeo wapokee wengine
Na Kinachonishangaza Injinia Hersi nimekuwa nae Mitaa ya Kariakoo na Ilala huku Tajiri Mwenyewe Gharib Said Mohammed ( GSM ) nawajua wote hawa ni Simba SC haswa.

Tena huyu GSM mwaka Juzi alitaka Kuidhamini Simba SC ila ghafla akashauriwa aje Kwetu Mazuzu FC ( Yanga SC ) ili atufadhili kisha atengeneze Mfumo wa Kumtegemea na apewe Nembo ya Yanga SC ili aitumie Kupiga Hela na kweli Mwarabu huyu Katuweza Wanayanga kwani ameshatunyonya vya kutosha.

Wanayanga tuandamane upesi tuwatoe.
 
Na Kinachonishangaza Injinia Hersi nimekuwa nae Mitaa ya Kariakoo na Ilala huku Tajiri Mwenyewe Gharib Said Mohammed ( GSM ) nawajua wote hawa ni Simba SC haswa.

Tena huyu GSM mwaka Juzi alitaka Kuidhamini Simba SC ila ghafla akashauriwa aje Kwetu Mazuzu FC ( Yanga SC ) ili atufadhili kisha atengeneze Mfumo wa Kumtegemea na apewe Nembo ya Yanga SC ili aitumie Kupiga Hela na kweli Mwarabu huyu Katuweza Wanayanga kwani ameshatunyonya vya kutosha.

Wanayanga tuandamane upesi tuwatoe.
Wewe pakashume unazingua.
 
Na Kinachonishangaza Injinia Hersi nimekuwa nae Mitaa ya Kariakoo na Ilala huku Tajiri Mwenyewe Gharib Said Mohammed ( GSM ) nawajua wote hawa ni Simba SC haswa.

Tena huyu GSM mwaka Juzi alitaka Kuidhamini Simba SC ila ghafla akashauriwa aje Kwetu Mazuzu FC ( Yanga SC ) ili atufadhili kisha atengeneze Mfumo wa Kumtegemea na apewe Nembo ya Yanga SC ili aitumie Kupiga Hela na kweli Mwarabu huyu Katuweza Wanayanga kwani ameshatunyonya vya kutosha.

Wanayanga tuandamane upesi tuwatoe.
Uwekezaji kwenye timu unaangalia unapata nin na sio mapenzi ya club acha ushamba kijana, yaan niache kuwekeza Yanga kwa sababu mim ni mshabiki wa Simba ntakua zwazwa
 
Hakuna asiyejua kuwa All - Rounder ni mwana Yanga SC tena mwenye Umiliki wa Kadi yangu namba 357....13.

Nawaombeni wana Yanga SC wote mlioko JF hebu kuanzia Kesho Alhamisi tuungane Jangwani ili tushinikize GSM na Injinia Hersi watuachie Time yetu haraka iwezekanavyo.

Nataka tuwalazimishe hawa GSM na Injinia Hersi wao waondoke ili ama Timu yetu tumuombe Mwekezaji wa Simba Mo Dewji aichukue au tumkodishe Yanga SC yetu ili Mo Dewji atufanyie Mambo makubwa kama ayafanyayo kwa Simba SC hadi wengine Wivu unatuuma na hata Kujisikia vibaya na Yanga SC yetu.

Yanga SC oyeeeee, nyuma mwiko daima mbelee. Tumeipenda Wenyewe wacheni (acheni) ituue tu Kudadadeki ila GSM na Injinia Hersi wao hatuwataki tena ndani ya Klabu yetu tafadhali ila tunamtaka Mwekezaji wa Simba SC Mo Dewji awekeze Yanga SC.

Wanayanga SC wenzangu msiponisikiliza na Kufanya hiki ninachosema kuanzia leo hii All - Rounder nahamia Simba SC kwani naona wana Uongozi mahiri na Madhubuti na pia Wakishinda Mechi zao zote za Viporo watawazidi Yanga SC kwa alama ( points ) Saba ( 7 ) na Kuelekea kuwa Bingwa wa 2020 / 2021 Vodacom Premier League.
Nakumbuka mtu wa mwisho kuleta shobo kwa mashabiki wa wananchi alibanduliwa mchana kweupe peeee
 
Kiini cha tatizo hapo kidimbwini ni huyu chapombe
IMG-20210312-WA0007.jpg
 
Back
Top Bottom