Maendeleo Ya Wanawake Organisation (MYWO) is a women's NGO that deals with issues to do with women's rights and gender equity in Kenya. It was founded by Jemimah Gecaga in 1952 and has approximately 600,000 groups contributing to a total membership of about two million women. It is currently chaired by Rukia Subow and has various agendas in its mission statement, including maternal, child health and family planning and training women in leadership and development.Historically it was promoted by the British during their colonial rule over Kenya and helped provide services only for those against the Mau Mau anti-colonial uprising.Ruth Habwe served as secretary general of the organization from 1968 until 1971.
Waambiwe tu Ukweli kuwa wao ni sawa sawa na Mwanaume na ndiyo maana hata Roho zetu pamoja na Mioyo yetu ni sawa na hakuna ulioandikwa ni wa Mwanaume au Mwanamke. Na hata Vitandani tukiwa ' tunabaiolojiana ' 24/7 usawa wa ' Kimihemko ' huwa unakuwepo na tunaheshimiana.
Hii ' Sumu ' iliyoanza '...
Kuna kitu uwa nashangaa sana kwa wanawake.
Mwanamke anapenda kupewa attention na mwanaume wakati anatongozwa. Ila akipewa sana attention yani kujaliwa sana anamchukulia mwanaume poa. Mwanaume akianza kumpotezea kutojali unakuta yeye ndio anakolea vizuri penzini.
Hii ni experience yangu kwa...
Mwanzo Mimi binafsi nilikuwa nafanya kazi na taasisi fulani ila badae mwaka 2017 ilifunga shughuli zake nchini Tanzania.
Nikapoteza kazi na nikawa muda mwingi nipo nyumbani napanga mipango ya kupata pesa nikiwa nyumbani muda mwingi .
Yaani kwa wiki nilikuwa natoka siku 4 siku tatu nipo...
Bunge la 12 Mkutano wa 3 Kikao cha 47 kinaendelea leo bila uwepo wa wabunge wanawake ambao wameelekea ukumbi wa Jakaya Kikwete kwenye mkutano wa Wanawake wote bila kujali itikadi na Rais wa JMT mh Samia.
Hakuna kupigiana makofi waka mbwembwe zozote ni moja kwa moja kwenye mada.
Pia soma > LIVE...
Wanawake zaidi ya 10,000 Mkoa wa Dodoma makundi mbalimbali wanatarajiwa kukutana na Rais Samia Suluhu Hassan Juni 8 mwaka huu katika mkutano utakaofanyika ukumbi wa Jakaya Kikwete.
Hayo yamesemwa leo Juni 6,2021 na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Anthony Mtaka wakati akizungumza na waandishi wa habari...
Kutokana tafiti mbalimbali za wataalam wa Takwimu (worlddata.com), mifumo ya uzazi ya wanawake(Gynaecologist),maswala ya ngono na mahusiano(sexologists).
Ni kwamba,
Kwa zaidi ya 70% ya wanawake wote duniani,
1. Mwanamke akiwa katika hali ya kawaida RELAXED MODE
[emoji117]Uke wake unakua na...
Kwenye miaka ya themanini, Bill Gates akiwa bado kijana, alichumbiana na Ann Winblad.
Mwaka 1987 Bill Gates akaachana na Ann na Kwenda kumuoa Belinda waliyeishi naye kwa miaka 27 na kupata naye watoto watatu mpaka walipoachana mwanzoni mwa mwaka huu.
Lakini Bill Gates alipooana na Belinda...
Wadau, kwa wale mliosikia huu wimbo, maneno hayo kweli yanafaa kutumiwa kwa wimbo unaopigiwa katika vituo kama vya radio, kwenye daladala na sehemu nyingine za public?
Binafsi maneno hayo naona yana ukakasi na hivyo nashauri huu wimbo upigwe marufuku na ufanyiwe marekebisho ndio uruhusiwe...
Kama ilivyo Mahusiano kufa pia Mahusiano hubadilika uliyemuamini juzi leo haaminiki tena mpka unashangaa lakini ni muhimu tu kujua kuwa Mahusiano yanabadilika wapo watu wapo kwenye ndoa lakini nje ya ndoa wana watoto yaani kama kaubalozi kadogo kapo nje ya ndoa na watoto anasomesha kabisa na...
Kuna demu nimemtongoza akakubali fresh sasa hivi niko kwenye mahusiano naye mwezi wa Tatu huu lakini kwa kipindi chote hicho hataki kunipa mbususu anadai yeye ni BK na hiyo BK yake ni kwa ajili ya atakaekuja kumuoa.
Hiyo hali nimeivumilia nimechoka nimeamua kumpiga chini kila mtu ajue yake cha...
Wenzetu wakitendwa kauli mbiu "watafte pesa" mapenzi yatajileta.
Wanawake je tufanyaje?
Iko hivi
My childhood friend Zuwena (jins sio halisi) kwao wako vizuri uchumi kati Baba yao alitangulia mbele ya haki wakabaki na mama,,. Huyu Zuwena aliolewa na kubahatika mtoto 1
Aliemuoa aliaply...
Mbunge wa Momba, tena wa chama chetu cha CCM, amedhalilishwa Bungeni. Ametolewa nje ya Bunge kwa aibu kuu akiambiwa kuwa 'hajavaa vizuri'. Amri ya kutolewa nje kwa mwanamama huyo Mbunge wa Momba ilitolewa nawe Spika Job Ndugai. Ni baada ya kuombwa muongozo na Mbunge Ameir akidai kuwa mwanamama...
Taarifa kutoka Takukuru zinaonyesha kwamba mpaka muda huu Jumla ya Wanawake 40 wakiwemo wanafunzi wa vyuo na Sekondari wamejitokeza kutoa ushahidi wa namna walivyobakwa na kufanyiwa ukatili mwingine wa Kingono na Mtukufu Ole Sabaya (namba inaweza kuongezeka).
Inadaiwa kwamba Sabaya akishalewa...
Habari wakuu
Hakika wanawake kuwaelewa ni ngumu mno, ni mwezi mmoja umepita tangu nilivyomuapproach mtoto mmoja hapa jiji la joto na akanitolea nje.
Nikapambana kila namna lakini mtoto hakunielewa ndani ya siku 4 nikajikatia tamaa. Ilibaki tunaonana kupitia status za wasap pasipo kucoment...
Wanawake naomba kabla sijaenda kwenye mada muelewe hili Kila mume wa mtu atakayekutongoza lazima atamkandia mkewe.
Hana raha na ndoa
Hana amani
Mke anamnyima unyumba
Mke mkorofi
Mke anaongea sana
Mke kachepuka na mengine mengi
99% ya wanaume wanapotongoza nje ya ndoa hizo ndio point...
Wakuu habari.
Kwa elimu yangu hii nimesomea A. Level na chuo maeneo ya kasikazini ila katika uzoefu niliojionea uko uchagani sio siri wanaume wa kisukuma wanapendwa sana yaana ukimwambia kabila tu kuwa mimi ni msukuma hapohapo kashakupenda sijui kwanini.
Swali langu kwa nyie wachaga mbona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.