Fundi Madirisha
Senior Member
- Jun 30, 2020
- 184
- 987
Huyu mkuu wa Wilaya ya Magu mkoani Mwanza amekua akikusanya Watumishi wa Umma katika kila tarafa kuzungumza na kuwatisha kwamba yeyote atakayeongelea upinzani au kuupigia kura upinzani. Wakati huo huo anawapigia kampeni wagombea wa CCM.
Hii Taarifa iwafikie tume ya taifa ya uchaguzi NEC imchukulie hatua za kinidhamu DC huyu kwani watumishi wa umma ndani ya Wilaya wamechoshwa sana na kauli zake. Sheria ya uchaguzi haziwarihusu viongozi hawa kujishughulisha na kampeni lakini yeye anavunja kanuni makusudi. Nasi watumishi twasema lolote likitokea yeye atakua wa kwanza kuhusika.
Hii Taarifa iwafikie tume ya taifa ya uchaguzi NEC imchukulie hatua za kinidhamu DC huyu kwani watumishi wa umma ndani ya Wilaya wamechoshwa sana na kauli zake. Sheria ya uchaguzi haziwarihusu viongozi hawa kujishughulisha na kampeni lakini yeye anavunja kanuni makusudi. Nasi watumishi twasema lolote likitokea yeye atakua wa kwanza kuhusika.