waziri mkuu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. SSH2025_2030

    Dr Dotto Biteko - Waziri Mkuu Mteule makini

    Asanteni Bukombe , asanteni CCM. Jembe tunatamba nalo.
  2. DuaZaMama

    Waziri mkuu wa mpito Nepal Aahidi kutokomeza ufisadi

    Waziri Mkuu wa mpito nchini Nepal Sushila Karki ameapa kufuata matakwa ya waandamanaji ya kukomesha ufisadi nchini humo wakati alipokuwa anaanza kazi yake rasmi baada ya kushika wadhifa huo.. Sushila, Waziri mkuu wa kwanza mwanamke Nepal aliye na umri wa miaka 73, alichukua nafasi hiyo baada ya...
  3. Herbalist Dr MziziMkavu

    Netanyahu: Tunakwenda Kutimiza ahadi yetu kwamba hakutakuwa na Taifa la Palestina eneo hili ni letu

    Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, siku ya Alhamisi alisema kuwa "hakutakuwa na taifa la Palestina." Alitoa kauli hiyo wakati wa ziara yake katika makazi ya Maale Adumim yaliyoko katika Ukanda wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu. Netanyahu alisaini rasmi hati ya kuidhinisha ujenzi wa...
  4. britanicca

    Nilipata kutembelea Nepal Mwaka Huko Nyuma! Wamechelewa sana kumuondoa waziri mkuu wao

    Namaste, Tike, Buri na Buda ndo maneno maarufu Nepal Namaste iko Kama Indian ni salamu, Buri maana yake Mume, na buda ni mke, Hali ya Nepali Kiuchumi Nilifikia Kathamndul kwa Miezi miwili lengo ni kwenye kwenye trekking milima ya Everest Kathamntul ndo mji mkuu wa Nepal uko na idadi kubwa ya...
  5. Richard

    Waziri Mkuu wa Ufaransa Kujiuzulu baada ya Bunge kupiga Kura ya kutokuwa na Imani naye

    Waziri Mkuu wa Ufaransa bwana Francois Bayrou baada ya kupigiwa kura 364 za hapana dhidi ya kura 194. Bunge la Ufaransa kwa azimio moja limefanikiwa kumuondoa Waziri Mkuu huyo ambaye alikuwa kiongozi wa Serikali ya mseto.
  6. DuaZaMama

    Waziri Mkuu wa Japan, Shigeru Ishiba, ajiuzulu wiki chache baada ya kushindwa vibaya katika uchaguzi

    Waziri Mkuu wa Japan, Shigeru Ishiba, ameamuwa kujiuzulu baada ya chama chake cha Liberal Democratic Party, (LDP) kupoteza wingi wa viti kufuatia uchaguzi wa baraza la juu. Vyombo vya habari vya ndani vimeripoti kuwa Ishiba, mwenye umri wa miaka 68, anataka kuepusha mgawanyiko wa chama, huku...
  7. Echolima1

    Taarifa ya Ofisi ya Waziri Mkuu Kwa Magaidi wa Hamas!!

    Taarifa ya Ofisi ya Waziri Mkuu: Kwa bahati mbaya, hii inazungushwa zaidi na magaidi wa Hamas ambayo hawana jipya. Vita vinaweza kumalizika mara moja kwa masharti yaliyowekwa na Baraza la Mawaziri la Usalama: 1. Mateka wote waachiliwe . 2. Hamas wanyang’anywe silaha. 3. Ukanda usiwe na...
  8. Pdidy

    Majaliwa apiga marufuku matumizi ya ving'ora na vimulimuli barabarani kwa madereva wa magari ya serikali

    Yaani ukitaka kujua unachelewa pita njia za Ubungo, Kimara, Mwenge na Tegeta ndani ya dakika 30 utaona ving'ora kama vinne vimepita na vimulimuli Nimejiuliza hivi kila gari linatakiwa kuwa na king'ora na kimulimuli? Na ni wakati gani vinatakiwa kutumika? ---- Waziri Mkuu Kassim Majaliwa...
  9. 6 Pack

    GE2025 Utabiri: Baada ya uchaguzi mkuu, kwa mara ya kwanza Tanzania inakwenda kuwa na Waziri Mkuu mwanamke

    Niaje waungwana Baada ya uchaguzi mkuu kuisha, na serikali mpya kuingia madarakani, namuona mwanamke fulan ambae kiumri sio mkubwa sana akiteuliwa kuwa waziri mkuu wa Tanzania. Uteuzi huo utakuwa wenye mshangao, na mjadala mkubwa kutokana na ugeni wa mteuliwa, ila mwisho hali itatulia na...
  10. Mstahiki Mea

    Israel yamuua Waziri mkuu wa Yemen

    #HABARI Waziri Mkuu wa serikali ya Yemen inayoongozwa na Wahouthi na mawaziri wengine kadhaa wameuawa katika shambulio la Israel kwenye mji mkuu Sanaa, mkuu wa Baraza Kuu la Kisiasa la Houthi amesema jana Jumamosi, likiwa ni shambulio la kwanza la aina hiyo kuua maafisa wakuu. Wengine kadhaa...
  11. PendoLyimo

    Waziri Mkuu: Rais Samia ameiheshimisha Tanzania matumizi ya nishati safi ya kupikia

    WAZIRI MKUU: RAIS SAMIA AMEIHESHIMISHA TANZANIA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA 📌Aipongeza REA Kwa Kusimamia vyema utekelezaji wa Mkakati wa Taifa wa Matumizi ya Nishati Safi na Usambazaji umeme Vijijini 📌Awasisitiza Watanzania kushiriki Kampeni ya Nishati Safi ya Kupikia Ataja faida za...
  12. M

    Waziri Mkuu wa Houthi Ahmed al-Rahawi, ameuawa na Israel

    Imeripotiwa na vyombo vya habari vya Yemen kuwa waziri mkuu wa Yemen anaye sapotiwa na Houthi ndugu Ahmed al-Rahawi ameuawa jana katika mashambulio ya jeshi la anga la Israeli hapo Yemen. Shambulizi hili ni kando ya shambulizi dhidi ya majenerali wa houthi kumi walio kuwa wakitazama hotuba ya...
  13. Parabolic

    Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu wanawezaje kushitakiwa/kuwajibishwa?

    Akizungumza Jumapili Agosti 24, aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole alipendekeza kuwepo kwa sheria ya kuwawajibisha viongozi kwa matendo wanayofanya wawapo madarakani. Je, sheria za Tanzania zinasemaje kuhusu viongozi wa juu akiwamo Rais wa Jamhuri ya Muungano, Makamu wa...
  14. Echolima1

    Waziri Mkuu wa Israel atoa maagizo ya kuachiliwa mateka wote na kwa mara moja kwa Masharti anayoyataka yeye!!!! “Yajayo yanafurahisha

    Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu: "Nimeagiza kuanza mazungumzo ya haraka ya kuachiliwa kwa mateka wetu wote na kumaliza vita chini ya masharti yanayokubalika kwa Israeli. Tuko katika hatua ya ushindi wa uhakika. Nimekuja leo kwenye Kitengo cha Gaza ili kuidhinisha mipango iliyowasilishwa kwangu...
  15. funaku

    SOMO: Tusifanye makosa dhidi ya watu hawa tukidhania tunaowakosea

    Tusifanye makosa dhidi ya watu hawa tukidhania tunaowakosea ni wao kama individuals bali wao ni Taasisi. Kwa uelewa wangu wa elimu ya uraia naamini kosa dhidi yao halina sababu ya kuthibitishwa au kutolewa ushahidi ma wao. Pengine ndio maana katiba yetu iliyoenea vyema imewapa Kinga na Image...
  16. DuaZaMama

    Aliyekuwa waziri mkuu wa Mali Choguel Kokalla ashitakiwa kwa ufisadi

    Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Mali, Choguel Kokalla Maiga ameshitakiwa kwa tuhuma za matumizi mabaya ya fedha za umma, kughushi na kutumia nyaraka za uongo. Maiga aliteuliwa kuwa Waziri Mkuu baada ya mapinduzi ya pili ya kijeshi mwaka 2021, lakini alifutwa kazi baada ya kuikosoa serikali ya kijeshi...
  17. Roving Journalist

    Waziri Mkuu akagua Mabasi, Miundombinu ya mradi wa BRT awamu ya Pili, Agosti 13, 2025

    WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Agosti 13, 2025 amekagua mabasi mapya kwa ajili ya awamu ya pili mradi wa mabasi yaendayo haraka (BRT-2) pamoja na miundombinu ikiwemo kituo kikuu cha mabasi hayo cha Mbagala Rangi tatu na kituo cha gerezani, jijini Dar es Salaam. Katika ukaguzi huo, Mheshimiwa...
  18. R

    Waziri Mkuu wa zamani wa Chad, Succes Masra, ahukumiwa kifungo cha miaka 20 jela na Faini takribani bilioni 4

    Mahakama nchini Chad imemhukumu kiongozi wa upinzani na waziri mkuu wa zamani, Succes Masra, kifungo cha miaka 20 jela baada ya kupatikana na hatia ya kuchochea vurugu za kikabila zilizogharimu maisha ya zaidi ya watu 40 kusini-magharibi mwa nchi hiyo mwezi Mei idara maalum cha makosa ya...
  19. Echolima1

    Asante waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu kwa kuirudisha Gaza Israel tena

    🇮🇱 Ofisi ya Waziri Mkuu: Baraza la Mawaziri la Usalama limeidhinisha pendekezo la Waziri Mkuu la kushindwa kwa Hamas. IDF itajiandaa kuchukua udhibiti wa Jiji la Gaza huku ikitoa misaada ya kibinadamu kwa raia walio nje ya maeneo ya mapigano. Baraza la Mawaziri, kwa kura nyingi, lilipitisha...
  20. M

    Natabiri Tulia Ackson atakuwa Waziri Mkuu baada ya Kassim Majaliwa

    Mimi Mdogo ake the BOLD leo tarehe 05.08.2025 natabiri next PM will be TULIA ACKSON MWASANSU "Amtumaniae Bwana ni kama mlima SAYUNI"
Back
Top Bottom