kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Mishahara ya watumishi wa Umma nimikubwa kiasi gani? Unatembelea ofisini kwa mtu unamiuta anasimu tatu smartphone zenye thamani ya si chini ya milioni mbili kila moja, unajiuliza haya mafedha wanayatoa wapi?
Je, huu ni utajiri au nikukosa elimu ya matumizi za fedha? Inaweza kuwa tunashangaa V8 za wakurugenzi kumbe tatizo linaanzia huku chini ambapo badala yakufanya Mambo yanayogusa jamii wamejikita kwenye anasa zisizofaa.
Kama mtu anamiliki simu za milioni nane hadi kumi unategemea huyu ukimpa madaraka makubwa atawajali wananchi wachini au atazidi kujilimbikizia Mali?
Hawa wenye masimu kibao ukiwafuatilia huko walipotoka wapo ndugu zao hawana ada na kwa wao kushindwa kugawanya vipato vyao wamepelejea nchi kuendelea kuwa na tatizo kubwa la umaskini.
Yamkini angeacha kununua simu hizi zisizo na kazi angewekeza kwenye biashara na angeajiri watu kadhaa tatizo la ajira lingepungua.
Hapa najadili simu ila vipo vingi vyakujadili ambavyo tusipovikemea tunatengeneza taifa la walafi wakati nchi yetu umezaliwa kwenye ujamaa.
Je, huu ni utajiri au nikukosa elimu ya matumizi za fedha? Inaweza kuwa tunashangaa V8 za wakurugenzi kumbe tatizo linaanzia huku chini ambapo badala yakufanya Mambo yanayogusa jamii wamejikita kwenye anasa zisizofaa.
Kama mtu anamiliki simu za milioni nane hadi kumi unategemea huyu ukimpa madaraka makubwa atawajali wananchi wachini au atazidi kujilimbikizia Mali?
Hawa wenye masimu kibao ukiwafuatilia huko walipotoka wapo ndugu zao hawana ada na kwa wao kushindwa kugawanya vipato vyao wamepelejea nchi kuendelea kuwa na tatizo kubwa la umaskini.
Yamkini angeacha kununua simu hizi zisizo na kazi angewekeza kwenye biashara na angeajiri watu kadhaa tatizo la ajira lingepungua.
Hapa najadili simu ila vipo vingi vyakujadili ambavyo tusipovikemea tunatengeneza taifa la walafi wakati nchi yetu umezaliwa kwenye ujamaa.