Wakuu habari, hopeful mko poa wote,
Mmoja kwa moja kwenye mada, nikiwa nikiangalia television ya taiga la Zimbabwe ya burudani inayokwenda kwa jina la JIVE TV kwa muda sasa, cha ajabu na kupendeza ni kwamba wanapiga nyimbo za South Africa,Congo,Nigeria na Zimbabwe kidogo.
Ila ikija kwenye...