Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,230
- 6,469
Habari Wana wa JF.
Niende madani.
Tangu Rais Magufuli aingie madarakani mwaka 2015, kumekuwa na mabadiliko katika utumishi wa umma. Kuna mengi ila nizungumzie haya machache.
1. Mosi, Watumishi wa umma wengi wamefungua maduka madogo ya rejareja ili kujikimu kimaisha.
2. Pili, Watumishi wengi wa umma wanajituma na wamekuwa waoga kazini kwa viongozi wa serikali.
3 Tatu, Watumishi wa umma wanaelekeza hasira zao kwa viongozi wao wanaowasimamia vituoni. Mkuu wa ofisi asipokuwa makini atagombana na wenzake wote.
4. Nne, Watumishi wa umma wengi wanaombeana mabaya na hufurahi Sana kusikia fulani katumbuliwa. Mtu husuuzika nafsi yake kisa kasikia kiongozi wa ofisini kwao, jirani au hata kiongozi mkubwa huko juu katumbuliwa.
5. Tano, watumishi wa umma wamejawa na wivu na majungu miongoni mwao na wengi wanaombeana mabaya.
Ni hayo machache tu nimeyagundua kipindi hiki.
Niende madani.
Tangu Rais Magufuli aingie madarakani mwaka 2015, kumekuwa na mabadiliko katika utumishi wa umma. Kuna mengi ila nizungumzie haya machache.
1. Mosi, Watumishi wa umma wengi wamefungua maduka madogo ya rejareja ili kujikimu kimaisha.
2. Pili, Watumishi wengi wa umma wanajituma na wamekuwa waoga kazini kwa viongozi wa serikali.
3 Tatu, Watumishi wa umma wanaelekeza hasira zao kwa viongozi wao wanaowasimamia vituoni. Mkuu wa ofisi asipokuwa makini atagombana na wenzake wote.
4. Nne, Watumishi wa umma wengi wanaombeana mabaya na hufurahi Sana kusikia fulani katumbuliwa. Mtu husuuzika nafsi yake kisa kasikia kiongozi wa ofisini kwao, jirani au hata kiongozi mkubwa huko juu katumbuliwa.
5. Tano, watumishi wa umma wamejawa na wivu na majungu miongoni mwao na wengi wanaombeana mabaya.
Ni hayo machache tu nimeyagundua kipindi hiki.