kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 4,289
- 8,285
Wiki nzima kuelekea Mechi kubwa na El Merrekh ugenini sijaona wala kusikia mwana Yanga yeyote akileta yale Masihara ya mnaenda kupigwa 'Hamsa'..!
Nikajiuliza hii maana yake ni nini? Majibu yake ni haya, kwanza wamejiridhisha pasi na shaka Simba hii sio ya kispoti spoti inaweza kushinda popote.Pili jinsi ligi ya VPL na Kombe la shirikisho(ASFC) inavyokwenda kuna uwezekano mkubwa wa kutoambulia chochote msimu huu...! Sasa wapi pa kuponea? Inabidi kuunganisha nguvu kumsapoti Mnyama ili zile nafasi za CAF kuingiza timu 4 zipatikane....! Ya Mungu Mengi huwezi jua yawezekana hawa hawa kina Sarpong na Fiston wakasaidia JAPO nafasi 1 kati ya zile 4 ikaangukia timu ya Yanga...! Na sisi sote ni waTz wazalendo,kwa hili tunawaunga mkono Yanga..Bravo Yanga. Maana hakuna maana kuendelea kujidanganya 'Eti tutapata Ubingwa'..kwa mwendo huu.
Nikajiuliza hii maana yake ni nini? Majibu yake ni haya, kwanza wamejiridhisha pasi na shaka Simba hii sio ya kispoti spoti inaweza kushinda popote.Pili jinsi ligi ya VPL na Kombe la shirikisho(ASFC) inavyokwenda kuna uwezekano mkubwa wa kutoambulia chochote msimu huu...! Sasa wapi pa kuponea? Inabidi kuunganisha nguvu kumsapoti Mnyama ili zile nafasi za CAF kuingiza timu 4 zipatikane....! Ya Mungu Mengi huwezi jua yawezekana hawa hawa kina Sarpong na Fiston wakasaidia JAPO nafasi 1 kati ya zile 4 ikaangukia timu ya Yanga...! Na sisi sote ni waTz wazalendo,kwa hili tunawaunga mkono Yanga..Bravo Yanga. Maana hakuna maana kuendelea kujidanganya 'Eti tutapata Ubingwa'..kwa mwendo huu.