Mhe. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania napenda kwa heshima na taadhima kukueleza kuwa shamba lililotajwa hapo juu ni MALI ya Vijiji sita vinavyozunguka shamba hilo na walipewa kihalali na Serikali lakini kwa mshangao tunashuhudia Serikali imetunyang'anya shamba hilo na kuwaleta Maaskari ambao kwa sasa wanawatesa sana Wananchi pasipo sababu yeyote.
Hawa wakikutana na mwananchi yeyote anayekatiza kwenye shamba hilo basi mateso atakayopata ni makubwa.
Shamba ni letu na kama Serikali inataka kuliendeleza basi ingekaa na Wananchi wa Vijiji sita na kuwaeleza faida na manufaa watakayopata wananchi hao katika kuliendeleza shamba hilo.
Serikali kuliendeleza shamba hili bila wananchi kufahamishwa mimi binafsi naona kama kuna kasoro. Tunaiamini Serikali ya CCM inayowajali wanyonge basi sisi Wananchi wa vijiji sita vinavyozunguka shamba hili tunakuomba utupe hatma ya shamba letu.
Hawa wakikutana na mwananchi yeyote anayekatiza kwenye shamba hilo basi mateso atakayopata ni makubwa.
Shamba ni letu na kama Serikali inataka kuliendeleza basi ingekaa na Wananchi wa Vijiji sita na kuwaeleza faida na manufaa watakayopata wananchi hao katika kuliendeleza shamba hilo.
Serikali kuliendeleza shamba hili bila wananchi kufahamishwa mimi binafsi naona kama kuna kasoro. Tunaiamini Serikali ya CCM inayowajali wanyonge basi sisi Wananchi wa vijiji sita vinavyozunguka shamba hili tunakuomba utupe hatma ya shamba letu.