yanga

Young Africans Sports Club (maarufu kama Yanga ni Timu ya Soka nchini Tanzania iliyoanzishwa mnamo mwaka 1935.

Jina la utani wanajulikana kama Timu ya Wananchi (Wananchi) au Wanajangwani.
  1. kavulata

    Yanga tuambieni Carlinhos yuko wapi?

    Mbona hachezi wala kuwepo kwenye benchi, Anaumwa nini hadi lini? ameuzwa wapi? ametolewa kwa mkopo timu gani?, mmeshindwana mshahara? Kiwango chake kiko chini? Haya ni maswali sisi wadau tunajiuliza
  2. B

    Vilabu vya Simba, Azam na Yanga kuna hela

    Wanabodi kwa takribani miaka mingi sasa Simba, Yanga na Ujio wa Azam kumekuwa na tatizo la kifedha kwa vilabu kama Simba na Yanga. Lakini ujio wa MO simba na GSM kwa yanga inaoneakana kuna uhai kidogo. Azam wao wako vzr tangu mwanzo. Me naamini kabisa Simba au Yanga wanahela zipo kwa wapenzi...
  3. fundi msati

    Muongozo wa kuanzisha tawi la Yanga SC

    HABARI WADAU, Hususan viongozi, wanachama, wapenzi na mashabiki wa timu ya yanga na wapenda michezo kwajumla. Sisi tunakusudia kuanzisha tawi la yanga hapa maeneo yetu ila naomba anayejua taratibu za kufuatwa ili tawi litambulike na mambo mengi mengine kama uzoefu, sheria, taratibu na haki za...
  4. J

    Je, ni Uzalendo mashabiki wa Yanga kwenda kuwapokea washindani wa Simba kutoka Nigeria pale JNIA?

    Kupitia runinga ya ITV wameonekana mashabiki wa Yanga wakiwapokea timu pinzani na Simba kutoka Nigeria katika uwanja wa ndege wa Julius Nyerere. Nauliza tu kwenu wanasiasa kitendo hiki kilichofanywa na mashabiki wa Yanga kina chembe ya uzalendo? Maendeleo hayana vyama!
  5. GENTAMYCINE

    Wewe Kiongozi Mwandamizi wa Yanga SC unayepanga Kuwapa Ushirikiano Plateau United wakija kuwa Makini sana!

    Leo sikutaji kwani nakustahi sana tu kwakuwa nakujua una tatizo Kubwa la Presha na hilo Tumbo lako Kubwa ila kaa mbali na Plateau United oky?
  6. GENTAMYCINE

    Mdogo wangu Mchezaji Balama Mapinduzi nani alikudanganya kuwa Klabu ya Yanga inajua Kujali na Kulipa Fadhila?

    Siku hizi hata simu zangu viongozi hawapokei na wengine wame niblock kabisa zaidi na ambiwa tu kua nikipona nitafute timu nyingine sina tena nafasi."Balama Mapinduzi. Chanzo: simbascdaily Na bahati mbaya sana Mdogo wangu najua hilo Jeraha ni Kipapai ( Kurogwa ) na Mchezaji aliyekimbia Marekani...
  7. Petro E. Mselewa

    Ukweli unaokereketa: AC Milan na Yanga ni klabu pekee ulimwenguni ambazo hadi sasa hazijafungwa kwenye ligi zao

    Huo ndiyo ukweli. Hongereni sana Yanga na miamba ya soka ya Ulaya na dunia AC Milan. Mwenyezi Mungu aendelee kuwalinda na kuwaongoza katika kuilinda rekodi hii ya kuvutia. Yanga: Daima Mbele, Nyuma Mwiko!
  8. GENTAMYCINE

    Msemaji wa Simba SC Haji Manara Siku zingine uache Kiherehere cha Kumsifia Mchezaji Mnafiki wa Azam FC Aboubakary Salum 'Sure Boy' mwenye Uyanga mno!

    Nilikushangaa sana Wiki hii nzima nilipokuwa kila nikipitia Kurasa zako za Mitandaoni na ukawa unamsifia kwa Mikogo yote huku ukimpamba mno Mchezaji wa Kiungo wa Azam FC Aboubakary Salum 'Sure Boy' tena ukimtia Ndimu kabisa ( ukimchochea ) kuwa katika Mechi ya Leo dhidi ya Yanga SC apambane na...
  9. Kipenzi Changu

    Vodacom Premier League: Yanga yaichapa Azam 1-0 na kukamata usukani wa ligi

    Yanga leo wamekwea daladala kuelekea Chamazi wakipitia Mbagala kucheza na Azam FC. Mechi itaanza saa moja jioni. Dube atakuwepo. Sure Boy atakuwepo shimoni pale. Usiondoke Mashine za Azam Matokeo Goli lililofungwa na Deus Kaseke katika dakika ya 49, lilitosha kufanya Yanga kuchukua points...
  10. GENTAMYCINE

    Taarifa kamili kuhusu kuwasili kwa klabu zetu za Simba na Yanga katika Michuano ya Kimataifa na ile ya Kienyeji

    Simba SC Hadi hivi sasa Kikosi cha Mabingwa Watetezi wa VPL Simba SC kimefika salama nchini Erthiopia ambapo leo ( usiku ) huu kitalala katika Hotel ya Sheraton hadi Kesho tayari kwa safari ya kwenda Abuja nchini Nigeria kwa Ndege ya Kukodi ya Kifahari ambayo hata Klabu za FC Barcelona na...
  11. GENTAMYCINE

    Mtangazaji Maulid Kitenge mwenye Mahaba yasiyojificha na yaliyopitiliza kwa Yanga SC badilika kwani tumekuvumilia vya Kutosha

    Haiwezekani Wewe 24/7 tu Utangazaji wako uwapo hapo Wasafi FM kwa Kushirikiana na Mpuuzi mwenzio Yusuph Mkule nyie Kazi yenu Kuu ni kutafuta tu negative angle ya Kuihusu Simba SC na Kuichafua. Mimi huwa ni mgumu sana Kumsema (Kumnanga) Mtu ila ukiona hadi hivi leo nimekuanzishia hapa JamiiForums...
  12. GENTAMYCINE

    Yanga SC 'mtatukoma' Simba SC, kwani huyu tunayeenda 'Kumsajili' sasa Mukoko Tonombe wenu 'anasubiri' sana

    Kiingereza Tanzania's Giant Club and VPL Champions Simba SC have lined up Kaiser Chiefs and Kenyan international midfielder Anthony Teddy Akumu as the perfect replacement of Brazilian Gérson Fraga Vieira who was ruled out of the season after sustaining an injury. The Tanzania champions are...
  13. Kipenzi Changu

    Yanga kuiga Simba Sc ni jambo zuri, ila kuweni makini

    Sio Press realese Ni Press release
  14. Infantry Soldier

    Tanzania Premier League: Kuna ulazima wa klabu moja wapo (Simba au Yanga) iondoke Dar na kuhamia Arusha au Mwanza ili kuongeza ladha ya mchezo wa soka

    Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa humu jamiiforums. Ndugu zangu watanzania mimi binafsi ninadhani; Kuna umuhimu wa klabu moja wapo kubwa (Simba au Yanga) kuondoka Dar na kuhamia majiji mengine makubwa kama Arusha au Mwanza ili kuongeza ladha ya mchezo wa soka katika Tanzania...
  15. GENTAMYCINE

    Taifa Stars ya Jana wangepangwa Wachezaji wengi ya Yanga SC tungefungwa hata Goli / Bao 15 Hongera Kocha

    Huwezi ukawa na Timu ya Taifa yenye Wachezaji mahiri wa Klabu ya Simba SC kama akina Manula, Kapombe, Tshabalala, Nyoni, Mkude na Boko halafu ukafungwa Goli / Bao nyingi na Timu yoyote ile. Hongera sana Kocha wa Taifa Stars Ndayiragije kwa Kutupangia Wachezaji wengi wa Timu yangu bora ya Simba...
  16. Little brain

    Nimeamini Yanga wanabebwa aisee

    Leo zime tolewa tuzo za mwezi September.. kama kawaida yao kocha Bora Cedric kaze katoka Yanga.. mchezaji bora Serge Mukoko22 katoka yanga.. duh hapa najiuliza yaani biriani lote simba tunalo cheza tikitaka, pasi kisigino hakuna hata mchezaji wala kocha alie kuwepo hata kwenye list ya wanao...
  17. HPAUL

    Kesi mbili za Yanga kuhusu Morrison zimefikia wapi?

    Mwezi wa nane mwaka huu Yanga walituaminisha kuwa wamekata rufaa FIFA katika kiengo cha CAS kupinga kitendo cha kamati ya TFF kuamua kuwa mkataba wa miaka miwili na Morrison ni batili. Baadaye Yanga kupitia Mwakalebela ikaibuka na kesi mpya kudai usajili wa Morrison Simba haukukamilika. Je...
  18. Mdau jf

    Kwanini watangazaji na wachambuzi wengi wa mpira ni Yanga?

    Kwa research niliyo ifanya mtandaoni hususani instagram, pamoja na radion (kupitia vipindi vya michezo) nimegundua watangazaji na wachambuzi wa mpira wengi wao ni YANGA. mf. pale wasafi sports Arena wote wale ni jangwani, EFM ukiondoa Ibrahim Maestro walio baki wote ni yanga, CLOUDS ndiyo...
  19. mugah di matheo

    Yanga kushushwa daraja?

    Senzo yupo ndani kwa tuhuma za kuhujumu simba Inasemekana alipeleka pesa kwa wachezaji wa simba ili wapoteze mechi dhidi ya prison. Ikibainika ni hivyo itahesabiwa ni upangaji wa matokeo na adhabu yake huwa ni kushushwa madaraka mawili chini kama ilivyofanyika kwa Juventus miaka ya 2005/6 Na...
Back
Top Bottom