Wajumbe wa Baraza la Usalama la Taifa ni Kina nani?

Tabutupu

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
13,109
18,326
Nimemsikia mkapa akisema enzi zake za uongozi aliwahi agiza baraza la usalama la Taifa wafanyie vikao vyao dodoma.

Sijawahi sikia kitu kinaitwa baraza la usalama la Taifa kwa Tanzania.

Nimejiuliza

1. Hilo baraza lina watu wa namna gani
2. Kina nani ni member wa hilo baraza
3. Muundo wa baraza hilo upoje
4. Hilo baraza limeundwa kwa sheria ipi
5. Kazi yao muhimu ni nini.
6. Kuna doc yeyote inaonyesha uumwaji wake kama ilivyo TISS.

Nchi nyingine hata wikipedia unapata taarifa zake.
FB_IMG_1590762823356.jpeg
 
Wajuzi wa mambo watakuja kupambanua wamenituma tu nije kuifresh akili yako wakati wanajiandaa kuja.Baraza la Usalama la Taifa linaundwa na Wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama,Magereza,TISS,Police,JWTZ,Uhamiaji na wengineo na ndilo linamshauri Mwamba kuhusu hali ya usalama wa nchi.
 
Ilipaswa kutambulika kikatiba na pili kisheria

Wao ndiyo wanakuwa commanded na Rais as Commander In Chief but hawatambuliki na hivyo kikao chao hakina nguvu kisheria na ndiyo maana Magu aliwaarika kwenye kikao kikao cha baraza la mawaziri pia kile kikao cha Chato kilikuwa just briefing and not official meeting with resolutions
 
Wafukua makaburi wakijaribu kufukua tunaweza kuambulia mawili matatu... au hakuna nyuzi za zamani zenye mwanga kidogo?
 
Nimemsikia mkapa akisema enzi zake za uongozi aliwahi agiza baraza la usalama la Taifa wafanyie vikao vyao dodoma.

Sijawahi sikia kitu kinaitwa baraza la usalama la Taifa kwa Tanzania.

Nimejiuliza

1. Hilo baraza lina watu wa namna gani
2. Kina nani ni member wa hilo baraza
3. Muundo wa baraza hilo upoje
4. Hilo baraza limeundwa kwa sheria ipi
5. Kazi yao muhimu ni nini.
6. Kuna doc yeyote inaonyesha uumwaji wake kama ilivyo TISS.

Nchi nyingine hata wikipedia unapata taarifa zake. View attachment 1463573
Katika uendeshaji wa taasisi hizi tu unazozifahamu, kuna vitu vingi vinafanyika huwezi kuvielewa achilia mbali uendeshaji wa serikali
 
Ilipaswa kutambulika kikatiba na pili kisheria

Wao ndiyo wanakuwa commanded na Rais as Commander In Chief but hawatambuliki na hivyo kikao chao hakina nguvu kisheria na ndiyo maana Magu aliwaarika kwenye kikao kikao cha baraza la mawaziri pia kile kikao cha Chato kilikuwa just briefing and not official meeting with resolutions
Sio kila kitu kinajulikana kwa kila mtu
 
Nimemsikia mkapa akisema enzi zake za uongozi aliwahi agiza baraza la usalama la Taifa wafanyie vikao vyao dodoma.

Sijawahi sikia kitu kinaitwa baraza la usalama la Taifa kwa Tanzania.

Nimejiuliza

1. Hilo baraza lina watu wa namna gani
2. Kina nani ni member wa hilo baraza
3. Muundo wa baraza hilo upoje
4. Hilo baraza limeundwa kwa sheria ipi
5. Kazi yao muhimu ni nini.
6. Kuna doc yeyote inaonyesha uumwaji wake kama ilivyo TISS.

Nchi nyingine hata wikipedia unapata taarifa zake. View attachment 1463573
Lipo chini ya ccm Taifa

Jr
 
Nimemsikia mkapa akisema enzi zake za uongozi aliwahi agiza baraza la usalama la Taifa wafanyie vikao vyao dodoma.

Sijawahi sikia kitu kinaitwa baraza la usalama la Taifa kwa Tanzania.

Nimejiuliza

1. Hilo baraza lina watu wa namna gani
2. Kina nani ni member wa hilo baraza
3. Muundo wa baraza hilo upoje
4. Hilo baraza limeundwa kwa sheria ipi
5. Kazi yao muhimu ni nini.
6. Kuna doc yeyote inaonyesha uumwaji wake kama ilivyo TISS.

Nchi nyingine hata wikipedia unapata taarifa zake. View attachment 1463573
Baraza la la taifa limeundwa chini ya sheria ya usalama wa taifa

Linamajukumu ya kuhadili ,kuchambua ,kutolea maoni hali ya usalama wa taifa

Wajumbe wake

1.marais wote wastafu na aliye madarakani bara na visiwani
2.makamu wa rais wote wastafu na walio kazini bara na visiwani
3mawaziri wakuu wote waliostafu na aliye kazini
4.wakuu wote wa vyombo vya ulinzi na usalama walio stafu na walio madarakani
5.maspika wote waliostafu na waliomadarakani
6.majaji wakuu wote waliostafu na aliomadarakani
7.makatibu wakuu viongozi waliostafu na alio marakani

Pia baraza huweza kumwalika /kumuita kiongozi yoyote wa umma kama litaona inafaa

Baraza hili hukutana maramoja kwa mwaka au kukutana kwa dharula muda wowote kama itaonekana inafaa

Rais aliyepo madarakani ndio mwenyekiti wa baraza Hilo

Mkuu wa idira ya salaam wa taifa ndio katibu wa baraza la usalama wa taifa

USSR
 
Back
Top Bottom