world bank

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    World Bank Vice President for E& S Africa anatumia vigezo gani kusema Tanzania imefanya "miracles" uchumi wake ni imara despite Ukraine

    Nimeona akisema kuwa Tanzania imefanya vizuri katika uchumi wake, eti tanzania imeshinda mfumko wa bei. Nimepigwa na butwaa. Mwigulu alikuwa anachekela as if ameuweza uchumi wa Tanzania kuwa first class wakati anawaibia watu , wizi kabisa wa fedha za watu kwa tozo! Ujambazi wa Tozo, eti ameweza...
  2. Museveni: I didn’t say Uganda was middle income

    President Museveni has disavowed reports that Uganda is now a middle-income status nation "I didn’t say we have already become but I said we are entering middle income status,” Mr Museveni said after weeks of a protracted-factual confrontation involving the World Bank (WB) and Uganda Bureau of...
  3. Wanafunzi 3,000 Waliopata ujauzito na sababu mbalimbali warudi Shuleni. Benki ya Dunia yaahidi kuongeza misaada

    Benki ya Dunia imeipongeza Tanzania kwa kuamua kuwekeza kiasi kikubwa cha fedha kwenye maeneo ya uzalishaji kikiwemo kilimo, mifugo na uvuvi mambo ambayo yatachochea ukuaji wa kipato cha wananchi na kukuza uchumi wa nchi. Pongezi hizo zimetolewa Jijini Dar es Salaam na Makamu wa Rais wa Benki...
  4. World Bank Vice President, Dr Victoria Kwakwa, will visit Tanzania on July 11-12

    DAR ES SALAAM, July 8, 2022 – Newly appointed World Bank Vice President for Eastern and Southern Africa, Dr Victoria Kwakwa, will visit Tanzania on July 11-12, as the first stop on her maiden regional tour in this role. Taking over from Dr Hafez Ghanem who has now retired, Dr Kwakwa will meet...
  5. Municipal Engineer at World Bank

    Job #: req17219 Organization: World Bank Sector: Urban Grade: GF Term Duration: 3 years 0 months Recruitment Type: Local Recruitment Location: Dar Es Salaam,Tanzania Required Language(s): English Preferred Language(s): Closing Date: 5/10/2022 (MM/DD/YYYY) at 11:59pm UTC...
  6. B

    Rais Samia kushiriki mkutano wa Benki ya Dunia Aprili 23, 2022

    MHE. RAIS SAMIA KUSHIRIKI MKUTANO WA BENKI YA DUNIA KESHO JUMAMOSI. #Repost ///@ikulu_mawasiliano: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kushiriki Mkutano wa Benki ya Dunia (World Bank Group) tarehe 23 Aprili, 2022 Saa 4:00 Asubuhi katika Makao Makuu ya benki hiyo...
  7. Tuziombe nchi rafiki na taasisi za fedha hususani World Bank na African Development Bank waahirishe au kutusamehe baadhi ya madeni wanayotudai

    Rais wetu anakubalika sana kimataifa na ameweza kutufungua kimataifa. Ni rais pekee, executive president, mwanamke barani Afrika na wengi wako tayari kumsaidia ili kuonesha ulimwengu hasa wa Afrika kwamba wanawake wanaweza, tena sana tu kuliko wanaume wengi. Wengi wanapenda kuona rais wetu...
  8. Uchumi wa Ukraine kuporomoka kwa 45.1% kutokana na vita

    Kwa mujibu wa Tathmini mpya ya athari za kiuchumi za vita ya Urusi na Ukraine, Uchumi wa Ukraine unatarajiwa kuporomoka kwa 45.1% Mwaka 2022 Tathmini hiyo ya Benki ya Dunia (WB) inasema uvamizi wa Urusi umelazimisha biashara kufunga, kupunguza mauzo ya nje na kuharibu mifumo ya uzalishaji...
  9. W

    World Bank: Tanzania bado ipo uchumi wa kati

    Ndugu zangu, Katika pitapita kwenye magazeti hii habari kuhusu Tanzania. Je,kwa Tanzania kuwa hadhi ya juu kiuchumi kuna misaada tunakosa?
  10. Orodha ya World Bank 2022 ya low income countries, Tanzania imesahaulika? Kwenye middle income countries haipo

    Katika pekua pekua zangu, inaelekea kuwa Benki ya Dunia imesahau kuiweka Tanzania kwenye orodha ya low income countries. Yaani kwenye low income countries duniani hatuonekani na huko kwenye middle income countries nako hatuko. Sasa tutakuwa tuko wapi duniani? Mwenye kulijua hili atujuze. ---...
  11. Britam imeuza 6.7% ya hisa inayomiliki ya Equity bank kwa IFC ambayo ni taasisi ya World Bank na kupokea ksh 13 billion.

    Ukiona World Bank wananunua hisa za Equity bank ujuwe kwamba wao wameona Equity bank ina future nzuri. Britam insurance ilinunua shares za Equity zamani sana wakati bado Equity ilikuwa kampuni ndogo. Britam imeuza 6.7% ya shares ya Equity kwa IFC ambayo ni taasisi ya World Bank na kulipwa ksh 13...
  12. Senior Transport Specialist at World Bank

    Job #: req16704 Organization: World Bank Sector: Transportation Grade: GG Term Duration: 4 years 0 months Recruitment Type: International Recruitment Location: Dar Es Salaam,Tanzania Required Language(s): English Preferred Language(s): Closing Date: 4/8/2022 (MM/DD/YYYY) at...
  13. Security Specialist at World Bank

    Job #: req16582 Organization: World Bank Sector: General Services Grade: GF Term Duration: 3 years 0 months Recruitment Type: Local Recruitment Location: Dar es Salaam, Tanzania Required Language(s): English Preferred Language(s): Closing Date: 4/2/2022 (MM/DD/YYYY) at 11:59pm...
  14. Over 250,000 small firms in Kenya to get World Bank funding

    More than 250,000 small and medium enterprises in the country are set to benefit from World Bank’s financing this year to help them recover from the impact of the Covid-19 pandemic. The funds issued under the global bank’s International Development Association (IDA) are expected to address...
  15. World Bank: Tanzania bado haijafika uchumi wa kati Middle Income Country (MIC)

    United Republic of Tanzania bado haijafika kiwango cha kuwa nchi yenye uchumi wa kati a.k.a Middle Income Country (MIC). Nchi ya Tanzania bado iko katika kundi la Least Developed Countries almaarufu LDC. Haya ni kulingana na World Bank na United Nations mashirika ambayo huhusika katika...
  16. Tanzania: New World Bank Financing to Secure Land Rights for Up to Two Million Citizens

    WASHINGTON, December 21, 2021—The World Bank Board of Executive Directors has approved new International Development Association (IDA)* financing for Tanzania that will strengthen the national land administration system and increase tenure security for at least two million land holders, users...
  17. Tuwe makini sana na mikopo hii ya kutoka Bretton Woods Institutions (IMF & World Bank)

    Leo nchi yetu tumepata mkopo wa 1.3 trilioni kutoka IMF (International Monetary Fund) tumefurahia sana watanzania na kupongeza sana kwa hatua hii Lakini ukifuatilia sana mikopo hii, ambayo mabeberu wanasema eti ni mikopo ya masharti nafuu (concession loan) kutoka kwenye hizo taasisi za...
  18. Receptionist at World Bank

    Receptionist – Tanzania Job #: req13440 Organization: World Bank Sector: Administration/Office Support Grade: GA Term Duration: 3 years 0 months Recruitment Type: Local Recruitment Location: Dar Es Salaam,Tanzania Required Language(s): English Preferred Language(s): Closing...
  19. Tanzania seeks World Bank support for Covid effort, balance of payments

    Tanzania seeks World Bank support for Covid effort, balance of payments SATURDAY OCTOBER 02 2021 Summary In a meeting in Dodoma September 28, President Samia Suluhu held talks with the World Bank’s Regional Vice President for Eastern and Southern Africa, Hafez Ghanem, and discussed her...
  20. P

    Serikali kubana matumizi napo tunasubiri Benki ya Dunia (WB) ituambie? Hatuwezi kuona tunakokwenda?

    Hali ni mbaya sana mitaani na anayebisha akapimwe akili, kwa sasa, wapo wananchi wanaoshindia mkate wa bakhalesa, wapo ambao siku inaweza kupita bila kula kabisa, nina uhakika na hilo, na katika hilo, niseme kwamba, hakuna nchi yenye watu wavumilivu kama Watanzania, si kwenye mambo ya kisiasa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…