Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 5,601
- 12,450
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acheni Mzee Apumzike Mtamuua Kwa PressureKikokotoo kinaanza kufanya kazi mwakani
Mimi naomba Magufuli awamu hii apunguze hadi mishahara ya watumishi wa umma!Aliyeshinda uchaguzi ni.
1. Ni yuleyule rais aliyesema hana mpango wowote na Human resource encourange (Hawezi kuongeza mshahara).
Kumbe nawe dada kichwani mweupeee! Hujamsikia Waziri mkuuwa Uingereza Boris Johnson katangaza Lock down ya kuanzia kesho 2/11/ hadi 5/12/2020 au unasema London ya Runzewe?Maandamano yasiyo na ukomo yameanza London, Paris, Sweden
Tatizo maofisini kumejaa makada tu.Kule Porini kuna Predator na Prey wale predators kimsingi ni wachache in numbers ila wanaishi kwa kujitanua kwasababu ya ujinga wa prey.Nyumbu kwa umoja wao wakiamua simba hatamuua hata mmoja..
Kwani leo ni tarehe ngapi?Kumbe nawe dada kichwani mweupeee! Hujamsikia Waziri mkuuwa Uingereza Boris Johnson katangaza Lock down ya kuanzia kesho 2/11/ hadi 5/12/2020 au unasema London ya Runzewe?
Mi ni mtumishi wa umma mwenye TGS C2.Huu ni uchochezi wa kipuuzi sana kutoka kwa mlalahoi ambaye hajawahi kuwa mtumishi hata wa stand ya jiji
Kwani leo ni tarehe ngapi?
Aliyeshinda uchaguzi ni....
1.Ni yuleyule raisi aliyesema hana mpango wowote na Human resource encourange (Hawezi kuongeza mshahara)
2. Ni yule yule raisi aliyeamua kugoma kupandisha maadaraja watumishi wotee walioajiriwa kuanzia 2014
3. Ni yuleyule raisi aliamua kuvunja Sheria ya "Annual Increment". Na hakuongeza chochote kama Sheria ilivyomtaka....
Majanga mengine kutoka kwa jiwe.Kikokotoo kinaanza kufanya kazi mwakani
Bro kumnunulia mtoto nguo mpya haiondoi "his right and your obligation kumpa chakula"Hujasema kama:
1. yule yule aliyekomesha Rushwa ns Ucheleweshaji wa kesi Mahakamani.
2. Ni yule yule anayesomesha bure watanzania kutoka darasa LA kwanza hadi kidato cha NNE
3. Ni yule yule aliyekarabati shule Kongwe ambazo ukifika utadhania ni vyuo vikuu
Uhakiki wa wafanya kazi hewa kuanza tenaAliyeshinda uchaguzi ni....
1.Ni yuleyule raisi aliyesema hana mpango wowote na Human resource encourange (Hawezi kuongeza mshahara)
2. Ni yule yule raisi aliyeamua kugoma kupandisha maadaraja watumishi wotee walioajiriwa kuanzia 2014...