Mashashola
JF-Expert Member
- Feb 23, 2020
- 4,091
- 5,279
United Republic of Tanzania bado haijafika kiwango cha kuwa nchi yenye uchumi wa kati a.k.a Middle Income Country (MIC). Nchi ya Tanzania bado iko katika kundi la Least Developed Countries almaarufu LDC.
Haya ni kulingana na World Bank na United Nations mashirika ambayo huhusika katika kuyagawanya mataifa kwenye makundi mbali mbali kulingana na uchumi.
Haya ni kulingana na World Bank na United Nations mashirika ambayo huhusika katika kuyagawanya mataifa kwenye makundi mbali mbali kulingana na uchumi.
Conferences | Least Developed Countries | United Nations
Past United Nations conferences on the least developed countries (LDCs)
www.un.org