Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,480
- 35,371
Huu Uzi nauandika nikiwa na machungu sana.
Miaka mitano
- Sijapandishiwa mshahara
- Sijapanda daraja
-I ncrement ya mbinde.
- Kazi yetu kama Watumishi wa Umma haithaminiwi. Wanaoshukuriwa kwenye mikutano ni watumishi wa Vyombo vya dola tu.
- Kila siku kiongozi mkuu anasema fedha ziko za kutosha ila ustawi wa watumishi sio kipaumbele.
Haki na wajibu ni vitu ambavyo vinakwenda sambamba. Sasa kinachofanyika ni kuhimizwa tutimize wajibu lakini haki zetu hazizungumzwi.
Serikali inajifanya inanijali nami nitajifanya natimiza wajibu wangu.
Miaka mitano
- Sijapandishiwa mshahara
- Sijapanda daraja
-I ncrement ya mbinde.
- Kazi yetu kama Watumishi wa Umma haithaminiwi. Wanaoshukuriwa kwenye mikutano ni watumishi wa Vyombo vya dola tu.
- Kila siku kiongozi mkuu anasema fedha ziko za kutosha ila ustawi wa watumishi sio kipaumbele.
Haki na wajibu ni vitu ambavyo vinakwenda sambamba. Sasa kinachofanyika ni kuhimizwa tutimize wajibu lakini haki zetu hazizungumzwi.
Serikali inajifanya inanijali nami nitajifanya natimiza wajibu wangu.