Kinachosababisha wachezaji wa timu kama Kagera, coastal na polisi wacheze kwa bidii na ari ni hamasa ya benchi la ufundi kwa wachezaji wao kitu ambacho kaze hawezi ila Zahera anakiweza.siku ya derby tunamfukuzisha kocha mtakayemleta kwa magoli nane bila
Hamna jeuri hiyo. Yanga hata iwe mbovu vipi, ikikutana na mwamedi fc hubadilika na kucheza vizuri. Mfano mzuri ni mwezi January walipo waduwaza kwenye fainali ya Kombe la Mapinduzi kwa kuchukua ubingwa na nyinyi kushika nafasi pili.siku ya derby tunamfukuzisha kocha mtakayemleta kwa magoli nane bila
Lile birika lenu la kuvutia shisha hivi limewasaidia nini?Hamna jeuri hiyo. Yanga hata iwe mbovu vipi, ikikutana na mwamedi fc hubadilika na kucheza vizuri. Mfano mzuri ni mwezi January walipo waduwaza kwenye fainali ya Kombe la Mapinduzi kwa kuchukua ubingwa na nyinyi kushika nafasi pili.