Position: Associate Country Economist
Job #: req25387
Organization: IFC
Sector: Economics
Grade: GF
Term Duration: 3 years 0 months
Recruitment Type: Local Recruitment
Location: Dar Es Salaam,Tanzania
Required Language(s): English
Preferred Language(s): French
CAE hiring an Associate Country...
Position: Senior Private Sector Specialist
Job #: req24601
Organization: World Bank
Sector: Private Sector Development
Grade: GG
Term Duration: 4 years 0 months
Recruitment Type: Local Recruitment
Location: Dar Es Salaam, Tanzania
Required Language(s): English
Job Duties and Responsibilities...
Hii ni kutoka report ya Worl Bank .................................BY MARIA SARUNGI
Muhimu kuhusu DPW na mradi wa Benki ya Dunia
Pesa za mkopo wa @WorldBankAfrica zimetumika (na kukamilika)
👉🏽 kupanua na kuimarisha Gati 1-7 na kujenga gati mpya Gerezani
👉🏽kupanua mlango wa bandari hadi Gati...
Benki ya Dunia imetoa ripoti inayoonesha Bandari ya Dar ndio inaongoza Kwa Ufanisi katika kuhudumia wateja ikiwemo kuondoa makasha Kwa haraka na kutokuwepo Kwa urasimu..
Taarifa ya WB inasema Bandarinya Dar sanjali na Djibouti zimeiacha Mbali Bandari ya Mombasa..
Hongera sana mkurugenzi Mpya...
Nimeona akisema kuwa Tanzania imefanya vizuri katika uchumi wake, eti tanzania imeshinda mfumko wa bei. Nimepigwa na butwaa.
Mwigulu alikuwa anachekela as if ameuweza uchumi wa Tanzania kuwa first class wakati anawaibia watu , wizi kabisa wa fedha za watu kwa tozo! Ujambazi wa Tozo, eti ameweza...
President Museveni has disavowed reports that Uganda is now a middle-income status nation
"I didn’t say we have already become but I said we are entering middle income status,” Mr Museveni said after weeks of a protracted-factual confrontation involving the World Bank (WB) and Uganda Bureau of...
Benki ya Dunia imeipongeza Tanzania kwa kuamua kuwekeza kiasi kikubwa cha fedha kwenye maeneo ya uzalishaji kikiwemo kilimo, mifugo na uvuvi mambo ambayo yatachochea ukuaji wa kipato cha wananchi na kukuza uchumi wa nchi.
Pongezi hizo zimetolewa Jijini Dar es Salaam na Makamu wa Rais wa Benki...
DAR ES SALAAM, July 8, 2022 – Newly appointed World Bank Vice President for Eastern and Southern Africa, Dr Victoria Kwakwa, will visit Tanzania on July 11-12, as the first stop on her maiden regional tour in this role.
Taking over from Dr Hafez Ghanem who has now retired, Dr Kwakwa will meet...
Job #:
req17219
Organization:
World Bank
Sector:
Urban
Grade:
GF
Term Duration:
3 years 0 months
Recruitment Type:
Local Recruitment
Location:
Dar Es Salaam,Tanzania
Required Language(s):
English
Preferred Language(s):
Closing Date:
5/10/2022 (MM/DD/YYYY) at 11:59pm UTC...
MHE. RAIS SAMIA KUSHIRIKI MKUTANO WA BENKI YA DUNIA KESHO JUMAMOSI.
#Repost
///@ikulu_mawasiliano: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kushiriki Mkutano wa Benki ya Dunia (World Bank Group) tarehe 23 Aprili, 2022 Saa 4:00 Asubuhi katika Makao Makuu ya benki hiyo...
Rais wetu anakubalika sana kimataifa na ameweza kutufungua kimataifa. Ni rais pekee, executive president, mwanamke barani Afrika na wengi wako tayari kumsaidia ili kuonesha ulimwengu hasa wa Afrika kwamba wanawake wanaweza, tena sana tu kuliko wanaume wengi.
Wengi wanapenda kuona rais wetu...
Kwa mujibu wa Tathmini mpya ya athari za kiuchumi za vita ya Urusi na Ukraine, Uchumi wa Ukraine unatarajiwa kuporomoka kwa 45.1% Mwaka 2022
Tathmini hiyo ya Benki ya Dunia (WB) inasema uvamizi wa Urusi umelazimisha biashara kufunga, kupunguza mauzo ya nje na kuharibu mifumo ya uzalishaji...
Katika pekua pekua zangu, inaelekea kuwa Benki ya Dunia imesahau kuiweka Tanzania kwenye orodha ya low income countries. Yaani kwenye low income countries duniani hatuonekani na huko kwenye middle income countries nako hatuko. Sasa tutakuwa tuko wapi duniani? Mwenye kulijua hili atujuze.
---...
Ukiona World Bank wananunua hisa za Equity bank ujuwe kwamba wao wameona Equity bank ina future nzuri. Britam insurance ilinunua shares za Equity zamani sana wakati bado Equity ilikuwa kampuni ndogo. Britam imeuza 6.7% ya shares ya Equity kwa IFC ambayo ni taasisi ya World Bank na kulipwa ksh 13...
Job #:
req16704
Organization:
World Bank
Sector:
Transportation
Grade:
GG
Term Duration:
4 years 0 months
Recruitment Type:
International Recruitment
Location:
Dar Es Salaam,Tanzania
Required Language(s):
English
Preferred Language(s):
Closing Date:
4/8/2022 (MM/DD/YYYY) at...
Job #:
req16582
Organization:
World Bank
Sector:
General Services
Grade:
GF
Term Duration:
3 years 0 months
Recruitment Type:
Local Recruitment
Location:
Dar es Salaam, Tanzania
Required Language(s):
English
Preferred Language(s):
Closing Date:
4/2/2022 (MM/DD/YYYY) at 11:59pm...
More than 250,000 small and medium enterprises in the country are set to benefit from World Bank’s financing this year to help them recover from the impact of the Covid-19 pandemic.
The funds issued under the global bank’s International Development Association (IDA) are expected to address...
United Republic of Tanzania bado haijafika kiwango cha kuwa nchi yenye uchumi wa kati a.k.a Middle Income Country (MIC). Nchi ya Tanzania bado iko katika kundi la Least Developed Countries almaarufu LDC.
Haya ni kulingana na World Bank na United Nations mashirika ambayo huhusika katika...
WASHINGTON, December 21, 2021—The World Bank Board of Executive Directors has approved new International Development Association (IDA)* financing for Tanzania that will strengthen the national land administration system and increase tenure security for at least two million land holders, users...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.