kasema tangu alivokuwa shuleni.... aisee!
Mawazo kama haya utakuta team nzima ya kampeni ya chadema inawaza hivihivi!Ameshapewa taarifa kwamba afanye awezalo kuhakikisha anashinda kwa kura, tofauti na hapo atarajie yasiyotarajiwa. Msiine hizi panic mnazoziina mkadhani mambo yapo kama yalivyozoeleka.
Inteeview ya jana ya Tundu Lissu kwenye kioindi cha dakika 45 ilikua ni kipimo kwa Lissu na sasa system imemkubali rasmi.
Tena ukome kuniita mimi ni CHADEMAMawazo kama haya utakuta team nzima ya kampeni ya chadema inawaza hivihivi!
Nmekuiit wapi kama wewe ni chadema?Tena ukome kuniita mimi ni CHADEMA