Nimeona akisema kuwa Tanzania imefanya vizuri katika uchumi wake, eti tanzania imeshinda mfumko wa bei. Nimepigwa na butwaa.
Mwigulu alikuwa anachekela as if ameuweza uchumi wa Tanzania kuwa first class wakati anawaibia watu , wizi kabisa wa fedha za watu kwa tozo! Ujambazi wa Tozo, eti ameweza uchumi!
Huyu Victoria Kwakwa, World Bank Vice President for Eastern and Southern Africa anatumia vigezo gani kusema :"ujinga" kama huo!
(mods, please insert "war" after Ukraini in the heading)
Mwigulu alikuwa anachekela as if ameuweza uchumi wa Tanzania kuwa first class wakati anawaibia watu , wizi kabisa wa fedha za watu kwa tozo! Ujambazi wa Tozo, eti ameweza uchumi!
Huyu Victoria Kwakwa, World Bank Vice President for Eastern and Southern Africa anatumia vigezo gani kusema :"ujinga" kama huo!
(mods, please insert "war" after Ukraini in the heading)