Wagonjwa wote 187 walioambukizwa covid-19 katika kisiwa cha Faeroe kilichopo kaskazini mwa UK wamepona na hakuna aliyekufa. Faeroe ni nchi inayojitegemea sio sehemu ya UK.
Waziri mkuu wa Faero Bárður á Steig Nielsen awashukuru watu wake na kutaja siri ya ushindi huu:
1. Kufunga shughuli zisizokuwa muhimu (Lockdown)
2. Kufuata taratibu za kitabibu (respect of public health hygiene)
3. Weledi wa madaktari na manesi (high medical professionalism)
4. Kuchukua hatua mapema (timely implementation of appropriate measures)
5. Kujitenga na kukaa mbali na wengine (social distancing)
6. Kupima wagonjwa wote wenye dadili za corona (mass testing) wamepima hadi 10% ya watu wote
7. Kujitolea na uvumilivu (sacrifice and self discipline)
"Mapambano yetu makali sasa yamelipa ila tuendelee kuchukua tahadhari kubwa tusijerudi kwenye maambukizi"-Prime Minister.
Waziri mkuu wa Faero Bárður á Steig Nielsen awashukuru watu wake na kutaja siri ya ushindi huu:
1. Kufunga shughuli zisizokuwa muhimu (Lockdown)
2. Kufuata taratibu za kitabibu (respect of public health hygiene)
3. Weledi wa madaktari na manesi (high medical professionalism)
4. Kuchukua hatua mapema (timely implementation of appropriate measures)
5. Kujitenga na kukaa mbali na wengine (social distancing)
6. Kupima wagonjwa wote wenye dadili za corona (mass testing) wamepima hadi 10% ya watu wote
7. Kujitolea na uvumilivu (sacrifice and self discipline)
"Mapambano yetu makali sasa yamelipa ila tuendelee kuchukua tahadhari kubwa tusijerudi kwenye maambukizi"-Prime Minister.