Mjomba Malume
JF-Expert Member
- Apr 8, 2025
- 903
- 1,317
Lionel Messi ameendelea kuandika historia mpya World Cup baada ya kuwa mchezaji aliyeshinda mechi nyingi zaidi kwenye historia ya mashindano hayo.
Baada ya ushindi wa Argentina dhidi ya Austria,La Pulga Atómica sasa:
- Ana ushindi 18 wa mechi za World Cup.
- Akimvuka Miroslav Klose aliyekuwa na ushindi 17.
- El Mesías,Captain wa Albiceleste pia ameendelea kuongeza idadi yake ya mabao World Cup ⚽
- Na sasa ameifikisha tally yake kuwa mabao 18🔥
- Ndiye mchezaji aliyeshinda mechi nyingi zaidi World Cup
- Na pia ndiye mfungaji bora zaidi kwenye historia ya mashindano hayo 🔥