world bank

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Associate Country Economist at World Bank December, 2023

    Position: Associate Country Economist Job #: req25387 Organization: IFC Sector: Economics Grade: GF Term Duration: 3 years 0 months Recruitment Type: Local Recruitment Location: Dar Es Salaam,Tanzania Required Language(s): English Preferred Language(s): French CAE hiring an Associate Country...
  2. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Senior Private Sector Specialist at World Bank October, 2023

    Position: Senior Private Sector Specialist Job #: req24601 Organization: World Bank Sector: Private Sector Development Grade: GG Term Duration: 4 years 0 months Recruitment Type: Local Recruitment Location: Dar Es Salaam, Tanzania Required Language(s): English Job Duties and Responsibilities...
  3. R

    JamiiForums Tanzania Kumbe Tanzania ilikopa fedha World Bank kuendeleza bandari, DP World anakuja kutumia fedha hizo kufanya kazi ambayo Tanzania imeikopea fedha WB-SOMA

    Hii ni kutoka report ya Worl Bank .................................BY MARIA SARUNGI Muhimu kuhusu DPW na mradi wa Benki ya Dunia Pesa za mkopo wa @WorldBankAfrica zimetumika (na kukamilika) 👉🏽 kupanua na kuimarisha Gati 1-7 na kujenga gati mpya Gerezani 👉🏽kupanua mlango wa bandari hadi Gati...
  4. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Bandari ya Dar es Salaam yaipita Bandari ya Mombasa kwa Ufanisi, Kulingana na Benki ya Dunia

    Benki ya Dunia imetoa ripoti inayoonesha Bandari ya Dar ndio inaongoza Kwa Ufanisi katika kuhudumia wateja ikiwemo kuondoa makasha Kwa haraka na kutokuwepo Kwa urasimu.. Taarifa ya WB inasema Bandarinya Dar sanjali na Djibouti zimeiacha Mbali Bandari ya Mombasa.. Hongera sana mkurugenzi Mpya...
  5. R

    JamiiForums Tanzania World Bank Vice President for E& S Africa anatumia vigezo gani kusema Tanzania imefanya "miracles" uchumi wake ni imara despite Ukraine

    Nimeona akisema kuwa Tanzania imefanya vizuri katika uchumi wake, eti tanzania imeshinda mfumko wa bei. Nimepigwa na butwaa. Mwigulu alikuwa anachekela as if ameuweza uchumi wa Tanzania kuwa first class wakati anawaibia watu , wizi kabisa wa fedha za watu kwa tozo! Ujambazi wa Tozo, eti ameweza...
  6. beth

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Museveni: I didn’t say Uganda was middle income

    President Museveni has disavowed reports that Uganda is now a middle-income status nation "I didn’t say we have already become but I said we are entering middle income status,” Mr Museveni said after weeks of a protracted-factual confrontation involving the World Bank (WB) and Uganda Bureau of...
  7. Getrude Mollel

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi 3,000 Waliopata ujauzito na sababu mbalimbali warudi Shuleni. Benki ya Dunia yaahidi kuongeza misaada

    Benki ya Dunia imeipongeza Tanzania kwa kuamua kuwekeza kiasi kikubwa cha fedha kwenye maeneo ya uzalishaji kikiwemo kilimo, mifugo na uvuvi mambo ambayo yatachochea ukuaji wa kipato cha wananchi na kukuza uchumi wa nchi. Pongezi hizo zimetolewa Jijini Dar es Salaam na Makamu wa Rais wa Benki...
  8. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania World Bank Vice President, Dr Victoria Kwakwa, will visit Tanzania on July 11-12

    DAR ES SALAAM, July 8, 2022 – Newly appointed World Bank Vice President for Eastern and Southern Africa, Dr Victoria Kwakwa, will visit Tanzania on July 11-12, as the first stop on her maiden regional tour in this role. Taking over from Dr Hafez Ghanem who has now retired, Dr Kwakwa will meet...
  9. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Municipal Engineer at World Bank

    Job #: req17219 Organization: World Bank Sector: Urban Grade: GF Term Duration: 3 years 0 months Recruitment Type: Local Recruitment Location: Dar Es Salaam,Tanzania Required Language(s): English Preferred Language(s): Closing Date: 5/10/2022 (MM/DD/YYYY) at 11:59pm UTC...
  10. B

    JamiiForums Tanzania Rais Samia kushiriki mkutano wa Benki ya Dunia Aprili 23, 2022

    MHE. RAIS SAMIA KUSHIRIKI MKUTANO WA BENKI YA DUNIA KESHO JUMAMOSI. #Repost ///@ikulu_mawasiliano: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kushiriki Mkutano wa Benki ya Dunia (World Bank Group) tarehe 23 Aprili, 2022 Saa 4:00 Asubuhi katika Makao Makuu ya benki hiyo...
  11. Dr Akili

    JamiiForums Tanzania Tuziombe nchi rafiki na taasisi za fedha hususani World Bank na African Development Bank waahirishe au kutusamehe baadhi ya madeni wanayotudai

    Rais wetu anakubalika sana kimataifa na ameweza kutufungua kimataifa. Ni rais pekee, executive president, mwanamke barani Afrika na wengi wako tayari kumsaidia ili kuonesha ulimwengu hasa wa Afrika kwamba wanawake wanaweza, tena sana tu kuliko wanaume wengi. Wengi wanapenda kuona rais wetu...
  12. beth

    JamiiForums Tanzania Uchumi wa Ukraine kuporomoka kwa 45.1% kutokana na vita

    Kwa mujibu wa Tathmini mpya ya athari za kiuchumi za vita ya Urusi na Ukraine, Uchumi wa Ukraine unatarajiwa kuporomoka kwa 45.1% Mwaka 2022 Tathmini hiyo ya Benki ya Dunia (WB) inasema uvamizi wa Urusi umelazimisha biashara kufunga, kupunguza mauzo ya nje na kuharibu mifumo ya uzalishaji...
  13. W

    JamiiForums Tanzania World Bank: Tanzania bado ipo uchumi wa kati

    Ndugu zangu, Katika pitapita kwenye magazeti hii habari kuhusu Tanzania. Je,kwa Tanzania kuwa hadhi ya juu kiuchumi kuna misaada tunakosa?
  14. Dr Akili

    JamiiForums Tanzania Orodha ya World Bank 2022 ya low income countries, Tanzania imesahaulika? Kwenye middle income countries haipo

    Katika pekua pekua zangu, inaelekea kuwa Benki ya Dunia imesahau kuiweka Tanzania kwenye orodha ya low income countries. Yaani kwenye low income countries duniani hatuonekani na huko kwenye middle income countries nako hatuko. Sasa tutakuwa tuko wapi duniani? Mwenye kulijua hili atujuze. ---...
  15. Tony254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Britam imeuza 6.7% ya hisa inayomiliki ya Equity bank kwa IFC ambayo ni taasisi ya World Bank na kupokea ksh 13 billion.

    Ukiona World Bank wananunua hisa za Equity bank ujuwe kwamba wao wameona Equity bank ina future nzuri. Britam insurance ilinunua shares za Equity zamani sana wakati bado Equity ilikuwa kampuni ndogo. Britam imeuza 6.7% ya shares ya Equity kwa IFC ambayo ni taasisi ya World Bank na kulipwa ksh 13...
  16. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Senior Transport Specialist at World Bank

    Job #: req16704 Organization: World Bank Sector: Transportation Grade: GG Term Duration: 4 years 0 months Recruitment Type: International Recruitment Location: Dar Es Salaam,Tanzania Required Language(s): English Preferred Language(s): Closing Date: 4/8/2022 (MM/DD/YYYY) at...
  17. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Security Specialist at World Bank

    Job #: req16582 Organization: World Bank Sector: General Services Grade: GF Term Duration: 3 years 0 months Recruitment Type: Local Recruitment Location: Dar es Salaam, Tanzania Required Language(s): English Preferred Language(s): Closing Date: 4/2/2022 (MM/DD/YYYY) at 11:59pm...
  18. MK254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Over 250,000 small firms in Kenya to get World Bank funding

    More than 250,000 small and medium enterprises in the country are set to benefit from World Bank’s financing this year to help them recover from the impact of the Covid-19 pandemic. The funds issued under the global bank’s International Development Association (IDA) are expected to address...
  19. Mashashola

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania World Bank: Tanzania bado haijafika uchumi wa kati Middle Income Country (MIC)

    United Republic of Tanzania bado haijafika kiwango cha kuwa nchi yenye uchumi wa kati a.k.a Middle Income Country (MIC). Nchi ya Tanzania bado iko katika kundi la Least Developed Countries almaarufu LDC. Haya ni kulingana na World Bank na United Nations mashirika ambayo huhusika katika...
  20. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Tanzania: New World Bank Financing to Secure Land Rights for Up to Two Million Citizens

    WASHINGTON, December 21, 2021—The World Bank Board of Executive Directors has approved new International Development Association (IDA)* financing for Tanzania that will strengthen the national land administration system and increase tenure security for at least two million land holders, users...
Back
Top Bottom