Ikulu ni ofisii ya Raisi sio jengo .ofisi ya Rais inaweza kuwa hata kwenye hema au gari au laptopNilikuwa najiuliza pia hili. .
Tukiwa wazima siku moja tukumbushane haya manenoIkulu Ni ofisii ya Raisi sio jengo .ofisi ya Raisi inaweza kuwa hata kwenye hema au gari au laptop
Alipo Rais na ofisi yake ipo hapo aweza idhinisha chochote au toa tamko au teua nk mentality ya kudhani ofisi ya Rais ni jengo lililo mahali Fulani sio sahihiKumbe tunaweza kuhama kutoka Dar kwenda Dodoma!!
Hili wala sijapinga, nimesema tu kwa upole kabisa kuwa kumbe ni rahisi sana kuhama kutoka Dar kwenda Dodoma, why watu walikua wanashindwa miaka yote hio? Hongera sanaAlipo Raisi na ofisi yake ipo hapo aweza idhinisha chochote au toa tamio au teua nk mentality ya kudhani ofisi ya Raisi ni jengo lililo mahali Fulani sio sahihi
Alipo Raisi na ofisi yake ipo hapo aweza idhinisha chochote au toa tamio au teua nk mentality ya kudhani ofisi ya Raisi ni jengo lililo mahali Fulani sio sahihi
Pamoja na hayo, kwenye hiyo baua hakuna sehemu imeandikwa ikulu ya Chato, ki uandishi yuko sahihi kabisa kwani kaandika cheo chake na chini kaandika Chato ikimaanisha wakati analipoti tukio alikuwa eneo la Chato hiyoAlipo Raisi na ofisi yake ipo hapo aweza idhinisha chochote au toa tamio au teua nk mentality ya kudhani ofisi ya Raisi ni jengo lililo mahali Fulani sio sahihi
Yeye Magufuli huko Yuko na mkewe na anapata huduma za kinyumba Kama kawaida. Vipi Msigwa huduma za kinyumba anapatia wapi, maana ana muda mrefu Sana huko, au naye mke wake Yuko huko?Alipo Raisi na ofisi yake ipo hapo aweza idhinisha chochote au toa tamio au teua nk mentality ya kudhani ofisi ya Raisi ni jengo lililo mahali Fulani sio sahihi
Kama yule jamaa aliyejikarantine Dodoma, lakini akakamatwa na polisi Dar (Epicenter ya Covod19)?Huyu jamaa anatupa wakati mgumu sana sisi watetezi wake..
Unamshangaa Magufuli wakati tuna kamanda anaongoza chama kwa Whatsapp na Youtube huko Ubelgiji?Dah, yani Magufuli ameifanya nchi kama mali yake binafsi.