Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,498
- 51,091
My Take:
Hii nchi inaendelea kuwa na mambo ya kishenzi mpaka inatia hasira.
Nyie endeleeni kuwapush wananchi to the limit.
Mwana kulitafuta mwana kulipata
Atasema mikusanyiko yote imesimamishwa sababu ya Rais anakwenda Marekani.View attachment 1943298
My Take:
Hii nchi inaendelea kuwa na mambo ya kishenzi mpaka inatia hasira.
Nyie endeleeni kuwapush wananchi to the limit.
Mwana kulitafuta mwana kulipata
MATOKEO YA NOTES ZA RWANDA KWA "PAKA" Paul Kagame....🙄🙄🙄View attachment 1943298
My Take:
Hii nchi inaendelea kuwa na mambo ya kishenzi mpaka inatia hasira.
Nyie endeleeni kuwapush wananchi to the limit.
Mwana kulitafuta mwana kulipata
Kwani kuna ubaya gani? Mbona wapo wengi wakiwa jogging huwa wanavaa jezi za Barca, Real Mads, Simba, Yanga etal ?Kwani lazima wavae sare za chama?
Ninyi watu ni wa ajabu sana.View attachment 1943298
View attachment 1943311
My Take:
Hii nchi inaendelea kuwa na mambo ya kishenzi mpaka inatia hasira.
Nyie endeleeni kuwapush wananchi to the limit.
Mwana kulitafuta mwana kulipata
Ujumbe kwenye Tshirt unavunja sheria gani ya nchi?Ninyi watu ni wa ajabu sana.
Sasa jogging club na ujumbe wa "Tume Huru" kwenye fulana zenu wapi na wapi?
Kila anaefanya jogging si avae nguo za mazoezi za kawaida tu nani angewazuia?
Kwanini ujumbe katika fulana zenu usiwe "Bawacha Jogging Club".
Na hata mngabeba mabango yasemayo "Join Bawacha Jogging Club Today", ingekuwa poa na IGP Sirro asingeona taabu.
Wakati mwingine muwe mnatumia akili zenu mnapopanga majambo yenu.
CHADEMA wamejua udhaifu wa jeshi la police kwaio wanawapeleka wanavotaka police wanajaaaView attachment 1943298
View attachment 1943311
My Take:
Hii nchi inaendelea kuwa na mambo ya kishenzi mpaka inatia hasira.
Nyie endeleeni kuwapush wananchi to the limit.
Mwana kulitafuta mwana kulipata
Sawa ndg mwenye akili isiyo na akili, tumekusikiaWakati mwingine muwe mnatumia akili zenu mnapopanga majambo yenu.
Kila binadamu amepewa akili.Sawa ndg mwenye akili isiyo na akili, tumekusikia
Ujumbe haivunji sheria ila hapakuwa mahala pake.Ujumbe kwenye Tshirt unavunja sheria gani ya nchi?
Si kazi ya polisi kuingilia vitu visivyovunja sheriaUjumbe haivunji sheria ila hapakuwa mahala pake.
Mbona ni rahisi kuona hilo?
Usipotaka kuona jezi yenye maneno "TUME HURU" means unaficha weakness za tume na hivyo una conclude kwamba tume iliyopo sio huru. Sasa kwanini wananchi wasitafute namna ya kupata TUME ILIYO HURU.Ninyi watu ni wa ajabu sana.
Sasa jogging club na ujumbe wa "Tume Huru" kwenye fulana zenu wapi na wapi?
Kila anaefanya jogging si avae nguo za mazoezi za kawaida tu nani angewazuia?
Kwanini ujumbe katika fulana zenu usiwe "Bawacha Jogging Club".
Na hata mngabeba mabango yasemayo "Join Bawacha Jogging Club Today", ingekuwa poa na IGP Sirro asingeona taabu.
Wakati mwingine muwe mnatumia akili zenu mnapopanga majambo yenu.