watumishi wa umma

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    Ni sahihi watumishi wa umma kumiliki simu mbili au zaidi kila moja ikiwa na thamani ya zaidi ya milion mbili?

    Mishahara ya watumishi wa Umma nimikubwa kiasi gani? Unatembelea ofisini kwa mtu unamiuta anasimu tatu smartphone zenye thamani ya si chini ya milioni mbili kila moja, unajiuliza haya mafedha wanayatoa wapi? Je, huu ni utajiri au nikukosa elimu ya matumizi za fedha? Inaweza kuwa tunashangaa V8...
  2. M

    Ushauri kwa Rais: Ili kukuza uchumi wa nchi na kupata fedha za ujenzi wa miundombinu, Mishahara ya watumishi wa umma na viongozi wa kisiasa ipunguzwe

    Wapo watumishi wa Serikali pamoja na viongozi wa kisiasa wanalipwa mishahara mikubwa Sana. Wapo wanaolipwa mpaka Laki nane, Tisa, milioni 2, 3, 4, 5, 10, 20 n.k kwa mwezi kiasi kwamba Hata ikikatwa na kuwa nusu yake bado kitakuwa Ni kiwango stahiki kitakachokidhi mahitaji Yao ya msingi na...
  3. Liverpool VPN

    Watumishi wa UMMA tujiandae kuumia tena kwa miaka 5

    ......YNWA..... Moderator FUTA HUU UZI. Please DELETE.
  4. Dr Akili

    Nchi zilizoendelea kama za Ulaya, Marekani na China huwa zinaongeza mishahara ya watumishi wa umma kila mwaka?

    Nchi masikini zenye uchumi unaoyumba (unstable economy) na mfumuko mkubwa wa bei (high inflation rate), hulazimika kila mwaka kuongeza mishahara ya watumishi wake ili kujaribu kukabiliana na mfumuko wa bei. Ongezeko hilo la mishahara kwa kawaida huwa ni kiduchu lakini matokeo yake huwa ni...
  5. Fundi Madirisha

    GE2020 Mkuu wa Wilaya ya Magu acha kutisha Watumishi wa Umma

    Huyu mkuu wa Wilaya ya Magu mkoani Mwanza amekua akikusanya Watumishi wa Umma katika kila tarafa kuzungumza na kuwatisha kwamba yeyote atakayeongelea upinzani au kuupigia kura upinzani. Wakati huo huo anawapigia kampeni wagombea wa CCM. Hii Taarifa iwafikie tume ya taifa ya uchaguzi NEC...
  6. B

    Kwanini watumishi wa Umma waliokatazwa na sheria kujihusisha na siasa wanavaa nguo za vyama vya siasa?

    Wapo watumishi wa mahakama, tume, vyombo vya dola na taasisi nyingine wamekatazwa na sheria kwa kipindi chote Cha utumishi wasijihusishe na siasa lakini aidha kwa kujua au kutokujua leo wanavaa nguo za vyama, wanaposti picha kwenye mitandao wakiwa na nguo za chama Cha siasa na kuandika katika...
  7. Samia atosha tukutane2030

    Ufahamu wa baadhi ya Watumishi wa umma ni mdogo, Kauli ya huyu mtumishi mwenzangu imenishangaza

    Habari wakuu! Jumatatu nikiwa ofisini katika stori za hapa na pale Mzee mmoja ambaye ndiye mkuu wa kitengo chetu au boss wetu akajikuta ametamka neno. Alisema hivi "Magufuli akiongeza mshahara mwezi huu( October) tutamwagia kura mpaka ashangae". Kila mmoja anajua kuwa watumishi wa umma...
  8. F

    Nilichogundua kwa watumishi wa umma zama hizi za Rais Magufuli

    Habari Wana wa JF. Niende madani. Tangu Rais Magufuli aingie madarakani mwaka 2015, kumekuwa na mabadiliko katika utumishi wa umma. Kuna mengi ila nizungumzie haya machache. 1. Mosi, Watumishi wa umma wengi wamefungua maduka madogo ya rejareja ili kujikimu kimaisha. 2. Pili, Watumishi wengi...
  9. The Palm Tree

    GE2020 CHADEMA na Mgombea Urais wa Tanzania Tundu Lissu, wahakikishieni watumishi wa Umma usalama wa ajira zao

    Wana JF; 1. Jana nilitupia uzi humu nikichambua mikakati ya CCM ya kujipatia ushindi haramu ktk uchaguzi mkuu huu nje ya ballot box kwa kuwatumia watumishi wa umma; walimu, manesi, madaktari wetu, polisi, TISS, DEDs, DCs na maRCs. 2. Mpaka sasa mgombea wa CCM, John Pombe Magufuli anaamini...
  10. B

    Kwanini watumishi wa Umma wawe na Masters na PhD?

    Nimefuatilia hoja za viongozi wengi wa Umma wenye PhD na Masters, kila wanaposimama kuzungumzia mstakabali wa nchi yetu wamekuwa wepesi sana KUTUDANGANYA. Matumizi ya elimu za wasomi ambao ndio viongozi waandamizi wa Taifa letu hayaendani kabisa na kile wanachokichangia kwa Taifa. Msemaji wa...
  11. Samia atosha tukutane2030

    Kwa heshima tuliyopewa Watumishi wa Umma ndani ya hii miaka 5, hakika nitachapa kazi kwa uadilifu

    Huu Uzi nauandika nikiwa na machungu sana. Miaka mitano - Sijapandishiwa mshahara - Sijapanda daraja -I ncrement ya mbinde. - Kazi yetu kama Watumishi wa Umma haithaminiwi. Wanaoshukuriwa kwenye mikutano ni watumishi wa Vyombo vya dola tu. - Kila siku kiongozi mkuu anasema fedha ziko za kutosha...
  12. T

    Hoja ya maslahi ya watumishi wa Umma inavyopotosha na Wapinzani

    Na Bwanku M Bwanku Hekaheka na pilika za kampeni zinaendelea kutimua vumbi kwenye maeneo mbalimbali ya nchi kwa wagombea wa Urais, wabunge na madiwani kunadi Sera na Ilani zao wanazoenda kuzitekeleza kwa miaka mitano ijayo kama wananchi wakiwapa ridhaa yao. Kwa bahati nzuri sana nimeendelea...
  13. T

    GE2020 Dkt. Magufuli: Siwezi kudanganya watumishi wa umma kuwa nitawapandishia mishahara!

    Hayo ameyasema Leo akiwa mkoani Mara kwenye kampeni za kuomba kuchaguliwa kwa miaka mitano ijayo. Ahadi hii imeniacha na maswali mawili Kama ifuatavyo: 1 Je huyu mgombea anawachukuliaje watumishi wa umma? Huwaona Kama wanaokula bure?, au makondoo tu wasio na lolote.! 2 Nini mtazamo wa...
  14. T

    Waliookotwa majalalani siyo watumishi wa umma, ni akina Kabudi

    Kabudi ndiye aliyekubali kuwa kaokotwa jalalani, siku ile Tundu Lissu alimaanisha huyo wala hakumaanisha wafanyakazi wengine. Hivyo vikazi vidogovidogo wanapewa majada wa chama siyo watumishi wenginee ACHENI UPOTOSHAJI
  15. S

    Tundu Lissu zungumzia pia hoja ya serikali ya CCM kushindwa kulipa malimbikizo ya mishahara ya watumishi wa umma na malimbikizo mengineyo

    Tundu Lissu,mbali na serikali hii kushindwa kuongeza mishahara ya watumishi wa umma kama sheria inavyotaka,lakini pia imeshindwa kulipa malimbikizo ya mishahara ya watumishi wa umma licha ya watumishi kutakiwa kujaza form za madai ya malimbikizo yao mara kwa mara. Kwa wasiolewa,wako baadhi ya...
  16. Subira the princess

    Ndege unanunua cash money, watumishi wa umma na wakulima unawakopa

    Wasalaam. Nimefatilia kampeni za mgombea urais wa CCM ambae ndio rais anaemaliza muda wake. Katika kila mkutano amekua akiimba pambio kwamba amenunua midege 11 tena kwa cash na sio mkopo kwangu ni jambo jema. Kinachonisikitisha ambacho naamini kinawasikitisha wengi ni jinsi serikali hii ya...
  17. Civilian Coin

    Majeshi na watumishi wa Umma hawana makosa kuisapoti CCM, ni maagizo ya Standing Order zao

    TATIZO LA TANZANIA "Standing Order" zote za Majeshi na Utumishi wa Umma zinawataka kuwa wanachama wa CCM tu. 1. Hili ndilo limeniondoa Utumishi wa Umma na ndio sababu WATUMISHI wa Umma wameniwekea Vikwazo vya Kijinga kwa masilahi ya kijinga Sana. 2. Mtumishi lazima uisapoti CCM kwa Kanuni hiyo...
  18. Analogia Malenga

    Watumishi wa Umma waliotia nia, warejea ofisini

    Watumishi wa Umma waliochukua fomu kugombea majimbo mbalimbali na kushindwa wamerejea rasmi maeneo yao ya kazi leo Septemba 1, 2020. Naibu Katibu Mkuu Utumishi, Dkt. Francis Michael ameamuru watumishi hao wa umma kuanza kulipwa mishahara yao kuanzia mwezi huu. Aidha, Dkt. Michael amefafanua...
  19. Replica

    GE2020 Yaliyojiri katika Ufunguzi wa Kampeni za Chama cha Mapinduzi (CCM) - Uwanja wa Jamhuri, Dodoma (Agosti 29, 2020)

    Leo chama tawala (CCM) kinafungua kampeni zake uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma kuomba ridhaa ya wananchi kurejea kwenye utawala baada ya ngwe ya kwanza ya miaka mitano ya serikali ya awamu ya tano kuisha. Dkt. John Magufuli Rais anayemaliza awamu yake ya kwanza amepewa ridhaa ya chama hicho...
Back
Top Bottom