kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,317
- 12,617
Anaesema Simba ilicheza vizuri dhidi ya Wydad ninamshangaa sana tena sana.
Wydad kufungwa na kila timu kwenye mechi mbili za kundi lake kuliwapa matumaini wachezaji wa Simba kuwa hata wao wangeweza kuifunga Wydad, hivyo walijitahidi tu kucheza mbele ya kocha wao mpya ili wapate matokeo pia kama timu nyingine kwenye kundi, lakini hali yao ya udhaifu ni ileile tu ya ubovu wa siku zote.
Kama kuna anaebisha subirini mechi zinazokuja muone. Wachezaji wana vipaji, akili inataka lakini kutenda kinachotakiwa hawawezi. Uzee...uzeee..uzeee, ukiwa mzee hata ukipata kajeraha kadogo na maumivu kidogo utachelewa kupona. Mzee akicheza mechi moja leo atahitaji wiki mbili ili awe na energy yake.
Wydad kufungwa na kila timu kwenye mechi mbili za kundi lake kuliwapa matumaini wachezaji wa Simba kuwa hata wao wangeweza kuifunga Wydad, hivyo walijitahidi tu kucheza mbele ya kocha wao mpya ili wapate matokeo pia kama timu nyingine kwenye kundi, lakini hali yao ya udhaifu ni ileile tu ya ubovu wa siku zote.
Kama kuna anaebisha subirini mechi zinazokuja muone. Wachezaji wana vipaji, akili inataka lakini kutenda kinachotakiwa hawawezi. Uzee...uzeee..uzeee, ukiwa mzee hata ukipata kajeraha kadogo na maumivu kidogo utachelewa kupona. Mzee akicheza mechi moja leo atahitaji wiki mbili ili awe na energy yake.