CK Allan
JF-Expert Member
- Aug 14, 2013
- 2,729
- 5,923
KWA KANISA LILIKO TANZANIA ANDIKA:
Nayajua matendo Yako ya kuwa umeacha kuhubiri kweli ya Kristo yenye uzima na badala yake unahubiri injili ya vitu viharibikavyo,
Je, Kristo amekufa msalabani ili uwe na nyumba nzuri?
Je, Kristo amekufa msalabani ili uwe na gari zuri?
Je, Kristo alisulubiwa msalabani ili uwe tajiri na maarufu?
Tena lipo baya zaidi ufanyalo yaani kutegemea chumvi na maji badala ya kumtegemea mokozi!
Je, Kristo amegeuka kuwa mganga wa kienyeji eeh Tanzania?
Na Tena naona habari zako za ibada za kujikomboa na kujiokoa je Kristo hakumaliza kazi ya ukombozi?
Kwanini kujikomboa na kujitaabisha namna hii?
Je, umekuwa mjinga kiasi hiki?
Tena umekuwa mtu wa kubandika picha na stika za hao uwaitao manabii wako ili Hali moyoni mwako umeacha kushika kweli ya Kristo
Nayajua matendo Yako ya kuwa umeacha kuhubiri kweli ya Kristo yenye uzima na badala yake unahubiri injili ya vitu viharibikavyo,
Je, Kristo amekufa msalabani ili uwe na nyumba nzuri?
Je, Kristo amekufa msalabani ili uwe na gari zuri?
Je, Kristo alisulubiwa msalabani ili uwe tajiri na maarufu?
Tena lipo baya zaidi ufanyalo yaani kutegemea chumvi na maji badala ya kumtegemea mokozi!
Je, Kristo amegeuka kuwa mganga wa kienyeji eeh Tanzania?
Na Tena naona habari zako za ibada za kujikomboa na kujiokoa je Kristo hakumaliza kazi ya ukombozi?
Kwanini kujikomboa na kujitaabisha namna hii?
Je, umekuwa mjinga kiasi hiki?
Tena umekuwa mtu wa kubandika picha na stika za hao uwaitao manabii wako ili Hali moyoni mwako umeacha kushika kweli ya Kristo