wydad

Wydad Athletic Club (Arabic: نادي الوداد الرياضي), commonly referred to as Wydad AC and known as Wydad, Wydad Casablanca, or simply as WAC, is a Moroccan professional sports club based in Casablanca. Wydad AC is best known for its professional football team that competes in Botola, the top tier of the Moroccan football league system, they are one of three clubs to have never been relegated from the top flight.
Founded on 8 May 1937 by seven Moroccans belonging the national movement for independence, led by Mohamed Benjelloun Touimi. They initially focused on water polo to give indigenous Moroccans the right to access swimming pools before Mohamed Ben Lahcen Affani – also known by the nickname of "Père Jégo" ("Father Jégo") – created the football section in 1939, he was the first manager of the team. The club has traditionally worn a red home kit since inception.
Domestically, Wydad has won a record of 22 Moroccan league titles, 9 Moroccan Throne Cups and 7 National Super Cup, becoming the most titled club in Morocco. In continental and international competitions, the club has won three CAF Champions Leagues, one African Cup Winners' Cup, one CAF Super Cup, one Afro-Asian Club Championship, one Mohammed V Trophy, one Arab Club Champions Cup, one Arab Super Cup, three North African Championship Cup and one North African Cup.
The club also competes in basketball, handball, field hockey, cycle sport, volleyball, and rugby. Wydad also holds rivalry with AS FAR.

View More On Wikipedia.org
  1. kavulata

    Simba haikucheza vizuri, Wydad ni mbovu na kutafuta namba kwa Benchika

    Anaesema Simba ilicheza vizuri dhidi ya Wydad ninamshangaa sana tena sana. Wydad kufungwa na kila timu kwenye mechi mbili za kundi lake kuliwapa matumaini wachezaji wa Simba kuwa hata wao wangeweza kuifunga Wydad, hivyo walijitahidi tu kucheza mbele ya kocha wao mpya ili wapate matokeo pia kama...
  2. F

    Simba aruhusiwe kucheza mechi vs Wydad ianze saa tisa kwa Mkapa kwenye jua. Kama Mamelodi anavyoanza mechi zake na Waarabu saa tisa kwenye jua

    Habari wadau. wiki ijayo simba anarudiana na Wydad kwa mkapa. Ni vizuri mechi hiyo ianze saa tisa jua bado kaii ili iishe saa 11 kasoro jua bado halijazama pia Hii mbinu anaitumia Mamelodi Sundown anapocheza na waarabu , waarabu hawajazoea kucheza kwenye jua Kama CAF wanairuhusu Mamelodi...
  3. SankaraBoukaka

    Kila timu inaruhusu goli ila janga kubwa SIMBA ni ufungaji..

    Kila timu duniani inaruhusu goli ila janga KUBWA Simba ni kushindwa kufunga magoli pamoja na nafasi nyingi zinazotengenezwa. Mechi na Wydad kama tungekuwa na washambuliaji wanaojielewa ilikuwa mapema sana ushindi... Nafasi nyingi zilipatikana ila uwezo mdogo nakukosa umakini kunasababishwa na...
  4. D

    Yanga na Wydad are useless teams upfront

    i watched the 2 games. Makocha wa hizi team wote Awana objective football . Useless in attack . Kama wanashinda watoa nje . Kwa yanga it’s worse than wydad . Yanga amna kitu wanaweza useless team in this champions league . Very disorganized attack. I believe watatoka wa Mwisho kwenye magroup...
  5. Suley2019

    FT: Wydad AC 1 - 0 Simba SC | CAFCL | Stade de Marrakech | 09.12.2023

    Leo tarehe 09/12/2023 saa 4:00 usiku timu ya Simba kutokea Tanzania itakuwa na kibarua ugenini kucheza dhidi ya Wydad AC ya Morocco Jijini Marrakech. Hii itakuwa mechi ya tatu hatua ya makundi CAFCL. Katika kundi B Wydad AC ndiyo timu pekee ambayo haina pointi hadi sasa baada ya kufungwa mechi...
  6. M

    Ili Kutinga Robo Fainali CCL Simba Inalazimika kumvua Ubingwa Wydad Casablanca!

    Huu ni ukweli Mchungu! Simba wiki 2 zijazo ina kibarua kigumu!itakutana na Wydad mara mbili wiki ijayo! Mechi hizi zitakuwa ni ngumu mno Kwa Simba! Hii inatokana na ukweli kuwa ndio mechi zitakazoamua Ima Simba aende Robo Fainali au Wydad ajenge matumaininya kuingia Robo Fainali na kuendelea...
  7. M

    Ili Kutinga Robo Fainali CCL Simba Inalazimikmkumbua Ubingwa Wydad Casablanca!

    Huu ni ukweli Mchungu! Simba wiki 2 zijazo ina kibarua kigumu!itakutana na Wydad mara mbili wiki ijayo! Mechi hizi zitakuwa ni ngumu mno Kwa Simba! Hii inatokana na ukweli kuwa ndio mechi zitakazoamua Ima Simba aende Robo Fainali au Wydad ajenge matumaininya kuingia Robo Fainali na kuendelea...
  8. E

    Asec Momosas 0 -0 Wydad CAF Champions League | 02-12-2023

    Game imeanza kuchezwaa mda huu.
  9. C

    Kuicheka Simba SC kutoka Sare na Kutoishangaa Wydad FC Bingwa Mtetezi kufungwa ni Uwendawazimu mkubwa

    Tafadhali naomba niwekewe hapa Jedwali la matokeo ya Mechi za Kwanza za Makundi ya Simba na Yanga ili nijue nani ni Mwanaume hasa na nani ni Mwanamke ( wa Kikeni ) hasa katika Mchezo wa Mpira wa Miguu.
  10. JanguKamaJangu

    Wydad wachapika nyumbani 1-0, wamepigwa na Jwaneng Galaxy ambao watacheza na Simba

    Msimamo ulivyo baada ya mechi za kwanza kwa timu zote za Group B
  11. Palestine Will be free

    Kila la heri Wydad Casablanca

    Kila la heri Wydad Casablanca, nawaombea ushindi dhidi ya mamelodi, wale mashabiki wa Wydad tujuane hapa Free palestine 🇵🇸
  12. OMOYOGWANE

    Wydad ni mamelod iliyochangamka SIMBA mjipange

    Naandika kabla ya mechi ya fainali, Wana kocha bora kabisa ADIL RAMZ ambaye amewahi kuwa kocha msaidizi AJAX ya amsterdam, Wana mawinga viberenge wanakimbia kwa kukata upepo, mabeki hatari, washambuliaji hatari mpaka kipa ni wa viwango vya SGR. Wanaweza kucheza mpira wa chini na wajuu, tena...
  13. Emilio Mzena

    FT: Mamelodi Sundowns 2-0 Wydad (Agg: 3-2)AC | African Football League Final | 2nd Leg | Loftus Versfeld Stadium | 12.11.2023. Mamelodi bingwa

    Leo kunapigwa mchezo wa Fainali ya African Football League mkondo wa pili. Ni Mamelodi Sundowns Vs Wydad Athletic Club saa 10:00 jioni katika dimba la Loftus Versfeld jijini Pretoria. Katika mkondo wa kwanza Wydad alishinda 2-1. Leo kazi ni moja tu kwa Mamelodi kuibuka na ushindi na kutwaa...
  14. Scars

    FT: AFL Final 1st leg: Wydad AC 2 -1 Mamelody Sundowns | Stade Mohammed | tarehe 05.11.2023

    Muda sasa wa kuangalia mechi bora (mambo ya NBC hapa hayahusiki) mechi inapigwa muda huu saa 21:00 Karibuni kwa updates
  15. B

    FT: Enyimba 0-1 Wydad AC In African Football League

    22 October 2023 Enyimba Vs Wydad AC in Aftican Football League ENYIMBA 0 - 1 WAC Dakika 3' mchezo unaendelea magharib ya leo Dakika 7' Kona kuelekea Enyimba Dakika 10' hizi za mwanzo Wydad inaonesha uchu wa ushindi Dakika ya 11' Mbouma namba 15 mgongoni wa Enyimba anapata nafasi lakini apiga...
  16. Lupweko

    Uelekeo wa pots za Draw ya CAF Champions League 2023/24

    Pot 1: Al Ahly Wydad AC Espérance de Tunis Mamelodi Sundowns Pot 2: CR Belouizdad Pyramids Simba Petro de Luanda Pot 3: TP Mazembe Al Hilal Young Africans ASEC Mimosas Pot 4: Étoile du Sahel Jwaneng Galaxy Nouadhibou Medeama NB: 1. Kuna baadhi ya mechi (tatu) zinaendelea, ila...
  17. John Gregory

    Simba iliwezaje kufungwa na timu mbovu Wydad AC? Hakika Ingekuwa Yanga taifa lingekuwa fainali

    Baada ya kutazama mchezo wa fainali baina ya Wydad AC ambao walikuwa nyumbani dhidi ya Al ahly, Nimesikitika na kushangaa sana kwanini mpaka sasa Tanzania hatuna kombe la Afrika.Hawa Wydad kwa mpira waliocheza najaribu kufikiria endapo wangekutana hata na USM Algers hakika wangechezea nyingi...
  18. Munch wa Annabelle

    Je, wajua kwamba mechi ya Al ahly na Wydad ilikua ni saa 2 usiku?

     Kwann kulikua na jua wakati ni usku? ili ndo swali wengi wamejiuliza. Jibu ni hili Watu wanaoishi katika eneo la North Pole, au karibu na eneo hilo, wanakabiliwa na hali ya kipekee inayoitwa "Msimu wa Mvua". Wakati wa msimu wa joto, ambao ni takriban miezi sita kutoka Machi hadi Septemba...
  19. GENTAMYCINE

    Wydad Athletic FC wakiwa Mabingwa wa CAFCL basi Klabu ya Simba SC inapaswa Kuheshimiwa mno Tanzania

    Ukiwa na Akili timamu utanielewa kwanini nimesema hivi ila ukiwa Masikini wa Fikra / Akili hutonielewa kamwe. Bado Simba SC itaendelea kuwa Klabu Kubwa na yenye Hadhi ya Juu kuliko Timu nyingine yoyote hapa nchini Tanzania na Afrika Mashariki nzima.
  20. Scars

    CAF Champion league Second Leg Final: Wydad Ac 1-1 Al Ahly Sc |Mohammed V

    Muda wa kunyoana. Baada ya First leg kutamatika kwa Al Ahly kutoka na ushindi wa mabao 2-1 leo ni fainali ya pili itayokwenda kutangaza Bingwa Mechi ni saa 4 Vikosi kwa timu zote mbili Wydad Al Ahly
Back
Top Bottom