waziri mkuu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Sijajua vigezo vilivyotumika kumteua Mwigulu kuwa Waziri Mkuu, hafai

    GT, Hii ni maajabu huyu jamaa hana haiba ya Uwaziri Mkuu hata kidogo, anaonekana muhuni tu tofauti na wenzake waliopita. Wangetafuta figure nyingine lakini siyo huu jamaa maana hayuko mioyoni mwa watanzania. Mwigulu ana msururu wa kashfa, hiyo nafasi haimfai hata kidogo. Japo Kadogosa ni...
  2. vnn

    JamiiForums Tanzania Huwezi kumaliza tatizo kama hutaki kuwa mkweli, Mwigulu unatuonaje?

    Unaposema nchi zinatuonea wivu ndio maana zinachochea fujo unakua unatuona hatuna akili au? Malalamiko ya watanzania yanajulikana Hawataki utekaji, hawataki ufisadi na kufuja hovyo mali za umma, hawataki chaguzi za kiini macho wanataka tume huru, wanataka katiba mpya! Wameongea haya mambo...
  3. R

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mwigulu: Kwanini tuwape faida wenye mapenzi mabaya na nchi yetu, tukae tuongee yanayohitaji kufanyiwa kazi

    Akizungumza na Wahariri wa vyombo vya habari leo Novemba 25, 2025 Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba amesema tayari Rais Samia na wasaidizi wake wako tayari kusikiliza na milango ipo wazi ya mazungumzo hivyo hakuna haja ya kuwapa faida wenye mapenzi mabaya na...
  4. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania Kwahiyo Mwigulu leo ghafla pesa zimeacha kuwa za Samia na kuwa pesa wananchi? Gen-Z hakuna kulegeza kamba

    Wakuu Kila pesa ilikuwa ya Samia, samia kanunua hiki Samia kanunua kile, Samia kajengga SGR, Samia kajenga madaraja, Samia kajenga barabara, baada ya wananchi "kukiwasha" ndio mnajua kwamba hela ni za Watanzania? Leo ndio mnajua kwamba mwananchi ndio kila kitu baada ya kuona wananchi...
  5. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Serikali kupitia Waziri Mkuu tumesikia idadi ya mali zilizoharibiwa kwenye maandamano, basi tunaomba na idadi ya vifo

    Vitu vilivyochomwa vilivyoainishwa na Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba ni pamoja na 1. Ofisi za Serikali 756 2. Vituo vya mwendokasi 26 3. Vituo vya Polisi 159 4. Vituo vya mafuta 672 5. Magari Binafsi 1642 6. Pikipiki binafsi 2268 7. Magari ya Serikali 976 Lakini jambo la kushangaza, serikali mpaka...
  6. B

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Waziri Mkuu Mwigulu ahoji maandamano ya Oktoba. Maandamano gani watu walikuwa well armed?

    Akizungumza na waandishi wa habari amehoji ni maandamano gani hayo ambayo watu walikuwa wamejipanga na wana silaha kabisa huku wengine wakiwa hawaongei kiswahili. Amegusia pia kuhusu Mwanajeshi wa Marekani aliyekamatwa na mabomu. Anahoji ni utaratibu gani huu? === Waziri Mkuu wa Jamhuri ya...
  7. R

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu: Tunatambua kuna watumishi wa umma wazembe na wala rushwa tutashughulika nao

    Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba akizungumza na wahariri wa Vyombo vya habari leo Novemba 25, 205 amesema kuwa serikali inatambua uwepo wa Wafanyakazi wa umma wanaofanya kazi kwa weledi inayochangia maendeleo ya miradi ya nchi lakini pia wanatambua uwepo wa...
  8. Mwabhleja

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu Mwigulu ametangaza Kanisa la Gwajima lifunguliwe, kwanini askari wametanda na kufukuza waumini?

    Ushuhuda na Sababu za Askari Kuwazuia Waumini Ufungaji wa Usajili wa Kanisa Msajili wa Jumuiya za Kiraia alitangaza kufutwa kwa usajili wa kanisa la Gwajima (Glory of Christ Tanzania / Ufufuo na Uzima), kwa madai kwamba mahubiri ya askofu yalikuwa na mwelekeo wa kisiasa na kuhatarisha amani ya...
  9. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Waziri Mkuu Mwingulu: Wachochezi wote wanalipwa pesa ili kuharibu nchi, wengine juzijuzi tu walikuwa masikini wakiomba na vocha

    “Wanawaambia chomeni nchi yenu, chomeni barabara, chomeni na hospitali. Mkishamaliza kuchoma hospitali anaugua mtoto wako, hospitali ilishachomwa moto, -yeye na watoto wake wako na hospitali palepale pua na mdomo huko ughaibuni walipo, wamejipa haki wao ndio wapenda Tanzania, mpenda Tanzania...
  10. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Waziri Mkuu Mwigulu: Vituo vya Polisi vilivyochomwa ni mali ya Watanzania wala si Polisi

    Waziri Mkuu wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema kuwa uharibifu wa miundombinu iliyotokea siku na baada ya vurugu za Oktoba 29, 2025 unapaswa kuwa funzo kwa taifa, akibainisha kwamba miundombinu hiyo si mali ya serikali bali ni matokeo ya jasho, kodi na kujinyima kwa wananchi wote...
  11. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Waziri mkuu Mwigulu: Wanaotaka mchome nchi yenu hawapo hapa wapo nje

    WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mwigulu Nchemba, amewasihi watanzania kulinda nchi yao kwa kudumisha amani, na kusisitiza kuwa wengi wanaochochea haya mambo hawaishi nchini wapo kwenye mataifa mengine. Ameyasema hayo leo Novemba 21,2025 alipokuwa ziarani mkoani Singida.
  12. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Waziri mkuu Dkt. Mwigulu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuiwa hati yake

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameelekeza Jeshi la Polisi na Uhamiaji kuhakikisha wanamkamata na kuzuia hati ya kusafiria ya mkandarasi anayejenga mradi wa Kituo cha ukaguzi cha Pamoja kilichopo Muhalala mkoani Singida. Dkt. Mwigulu amesema kuwa...
  13. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania WAZIRI mkuu ulikuwa waziri wa fedha ulishindwaje kumtembelea kitima hosptali? Je washindwaje kwenda ukonga kuzungumza na Lissu kilugha?

    Hizi ni ngiriba kinyeo upakwa mafuta ya senene Ili kesho yanukie pakuche😆😀😂🤣 napendanga kucheka mie. Je MWIGULU Nchemba jitu liliro ISHI umasikinini, ulishindwaje kumtembelea faza kitima akiwa hosptalini? Any way, labda ungeenda ungetumbuliwa, je washindwa kwenda gerezani ukonga ukaomba uingie...
  14. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Katiba Mpya inatakiwa iweke wazi idadi ya Mawaziri na Manaibu wake, nafasi ya unaibu waziri mkuu na elimu zao

    KatIba ya mwaka 1977 ina-mapungufu mengi sana moja wapo ni kutokusema exactly numbe ya mawaziri na manaibu wao hii inampa Rais madaraka makubwa sana Mfano kuna one time tulishakuwa na mawaziri na manaibu jumla 60 imagine a poor country like Tanzania inakuwa na mawaziri 60 kwanini tunapenda...
  15. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba akabidhiwa rasmi ofisi na waziri mkuu mstaafu Kassim Majaliwa

    DKT. MWIGULU AKABIDHIWA OFISI RASMI Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba leo Novemba 17, 2025 amekabidhiwa Ofisi na Waziri Mkuu Mstaafu Kassim Majaliwa, Mlimwa Jijini Dodoma Novemba 17, 2025. Viongozi waliohudhuria hafla ni pamoja na Naibu Waziri Mkuu Mstaafu Dkt. Doto Biteko, Makatibu...
  16. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Tuliwaonya kuwa kikatiba, hakuna cheo cha Naibu Waziri Mkuu mkatudharau

    Kwa waliosoma katiba ya nchi vizuri, hatuna cheo cha naibu waziri mkuu. Hicho cheo feki kwa mara ya kwanza, kilitumiwa na Ali Hassan Mwinyi kumpoza Augustine Mrema na mara ya pili ni Samia kumzuga Dotto Biteko ili watu wa Magufuli wamtafutie kura halafu awabwage kama alivyofanya. Ukiangalia...
  17. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amkatalia Waziri Mkuu wa Norway kutembelea Israel

    Waziri Mkuu wa Israel Netanyahu alikataa ombi la Waziri Mkuu wa Norway kuzuru Israel - na ndivyo ilivyo. Norway iliunga mkono mashtaka ya ICC dhidi ya Israel, ilitambua taifa la Palestina, na kiongozi wao hata alihudhuria tukio la kupinga Uzayuni la Kristallnacht. Israel haina nafasi...
  18. Genius Man

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Je, waziri mkuu anajikomba kujifanya anatembelea hospitali kwa kushtukiza ili kukwepa ghasia za wananchi

    je, waziri mkuu haramu anajikomba kijifanya anatembelea hospital kwa kushtukiza ili kukwepa ghasia za wananchi. Mimi nafikiri huu ndio mwisho wake hawezi kutembelea wananchi uso kwa uso nchi imeshagawanyika hii. Hayupo na hata kuwepo mtu atakaye kuwa na ubavu wakuingia mitaani kwa watu ambao...
  19. President of China

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu Mwigulu afika na mkewe kanisani Usharika wa Kisasa Dodoma na ulinzi mkali, afikisha salamu za Rais Samia Amani

    Waziri Mkuu Mwigulu afika na mkewe kanisani Usharika wa Kisasa Dodoma na ulinzi mkali, afikisha salamu za Rais Samia Amani https://youtu.be/wEZdUyMljiQ?si=f7KAhBCRRdLsfD70
  20. L

    JamiiForums Tanzania Hii ndio CV nzito na ya kutetemesha ya Dkt Mwigulu Nchemba Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania

    Ndugu zangu Watanzania, Napenda kuwaleteeni Wasifu mzito na wa Kutetemesha Wa Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Daktari Mwigulu Lameck Nchemba au waweza kumwita Mr Clean ikiwa na Maana ya mtu safi ,muadilifu asiye na makandokando wala kashifa ya aina yoyote ile. Au...
Back
Top Bottom