wanawake

Maendeleo Ya Wanawake Organisation (MYWO) is a women's NGO that deals with issues to do with women's rights and gender equity in Kenya. It was founded by Jemimah Gecaga in 1952 and has approximately 600,000 groups contributing to a total membership of about two million women. It is currently chaired by Rukia Subow and has various agendas in its mission statement, including maternal, child health and family planning and training women in leadership and development.Historically it was promoted by the British during their colonial rule over Kenya and helped provide services only for those against the Mau Mau anti-colonial uprising.Ruth Habwe served as secretary general of the organization from 1968 until 1971.

View More On Wikipedia.org
  1. Bata batani

    Vijana acheni kujidanganya linapokuja swala la ndoa au mahusiano wanawake wana mipango mingi ya siri jinsi ya kuwangamiza

    Mwanamke akishajua kupitia mwanaume aliyenae miaka ya mbeleni Kuna maisha huwa wana mipango mingi ya siri mioyoni mwao mpka siku atakajipata ..... Ukweli ni kwamba mwanamke akiwa hajajipata huwa ni kiumbe mpole, mnyenyekevu na mtiifu kwa mwanaume lakini siku ambayo akijipata ni lazima abadilike...
  2. Melki Wamatukio

    Kipi hupelekea wanawake kuwanyima unyumba waume zao?

    Hili sasa limekuwa ni tishio. Nahisi ni moja kati ya sababu inayowapelekea vijana wengi kuishi maisha yao wao kama wao. Unyumba Unyumba Unyumba Najiuliza, sijui wanapitia machungu makali sana pale Abdallah anapozama chumvini🤔 Sijui ni uvivu tu🤔 Sijui ndo upendo umekwisha, I mean bila upendo...
  3. Stephano Mgendanyi

    Serikali Itaendelea Kutoa Mikopo kwa Vikundi vya Wanawake

    SERIKALI ITAENDELEA KUTOA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE. Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe. Zainab Katimba amesema serikali kupitia Halmashauri za mkoa wa Mwanza inaendelea kutekeleza jukumu la utoaji wa mikopo kwa vikundi vya wanawake waliokidhi vigezo kwa kuzingatia Sheria, taratibu...
  4. Tman900

    Wanawake Wanapenda Madeni

    Kwa mtazamo wangu usiokua na Nilivyoona katika Jamii. Wanawake wanapenda sana kukopa na wanaongoza kwa kua na madeni. Wanunuaji wazuri wa makolokoro, Chumba cha mwanamke kina mavitu kibao yasio kua na msingi
  5. Kazanazo

    Unajua kwanini wanawake wanapenda wanaume wachaMungu?

    Wanawake wanapenda wanaume wachamungu na wafia dini ili akikunyima unyumba usiweze kuchepuka maana ni dhambi Mwanaume mwenzangu ulieoa stuka! Shauri yako
  6. Mr Why

    Pichani ni wanadada Lacho na Temwa Chawinga, Mabinti wanaocheza Soka la kulipwa katika timu za wanawake nchini Marekani

    Pichani ni wanadada Lacho na Temwa Chawinga, Mabinti wanaocheza Soka la kulipwa katika timu za wanawake nchini Marekani Lacho ni raia wa Zambia wakati Chawinga ni raia wa Malawi Ukipata mwanamke kama huyu utamuoa?
  7. T

    Ni kwa nn trend ya vifo ni vingi kwa wanaume kuliko wanawake?

    Yaani naona wanaume wanapukutika tu. Yaani ukiacha ajali na vifo vya uzazi, wanaume wanakufa sana. Ukizingatia tu idadi ya viongozi wetu wakuu wote waliofariki wake zao wapo Karume, Nyerere,mwinyi, mkapa Lowasa Membe, Magufuli nk Kuna tatizo gani niwaombe mabingwq waje na research ili tujue...
  8. Peter Mwaihola

    Je bado wanawake wa Kijijini wanadumu kwenye ndoa za mjini?

    Kuna dhana kuwa ni bora kijana wa mjini kuoa mwanamke wa kijijini kwa sababu hudumu zaidi kwenye ndoa kuliko wanawake wa mjini ambao wengi wao ni wajanja wajanja. Watu wengi wenye mtazamo huu huzingatia kiwango cha heshima, uchapakazi na utulivu wa tabia kwa wanawake wa mjini ukifananisha na...
  9. GENTAMYCINE

    Mchezaji Khalid Aucho kwa Wanawake wa sasa utasubiri sana kwani hao Wanawake unaowataka hawapo tena na hawatakuwepo hata huko tuendako

    Kiungo mkabaji wa Yanga, Khalid Aucho, ameweka wazi maisha yake binafsi kuwa hajaoa mpaka sasa, lakini anataka mwanamke ambaye atampenda kutoka moyoni na si kwa sababu ya pesa zake au umaarufu alionao. Akizungumza na Nipashe Digital, akiwa na kikosi cha timu yake mazoezini, Uwanja wa KMC...
  10. BabaMorgan

    A night in Tunduma, Pombe wanawake na ukimwi

    Baada ya kipindi kirefu cha uhaba wa pesa, madeni na stress mara paah mchongo huu hapa inabidi nisafiri mpaka Border Tunduma nakabidhiwa kibunda kwa ajili ya safari na kazi, what a wonderful day nafanya clearance ya madeni yangu na tayari kwa ajili ya safari nakutanishwa na suka wa Scania R440...
  11. kyagata

    Wanawake wa kizambia ni watamu sana jamani.

    Niko zangu huku mbeya kujitafutia riziki,katika mishe zangu nikakutana na pisi kutoka zambia,nikaiimbisha ikanielewa,sasa jana ikabidi initunuku tunda,wakuu demu ni mtamu sio poa,afu kuna raha flani hivi unaipata ukiwa unamchapa manzi ambae hajui kiswahili,yule demu alikua analia kiinglish hadi...
  12. kadiri kasimba

    Nini maana ya mstari huu: Wanamke ni viumbe dhaifu, tuishi nao kwa akili?

    Heshima kwenu wakuu! Naomba kujua kwanini, Kuna neno,, NI VIUMBE DHAIFU? na KUISHI NAO KWA AKILI? na je usipozingatia Haya Kwa mwanaume ni matokeo gani utayapata? Nawasilisha hoja kwenu wakuu!
  13. Lighton

    Hongereni wanawake mliofanikiwa katika hili

    Nawazungumzia wanawake ambao ni wazazi/wenye watoto ambao wamefikisha umri wa miaka 18+ na 25+ Ambao mpaka watoto wao wanafikia umri huo, wamekuwa na maadili ambayo ni mfano mzuri wa kuigwa Kwenye familia. Watu wengine watasema, "ni Bora kuishi vile unavyopenda Haijalishi watu wanasema au...
  14. Nyafwili

    Salute Kwa Wale Waliokwisha Oa Au Kuolewa. Tafadhali, Mliwezaje Kufanikisha Hilo.?

    Maisha ya mapenzi yamejaa comedy na stress kwa wakati mmoja, Naona ni ngumu sana kumpata mwanamke mzuri wa kuoa, Tayari ni takribani miaka miwili na miezi minne tangu nianze kuamua kutafuta mtu wa kuoa lakini bado sijafanikiwa. . Safari hii imekuwa ya mizunguko na drama kibao hadi sasa, na...
  15. Moto wa volcano

    Wateja wakubwa wa waganga na manabii uchwara ni wanawake

    Wanawake wamejawa na uovu mwingi kuliko wanaume na ndio vinara hata kwenye ushirikina hata kwenye maombezi wanawake huwa wanaoongoza kuanguka mapepo kutokana matendo yao yanavutia zaidi pepo wachafu , fanya tafiti wateja wakubwa wa waganga au hata manabii uchwara ni wanawake
  16. Stephano Mgendanyi

    Esther Malleko Ajikita Kuinua Uchumi wa Wanawake Wilaya za Mkoa wa Kilimanjaro

    ESTHER MALLEKO AJIKITA KUINUA UCHUMI WA WANAWAKE WILAYA ZA MKOA WA KILIMANJARO Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Kilimanjaro, Mhe. Esther Edwin Malleko tarehe 27 Aprili, 2025 amefanya ziara, pamoja na mambo mengine amekabidhi picha za Rais na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan...
  17. P h a r a o h

    Tunawadanganya wanawake kwa hoja ya 50 kwa 50

    Kuna hii stori kila siku inapigiwa kelele mitandaoni, kwenye redio na tv, mashuleni n.k kwamba mwanamke na mwanaume wawe sawa, 50 kwa 50, kwenye kila jambo hadi kwenye uongozi. kwamba Wanataka kuwe na mazingira ya kuwasukuma wanawake wawe viongozi. tena tuwatengenezee hayo mazingira. Lakini...
  18. kadiri kasimba

    KUWA MAKINI unaposhoboka na wanawake barabarani!

    Salamu wakuu! Twende kwenye mada husika, Hii imetokea kweli, Kuna bi dada mmoja alikuwa anajipitia zake barabarani, ghafla ikapaki gari pembeni mwa barabara, na ndani ya gari alikuwepo mchina(mwanaume) basi akamsemesha bidada Kwa kiswahili chake kibovu, bi dada bila hiyana akampa namba, baada...
  19. ELI COHEN

    Wanawake ni watu makini sana

    Ingawa ni wenye mtazamo hafifu ila ni wazuri katika planning. Ingawa ni watu sensitive sana ila ni wazuri katika katika kumudu majukumu mengi kwa pamoja na wakati mmoja. Ingawa ni watu wasio na logic ila ni wazuri katika budgeting. Kati ya wanawake wanaocheat 10 ni wawili ndio wanaogundulika...
  20. X

    Hii ndiyo sababu kwa nini wanawake wengi wanaipenda movie ya "TITANIC"

    Titanic ni moja ya movie duniani ambayo mpaka sasa iko kwenye rekodi ya movies zilizouza sana duniani hadi kufikia gross sales kwenye box market USD 1 billion. Movies nyingi huwa zina starring na kubwa la maadui (villain). Kwa miaka mingi wengi wameitazama hii movie ya TITANIC ila mpaka leo...
Back
Top Bottom