Siasa si ugomvi, na wale wanaochukulia personally siasa kuwa uadui, tuna hili tukio la kusikitisha toka Uganda.
Waziri Mwesigwa Rukutana amashindwa katika kura za awali jimboni kwake na mpinzani wake.
Waziri huyo alipokutana na mpinzani huyo uso kwa uso, akiwa na walinzi wake watatu...