waraka

Warqah ibn Nawfal ibn Asad ibn Abd-al-Uzza ibn Qusayy Al-Qurashi (Arabic ورقه بن نوفل بن أسد بن عبد العزّى بن قصي القرشي) was the paternal first cousin of Khadija bint Khuwaylid, the first wife of the Islamic prophet Muhammad. He was considered a Christian priest. Warqah presumably died in 610 CE, shortly after Muhammad is said to have received his first revelation.Warqah and Khadija were also the first cousins twice removed of Muhammad: their paternal grandfather Asad ibn Abd-al-Uzza was Muhammad's matrilineal great-great-grandfather. By another reckoning, Warqah was Muhammad's third cousin once removed: Asad ibn Abd-al-Uzza was a grandson of Muhammad's patrilineal great-great-great-grandfather Qusai ibn Kilab. Warqah was the son of a man called Nawfal and his consort—Hind, daughter of Abī Kat̲h̲īr. Warqah was proposed to marry Khadija, but the marriage never took place.Warqah is revered in Islamic tradition for being one of the first hanifs to believe in the prophecy of Muhammad .

View More On Wikipedia.org
  1. Sildenafil Citrate

    Feisal Salum (Feitoto) aaga rasmi Yanga

    Umekuwa wakati mzuri sana kuichezea klabu ya Young Africans SC (Yanga) klabu yenye historia kubwa na ya kuvutia chini na Afrika yote. Tumekuwa na nyakati nyingi mchanganyiko, tulifurahi pamoja pale furaha ilipokuja elekeo wetu na tulihuzunika pamoja nyakati mbaya zilipotutokea. Nitakumbuka...
  2. Danny22

    Mwenye Waraka Na. CCB.228/271/01 wa tarehe 7 Agosti, 2012 naomba anisaidie

    Waraka Na. CCB.228/271/01 wa tarehe 7 Agosti, 2012 Tafadhali, kwa yeyote mwenye waraka huo au anayejua maudhui yake naomba anisaidie Waraka huo unazungumzia: Utaratibu wa kuomba Kibali cha kurejea katika Utumishi wa Umma Mara nyingi nafasi za ajira serikalini zinapotoka zinawataka "waombaji...
  3. M

    Waraka kwa Mkurugenzi wa mashtaka DPP

    WARAKA KWA MKURUGENZI WA MASHTAKA - DPP. TAKUKURU IUNDIWE TAKUKURU-JAJI LUBUVA. Kwa muda mrefu sasa Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa - PCCB wamekuwa wakitenda mambo ya ajabu na kukomoa watanzania utadhani sio raia wa nchi hii. Mwezi may 2021,Mkurugenzi wa mashtaka nchini Silvester...
  4. Danny22

    Mwenye Waraka wa Serikali Na. CCB.228/271/01 wa tarehe 7 Agosti, 2012 naomba anisaidie

    Tafadhali, kwa yeyote mwenye waraka huo au anayejua maudhui yake naomba anisaidie Waraka huo unazungumzia: Utaratibu wa kuomba Kibali cha kurejea katika Utumishi wa Umma. Mara nyingi nafasi za ajira serikalini zinapotoka zinawataka "waombaji waliowahi kuajiriwa serikalini na kuacha kwa sababu...
  5. Danny22

    Waraka Na. CCB.228/271/01 wa tarehe 7 Agosti, 2012

    Tafadhali, kwa yeyote mwenye waraka huo au anayejua maudhui yake naomba anisaidie Waraka huo unazungumzia: Utaratibu wa kuomba Kibali cha kurejea katika Utumishi wa Umma Mara nyingi nafasi za ajira serikalini zinapotoka zinawataka "waombaji waliowahi kuajiriwa serikalini na kuacha kwa sababu...
  6. Sildenafil Citrate

    Waraka wa Elimu namba 06 wa Mwaka 2022 kuhusu Usimamizi wa Maadili kwa wanafunzi wa Shule za Awali, Msingi na Sekondari

    Mataifa mbalimbali duniani yamekuwa yakifanya jitihada za kuhakikisha kwamba kila Taifa linalinda na kukuza utamaduni na maadili yake kwa lengo la kudumisha amani, mshikamano, umoja na maendeleo katika nchi husika. Hata hivyo, kutokana na maendeleo makubwa ya Sayansi na Teknolojia yaliyopelekea...
  7. Tanzania Nchi Yetu Sote

    Waraka mfupi wa kuelimisha kuhusu sensa ya watu na makazi 2022

    Ndugu zangu naomba niwataarifu kuwa Sensa ya Watu na Makazi 2022 itahusisha madodoso manne: 1: Dodoso la Jamii 2: Dodoso la Sensa ya Watu na Makazi 3: Dodoso la Makundi Maalum 4: Dodoso la Majengo 1. Dodoso la Jamii litaanza kwa kumuhoji mwenyekiti au mjumbe wa kitongoji au mtaa juu ya uwepo wa...
  8. Lupweko

    Waraka wa Yanga ukiwasihi mashabiki wake kuiheshimu TFF na Serikali

    Jamani wananchi, uongozi umeshasema tuiheshimu TFF na Serikali, ikiwa ni pamoja na kuwa watulivu kwa maamuzi yoyote yanayotolewa na mamlaka hizo za juu
  9. Gan star

    Changamoto anayopitia Rayvanny, wacha sasa apambane mwenyewe

    Jana niliandika Uzi kumhusu rayvanny, kuanzia support aliyopata Kwa Diamond , behind the scenes ya hyo backup , na nikaunganisha pia Kwa harmonize jinsi ambavyo wote Kwa pamoja mond aliwabeba na kuwatambulisha vyema ...!! Harmonize akaona isiwe tabu ikabd ajikate, njia aliyopitia sio rahsi...
  10. CK Allan

    Waraka kwa Kanisa

    KWA KANISA LILIKO TANZANIA ANDIKA: Nayajua matendo Yako ya kuwa umeacha kuhubiri kweli ya Kristo yenye uzima na badala yake unahubiri injili ya vitu viharibikavyo, Je, Kristo amekufa msalabani ili uwe na nyumba nzuri? Je, Kristo amekufa msalabani ili uwe na gari zuri? Je, Kristo alisulubiwa...
  11. JET SALLI

    Kwanini waraka wa kisheria unaomkataza mwajiri kuingiza makato ya vyama viwili vya wafanyakazi kwa mpigo bila ridhaa ya mtumishi,hauheshimiwi?

    Ndugu zangu nimejiuliza maswali kadha wa kadha kuhusu suala la MWAJIRI kupitia ofisi ya Afisa utumishi kuingiza makato ktk mshahara wa mtumishi kwa vyama viwili tofauti vya wafanyakazi ktk mshahara wa mtumishi,nimefuatilia suala la Sumbawanga ,vilevile bado nafuatilia na mikoa,pamoja na wilaya...
  12. Inside10

    Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania latoa Waraka wa Kwaresma, lazungumzia upatanisho

    Rais wa TEC, Askofu Mkuu, Gervas Nyaisonga BARAZA la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), limetoa waraka wa Kwaresima wa mwaka 2022 ambao kwa sehemu kubwa umejikita kuzungumzia umuhimu wa upatanisho. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Waraka huo wenye kurasa 44, umetolewa na...
  13. U

    Waraka wa Profesa Anna Tibaijuka kuhusu Maendeleo ya Mkoa wa Kagera. "Kagera Twafa"

    Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wazalendo wote nchini na Duniani kwa Ujumla Nimeambatanisha Waraka Kutoka kwa Profesa Anna Tibaijuka kuhusu uduni wa Maendeleo kwa Mkoa wa Kagera --- KAGERA ,TWAFA Anaandika Profesa Anna Tibaijuka Kagera. TWAFA. Tumuombe Rais Samia...
  14. M

    Waraka wa elimu namba 2 wa mwaka 2021. Ufafanuzi unatakiwa

    Waraka wa elimu namba 2 wa mwaka 2021 unahusu urejeshwaji shuleni kwa wanafunzi wa primary na sekondari walikatisha masomo kwa sababu mbali mbali ukiwamo utoro, na mimba. Lakini katika waraka huo hakuna aya au kifungu chochote kinachozungumzia mtoto aliyefeli darasa la saba kurudia tena masomo...
  15. Civilian Coin

    Waraka maalum kwa Prodyuza DONCHA na Maprodyuza wote Tanzania ili kuboresha Muziki wa Tanzania

    WARAKA MAALUM KWA PRODYUZA DONCHA. NILIJIIMARISHA KIMUZIKI NA UIMBAJI ULIO BORA KWA KUTUMIA BEAT YA AINA YOYOTE ILE MWAKA2014 KWA PRODYUZA "DONCHA" WA MWANZA.(DJ. DON NALIMISON) Producer DONCHA nilimfahamu kupitia Gabriel Samalu(Mlapa) wa Global Publisher mwaka 2014 nanikafanya Albam yangu...
  16. Jo Africa Tz

    Utajiri wa jamii unaletwa na wafanyakazi, wakulima na wataalam wafanyao kazi

    Kwa maana jinsi hii... Utajiri wa jamii unaletwa na wafanyakazi, wakulima na wataalamu wafanyao kazi. Ikiwa watachukua maisha yao katika mikono yao wenyewe, na kuchukua bidii katika kuyatanzua matatizo badala ya kuyakwepa, hapatokuwa na shida yo yote katika dunia ambayo hawatoweza kuishinda...
  17. Jo Africa Tz

    SoC01 Tanzania mpya lazima iwatunze vijana wake na kuushughulikia ukuaji wa kizazi cha vijana

    DUNIA NI YA NANI? Dunia ni yenu (vijana), pia ni yetu (wazee), lakini katika uchambuzi wa mwisho, ni yenu. Nyinyi vijana, mkiwa mmejaa hamasa na nguvu, maisha yenu ndio kwanza yanachanua, ni kama jua la saa mbili au tatu ya ahsubuhi. Matumainio yetu (Wazee) yapo juu yenu. Dunia ni yenu...
  18. BAK

    Tunamshauri na kumuonya Msajili wa Vyama vya Siasa aache sarakasi za maneno

    WARAKA WA KICHUNGAJI (PASTORAL LETTER) WA MAONYO KWA MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA NA JESHI LA POLISI NCHINI TANZANIA. Mheshimiwa Jaji Francis Mutungi na Inspekta Generali Simon Sirro! Pokeeni salaam za upendo kutoka kwetu sisi Askofu! Jana tuliwanyoshea kidole Ofisi Msajili wa Vyama vya Siasa na...
  19. C

    Hemed Kivuyo atoa waraka mzito kumpinga Manara:atoa onyo Yanga SC

    Sina la kusema sababu aliyeandika waraka ni jamaa lialia la utopolo hata likitangazaga kwenye tv huwa linalia kabisa utopolo wakiwa wamepigwa na kina kapumbu ***************** Haji Manara Bomu linalosubiri Kutupasukia Anaandika Hemed Kivuyo. Wananchi leo ni Siku yetu, tusherehekee tufurahi...
  20. Melubo Letema

    Gidabuday ashusha waraka mzito, amvaa Bayo

    Nathibitisha kwamba nimeanza taratibu za kisheria kutafuta haki ya Kikatiba kuhusiana na utata wa vigezo vya John Gilbert Bayo kuendelea kuhodhi nafasi ya Makamu wa Rais wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT). Nimesimamia hilo kwakua nilisema mara kadhaa na hakuna alienipa sababu za msingi...
Back
Top Bottom