waziri mkuu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waziri Mkuu: Tumetengeneza ajira laki 6.5 | Rais: Tumetengeneza ajira milioni 6+; Nani tumwamini?

    Waziri mkuu wakati akitoa hotuba ya kuaga bunge alisema ametengeneza ajira laki 6.5, Jana Mheshimiwa, mkuu, mtukufu Rais kasema wametengeneza ajira milioni 6+. Nataka kujua, nimesikia vibaya au? Na nani nimwamini? Na hizo ajira milioni 6 za nchi hii au wapi?
  2. UTABIRI: Ndugai kuwa Naibu Waziri Mkuu ajaye na Tulia kuwa Spika wa Bunge lijalo

    Mheshimiwa Ndugai hongera kwa kuumaliza mwendo vyema na kwa hakika ulimfaa sana JPM katika yote na ulijua vyema kucheza ngoma ya bwana mkubwa huyo. Kwahivyo, kwa yote mema ni rasmi unaenda kuwa na cheo alichopata kuwa nacho ndugu Augustine Mrema. Na kila lililo la kheri mwanadada Tulia kwa...
  3. Rais Magufuli aongea na Waziri Mkuu wa India

    ''Prime Minister Shri Narendra Modi had a phone call today with His Excellency Dr. John Pombe Joseph Magufuli, President of the United Republic of Tanzania. The Prime Minister warmly recalled his July 2016 visit to Dar-es-Salaam and stressed on the importance that India attaches to its...
  4. M

    Lijualikali: Mbowe hakuvamiwa bali kateleza kwa ulevi | Musukuma: Mnaliza ving'ora kumsalimia mlevi kateguka mguu

    Lijualikali akichangia bungeni leo amesema Mbowe hakuvamiwa bali alianguka sababu alikuwa amelewa Maneno hayo yamesindikizwa na makofi mengi ya wabunge kuashiria kuunga mkono hoja yake Pia baada ya maneno hayo Spika amesimama na kusema kuna kitu hakiko sawa ndio maana hawataki kusema akalitaka...
  5. Wajumbe wa Baraza la Usalama la Taifa ni Kina nani?

    Nimemsikia mkapa akisema enzi zake za uongozi aliwahi agiza baraza la usalama la Taifa wafanyie vikao vyao dodoma. Sijawahi sikia kitu kinaitwa baraza la usalama la Taifa kwa Tanzania. Nimejiuliza 1. Hilo baraza lina watu wa namna gani 2. Kina nani ni member wa hilo baraza 3. Muundo wa baraza...
  6. Mabadiliko ya Sheria: Rais, Makamu wake, Jaji Mkuu, Waziri Mkuu na Spika wa Bunge kutofunguliwa kesi Mahakamani

    MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC) kwa kushirikiana na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) wamepinga muswada wa sheria wa marekebiaho ya sheria mbalimbali nchini namba 3 wa mwaka 2020. THRDC na LHRC wametoa tamko la kupinga muswada huo leo Alhamisi tarehe 4 Juni 2020 mbele...
  7. Waziri Mkuu akabidhi nyumba 103 kwa Idara ya Uhamiaji Dodoma

    WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameikabidhi Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi nyumba 103 zenye gharama ya zaidi ya sh. bilioni tano kwa ajili ya makazi ya Maafisa na Askari wa Idara ya Uhamiaji nchini zilizojengwa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) katika eneo la Iyumbu jijini Dodoma ikiwa ni...
  8. J

    Waziri mkuu mh Majaliwa anafungua Jengo la Bodi ya mkonge na urejeshwaji wa mali zilizoporwa kifisadi

    Waziri mkuu mh Majaliwa anafungua jengo la ofisi za bodi ya mkonge na kushuhudia utekelezaji wa agizo lake lililotaka mali zote za Mkonge zilizoporwa na mafisadi zirejeshwe. Karibu. Up datea;
  9. IS yamshambulia Waziri Mkuu wa Iraq. Yamuita "kibaraka wa Marekani"

    Kundi la wanamgambo linalojiita Dola la Kiislamu, IS limemshambulia Waziri Mkuu mpya wa Iraq, Mustafa al-Kadhimi, kwa kumuita "kibaraka wa Marekani". Aidha IS imekosoa hatua ya kufungwa kwa eneo takatifu zaidi la ibada la Kiislamu katika mji mtakatifu wa Mecca, nchini Saudi Arabia, katika hatua...
  10. F

    Wagonjwa wote wa Corona wa Faeroe Islands wapona, hakuna kifo, Waziri Mkuu aanika siri ya mafanikio

    Wagonjwa wote 187 walioambukizwa covid-19 katika kisiwa cha Faeroe kilichopo kaskazini mwa UK wamepona na hakuna aliyekufa. Faeroe ni nchi inayojitegemea sio sehemu ya UK. Waziri mkuu wa Faero Bárður á Steig Nielsen awashukuru watu wake na kutaja siri ya ushindi huu: 1. Kufunga shughuli...
  11. TANZIA Aliyekuwa dereva wa Mkurugenzi msaidizi (Utawala) ofisi ya Makamu wa Rais, Bw Willhelmy Benard Kido afariki dunia

    TANZIA Kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais:Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais,Anasikitika kutangaza kifo Cha Bw. Willhelmy Bernard Kido
  12. I

    Utaratibu wa maswali ya papo kwa hapo kwa Waziri Mkuu kila Alhamisi ulifia wapi?

    Serikali hii inapenda sana kufanya mambo yake uvunguni. Rais kanyamaza, Waziri Mkuu kanyamaza kana kwamba kila kitu kipo sawa. Wameachiwa wapayukaji kina Makonda kila siku kuongea pumba huku watu tunaotegemea wanaweza kuongea mambo ya maana wakiwa wamekimbia korona. Nauliza hivi, ule utaratibu...
  13. Uongo Wa Vipimo Vya Corona Tanzania: Kwanini Waziri Mkuu Na Waziri Wa Afya wasijiuzulu?

    Leo Rais wa Tanzania amehutubia taifa na kusema, utaratibu mzima wa upimaji na utoaji majibu ya vipimo kwa wahisiwa wa ugonjwa wa COVID-19 hapa Tanzania yamezungukwa na uongo, ujanja ujanja na ulaghai mkubwa. Hivyo takwimu zote za COVID-19 hapa Tanzania zilizotolewa na Waziri Mkuu au Waziri wa...
  14. Russian Prime Minister Mishustin tests positive for coronavirus as national total tops 100,000 cases

    Waziri mkuu wa Urusi Mikhail Mishustin amesema amekutwa na #CoronaVirus amesema anapaswa kujitenga ili kuwaokoa wengine Waziri huyo ameshauri naibu wake, Andrey Belousov kukaimu nafasi ya uwazirii mkuu Hadi sasa Urusi ina jumla ya visa 106,498 na wameripoti vifo 1,073 === Russian Prime...
  15. COVID-19: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa atangaza ongezeko la Wagonjwa Wapya 196. Visa vyafikia 480

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Ametangaza Ongezeko la Wagonjwa Wapya wa Corona Nchini 196. Tanzania Bara Wagonjwa 174 na Zanzibar 22. Amesema kuwa visa vya maambukizi ya Virusi vya Corona nchini Tanzania vimeongezeka na kufikia 480. Vifo vingine 6 vya wagonjwa COVID-19 vimeongezeka na kufanya...
  16. Serikali kupitia ofisi ya Waziri Mkuu yatoa njia za kujikinga na COVID-19

    Hivi ndio namna ya Tanzania kupambana na corona
  17. E

    Barua ya wazi kwa Waziri Mkuu: Tukiongeza haya tutazuia maambukizi zaidi

    Mh. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mh. K.Majaliwa (MB) Binafsi ninatambua jitihada kubwa sana ambazo Serikali imekuwa ikifanya tangu kutokea kwa mlipuko wa COVID-19 duniani na hata baada ya kuanza kupata kesi hapa nchini. Serikali chini ya uratibu wako ukishirikiana na Mh. Ummy...
  18. J

    Waziri Mkuu: Tumesitisha Sunday school na Madrasa, tulichoruhusu ni Ibada tu tena zifanyike kwa muda mfupi kisha waumini waondoke

    Waziri mkuu mh Kassim Majaliwa amesema kuna taarifa kuwa baada ya masomo kusitishwa kwa sababu ya Covid 19 watoto hao sasa wamekuwa wakienda makanisani na misikitini kwa ajili ya kujinza. Mh Majaliwa amesisitiza kuwa alipokutana na maaskofu na mashehe walikubaliana kusitisha Huduma nyingine...
  19. C

    Wadau Wamkabidhi Waziri Mkuu Sh. Bil 6.226 Kukabili Corona

    Wadau Wamkabidhi Waziri Mkuu Sh. Bil 6.226 Kukabili CoronaWAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amepokea kutoka kwa wadau msaada wa fedha pamoja na vifaa mbalimbali kwa ajili ya kukabiliana na ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaosababishwa na virusi vya corona (COVID-19) wenye thamani ya sh. bilioni 6.226...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…