Waraka wa elimu namba 2 wa mwaka 2021. Ufafanuzi unatakiwa

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Feb 17, 2015
13,663
18,036
Waraka wa elimu namba 2 wa mwaka 2021 unahusu urejeshwaji shuleni kwa wanafunzi wa primary na sekondari walikatisha masomo kwa sababu mbali mbali ukiwamo utoro, na mimba.

Lakini katika waraka huo hakuna aya au kifungu chochote kinachozungumzia mtoto aliyefeli darasa la saba kurudia tena masomo na kufanya tena mtihani wa darasa la saba. Ila watu mbalimbali wakiwemo wanasiasa na wengine wakihusika na sekta ya elimu wanaulisha maneno waraka kuwa kwa sasa waraka huo umeruhusu darasa la saba waliofeli wanaweza kurudia kusoma na kufanya mtihani tena kitu zmbachk si kweli.

Ni vizuri wizara husika itoe ufafanuzi kuhusu waraka huo na ikiwezekana ufanyiwe marekebisho ili uruhusu watahiniwa wa kujitegemea kwa darasa la saba pia kama ilivyo kwa madarasa ya kidato cha nne na cha sita.

Mheshimiwa Ndalichako waziri wa elimu KARIBU HAPA kwa ufafanuzi. Walio karibu naye tafadhali mtonyeni aje hapa.
 
Waraka wa elimu namba 2 wa mwaka 2021 unahusu urejeshwaji shuleni kwa wanafunzi wa primary na sekondari walikatisha masomo kwa sababu mbali mbali ukiwamo utoro, na mimba.

Lakini katika waraka huo hakuna aya au kifungu chochote kinachozungumzia mtoto aliyefeli darasa la saba kurudia tena masomo na kufanya tena mtihani wa darasa la saba. Ila watu mbalimbali wakiwemo wanasiasa na wengine wakihusika na sekta ya elimu wanaulisha maneno waraka kuwa kwa sasa waraka huo umeruhusu darasa la saba waliofeli wanaweza kurudia kusoma na kufanya mtihani tena kitu zmbachk si kweli.

Ni vizuri wizara husika itoe ufafanuzi kuhusu waraka huo na ikiwezekana ufanyiwe marekebisho ili uruhusu watahiniwa wa kujitegemea kwa darasa la saba pia kama ilivyo kwa madarasa ya kidato cha nne na cha sita.

Mheshimiwa Ndalichako waziri wa elimu KARIBU HAPA kwa ufafanuzi. Walio karibu naye tafadhali mtonyeni aje hapa.
Mwanao alifeli la saba
giphy.gif
 
Karibuni wadau wa elimu tuchangie. Ni vizur
Mwanao alifeli la saba
giphy.gif
Pole!! Huu ni mjadala wa kitaifa na si wa kuangalia maslahi ya mtu binafsi au maslahi ya wakati huu bali wa kuangalia mustakabali mpana na wa muda mrefu wa Taifa letu!! Kama huna uono mpana kaa pembeni usikilizie kimya kimya!!
 
Anayefeli la saba nikwamba kashindwa kubebeka na NECTA, kwamaana nyingine niwale wanaomaliza bila kujua kusoma na kuandika.
 
kuna mambo hayahitaji kuumiza kichwa....

je ni % ya wanafunzi watapata mimba na kurudi shule?? (kama usipowalazimisha kurudi)

je mwanafunzi anakua mtoro na anastahili kufukuzwa shule baada ya siku ngapi??

je watakua muda wa kupumzika watapewa kiasi gani (rejea swali no 2)

RUHUSU KUNJA MZIGO TULIA..... KWENYE 100 WATARUDI 3.
 
Mabeberu wamefanya kazi nzuri sana katika kuibana serikali.MaCCM yanaruhusu hawa malaika kurudi shule kishingo upande huku yakiwa yamenuna😁😁😁

Ninyi serikali haramu nuneni, kasirikeni, fokeni, lakini mtoto wa kike lazima apate elimu bila ya ubaguzi wowote ule.
89a_.jpg
 
Back
Top Bottom