wanawake

Maendeleo Ya Wanawake Organisation (MYWO) is a women's NGO that deals with issues to do with women's rights and gender equity in Kenya. It was founded by Jemimah Gecaga in 1952 and has approximately 600,000 groups contributing to a total membership of about two million women. It is currently chaired by Rukia Subow and has various agendas in its mission statement, including maternal, child health and family planning and training women in leadership and development.Historically it was promoted by the British during their colonial rule over Kenya and helped provide services only for those against the Mau Mau anti-colonial uprising.Ruth Habwe served as secretary general of the organization from 1968 until 1971.

View More On Wikipedia.org
  1. Knock life

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wanaweza kukupa kesi ya ubakaji so kuweni makini vijana.

    Popote unapokaa usimuhurumie mwanamke au kujenga nae mazoea . Hii ni kwa vijana ambao hamjaoa so stay alerts Wakizikosa hela zako the next step utapewa kesi ya ubakaji n.k Hawa viumbe wamechafukwa.
  2. Setfree

    JamiiForums Tanzania Enyi wanaume, kumbukeni mlikotoka - acheni kuwadharau wanawake

    Mwanaume akiishaota ndevu na masharubu, anaanza kuwa na kiburi. Anamdharau mwanamke. Anasahau mama yake ni mwanamke. Anasahau mwanamke ndiye aliyemtunza tumboni miezi 9. Akamzaa. Akamfuta kinyesi na kumvalisha nepi. Anasahau alikuzwa na maziwa yaliyotoka kwenye titi la mamaye mwanamke. Enyi...
  3. ngara23

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Aina ya wanawake hatari kuwa nao kwenye mahusiano

    1. Mke wa mtu Kuna mstari mwembamba unaotenganisha kifo na mke mtu. Ukiwa nae ujue parapanda inalipa muda wowote 2. Mwanafunzi Hapo tunaita kuguswa mamlaka Jera miaka 30 sio mingi 3 Single mothers Hawa ni wabinafsi na wana visurani kufa Kwa pressure ni jambo la kufikia Wengine...
  4. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania DRC kuwekewa vikwazo na FIFA baada ya kiongozi wa soka la wanawake, Olive Kiloha kufungwa Machi 28

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo inaweza kukabiliwa na vikwazo ikiwa ni pamoja na kufungiwa na Shirikisho la soka Duniani (FIFA) baada ya Rais wa Chama cha soka la wanawake nchini humo (LIFF), Kiloway Kiloway kukamatwa na kufungwa Machi 28, mwaka huu. Olive Kiloha amezuiliwa katika Gereza la...
  5. Mwachiluwi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilizaaga nje nina uhakika wife hajui sasa nimerudi leo nimekuta picha ukutani na mtoto niliyezaa nje

    Nmeikuta Mahali jaman...nmecheka hatar😂😂😂 ila wanaume🤣🤣🤣🙌 Simulizi habar kuna mtoto nilizaaga nje nina uhakika wife hajui kama nilizaaga nikawa natunza kwa siri. Sasa nilisafiri na mtoto na mama yake kikazi wife akiwa nyumbani na nikawa na uhakika hajui kitu. Simulizi nimerudi leo nafika...
  6. Clayton Paul

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Marriage Riot(Wanawake wagumu kudeal nao)

    Wanawasemea wagumu kudeal nao : 1• Mzuri kupitiliza / Mjivuni. Wana jeuri na Tambo za kuwa na options zilizopo active Muda wote yaani ukimdipu ( bipu ) unapigiwa. Hawa viburi mno haijalishi kabila Wala Status ya familia. 2• Mwanamke wa Kidigitali. Wapo bize Kama Moderator. Hawa ni Social...
  7. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tuwe wakweli tuache unafki, Kuna wanawake ambao beki zinakaba ukiwakazia ?

    Nimekuwa nikipinga kuna dhana ya kwamba kuna wanawake ni wagumu a.k.a beki zinakaba Naamini shida huwa ipo kwa mwanaume mfano hana pesa, anawahi kukata tamaa, sio mcheshi, n.k.
  8. Multi-skilled

    JamiiForums Tanzania Wanawake wanakuja juu kwenye Biashara ila wanafeli Hapa

    Miaka ya hivi karibuni wanawake wamekuja juu sana kwenye Biashara nimeshangaa mpaka ilala madada wanauza Autoparts ni jambo jema sababu wanatafuta namna ya kuchangia kwenye familia na kujiwezesha kiuchumi ila kuna changamoto zitafanya kamwe wanawake wasitoboe kwenye business tofauti na wanaume...
  9. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Epuka mazoea ya kulala na aina hii ya wanawake, kitu kizito kitakuja kukupiga bila kutarajia

    Mwanzoni wengi huwa makini kuchukua tahadhari / precautions lakini kadri muda unavyoenda mazoea yakiwa tabia wanajisahau sana, mwisho wa siku wanaingia kwenye mfumo Under age / Chini ya miaka 18 - Wala haihitaji kufumaniwa red handed, yaani habari zikisambaa tu unatembea na mwanafunzi halafu...
  10. Half american

    JamiiForums Tanzania Tumeshaachana wivu na vituko vyanini? Ila ke wembamba wana visa sana.

    Jana night nikatoka na chaguo la moyo tubadili hata dinner tuupumzishe ugali dagaa kidogo, hao tukaenda kiwanja fulani jina kapuni kwa ajili ya kulinda brand. Tukiwa tunaingia pale tunaangalia wapi pa kukaa ukizingatia ni sikukuu watu ni wengi karibia kila meza imejaa wadau, ghafla mbele yetu...
  11. Komeo Lachuma

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake si wa kuwaamini hata kidogo, kaniambia ananiletea zawadi kaja mikono mitupu

    Tumekaa tu hapa tunatizamana toka saa 3 sioni lolote lile. Huyu dada ni wa Tanga huku huku. Yule demu wangu aliondoka jana kwenda Moshi anarudi kesho jioni. Alienda kusalimia kwao sikukuu akina Msangi sijui ni wa Moshi ipi Huyu dada mwingine yeye nlikuwa namkuta sehemu moja hivi ofisini anyway...
  12. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hakuna anayesema wanawake wote wa makabila haya ni wasumbufu kwenye ndoa lakini kwanini wanaongoza kwa kulalamikiwa ?

    Kuna principle inasema to every rule there is always an exception, hata kwenye kundi linalosifika kuwa wasumbufu wapo waliotulia mpaka utashangaa na katika wale wanaojulikana wametulia wapo ambao ni wasumbufu pasua kichwa, kwahio haimaanishi ni wote. kwanini wanawake wa makabila haya wanaongoza...
  13. Ryan Holiday

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wa sasa, wemejawa na ubinafsi na upendo wa mali

    Eti cha mwanaume ni cha familia, cha mwanamke ni cha mwanamke. Hivi huu ujinga ni nani aliwafundisha? Siku zote mahusiano yenye afya yanajengwa kwa kushirikiana, si kwa mzigo kuwa kwa upande mmoja tu. Ndio maana, ndoa zimejaa biashara na ubinafsi, badala ya kutawaliwa na upendo. Ndoa yangu...
  14. Ricky Blair

    JamiiForums Tanzania Asilimia ya wanawake ambao wanakeketwa kwa nchi

  15. Kinyungu

    JamiiForums Tanzania Wanawake wa Kiislam Wamuomba Rais Samia Ufadhili wa Umra na Hija

    Wakuu kama title inavyojieleza hapo, ndugu zetu katika imaan wanaomba ufadhili wa rais Samia ili watekeleze ibada ya Umra na Hija. ================ Wanawake wa Kiislamu nchini wamemuomba Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kuanzisha mpango wa ufadhili kwa Wanawake wenye hali duni ili...
  16. M

    JamiiForums Tanzania Nilichojifunza kwenye kisa Cha mtalaka wa Arnold yule gwiji wa terminator , wanawake wameshindikana

    Nilikuwa nasoma kisa Cha mke wa anord yule gwiji wa filamu za mapigano na kijeshi , ambaye walishi na anord miaka 25 ,anakiri kuzaa na mfanyakazi wake wa ndani nimechokaa, na eti anaumia Kwa kuachwa Kwa talaka, aisee ustaaa wote ule wa anord kapigiwa, nawaza tu hapa Kwa nini Mandela aligoma...
  17. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Mwigulu Nchemba: Mzee Ngure alikuwa Mcha Mungu na mpenda elimu

    Waziri wa Fedha Mhe.Dkt Mwigulu Nchemba amesema Marehemu Mzee Wilfred Ngure ambaye ni Baba Mkwe wake alikuwa ni Mtu mcha Mungu na mpenda Elimu. Dkt. Mwigulu amesema hayo leo Machi 25, 2025 wakati wa Ibada rasmi ya kuaga Mwili wa mzee Wilfred Ngure ambaye alifariki Dunia Machi 22, 2025 Nchini...
  18. ERTUGRUL BEY

    JamiiForums Tanzania Madai ya Wanawake Wanaoenda Kutufu au Tawaf Kunyanyaswa Kingono Si ya Kweli

    Kuna post moja nimeiona kuhusiana na Malalamiko kwamba Wanawake wa Kiislamu wananyanyaswa kingono pale wanapokuwa katika ibada ya Tawaf Ingawa kuna video inasemekana kuna muandishi au mwanamke wa kiislamu analalamika,binafsi sikuangalia hata video hiyo kwakuwa sikuona umuhimu wa kuitazama kwa...
  19. mwehu ndama

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hatimae nimemaliza masomo yangu yaliyohusu jinsi ya kuwaelewa wanawake

    Huu ni mrejesho wangu mimi mwanazuoni mwehu ndama jitu la mtumba , mteule wa bwana baada ya kuhitimu shahada ya juu kabisa ya jinsi ya kuwaelewa wanawake na namna Bora ya kuishi nao. Tafiti yangu jadidi iliyohusisha mkusanyo wa data kwa njia za kimtandao , mahojiano ya ana kwa ana , pamoja na...
  20. kyagata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wengi wanapenda kusifia sauti yangu kuwa ni nzuri.

    Sijui kwa nini kila nikiongea na mwanamke yeyote kwenye simu lazima anisifie eti nina sauti nzuri. Kituko kimetokea jana kuna manzi nilikua namtongoza kwenye simu,wakt tunaingea eti akaniambia nina sauti nzuri mpaka pichu yake imelowa. Wakuu hivi sauti nayo inaweza ikakufanya ukapendwa na...
Back
Top Bottom