wanaume

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    Jinsi ya kuondoa misongo ya mawazo kwa wanaume

    Habari wanna JF. Wanaume siku zote ni watu wanaozungukwa na msongo wa mawazo katika mihangaiko ya kimaisha ha hapa na pale...... Baadhi ya vitu vinavotuletea msongo wa mawazo ni Kama; 1.kuachwa na mwanamke umpendae 2.kumpenda mtu asiekupenda 3.kuwa na madeni lukuki 4.kukata tamaa/kufeli Jambo...
  2. Kwanini Wanaume wengi wanapenda kufanya Ngono ndani ya magari yao?

    Ni kwanini Wanaume wengi siku hizi wanapenda sana kufanya Ngono ndani ya Magari yao? Hii tabia siyo tu kwamba sasa imeshazoeleka bali kwa jinsi ambavyo ninakutana nayo sasa ni dhahiri kabisa kuwa imeshaota Mizizi.
  3. T

    Wanawake: Wanaume kutoka Kanda ya Ziwa ndio wanaume wanaojua kuhonga ukanda wa Afrika Mashariki na Kati

    Katika utafiti ambao hivi karibuni utachapishwa mitandaoni kutoka taasisi moja ya utafiti unaonyesha kua wanawake wengi wanasema kua wanaume kutoka kanda ya ziwa ndio wanaume wanaojua kuhonga kuliko wanaume wote Ukanda wa Afrika Mashariki na kati. Wanawake walipoulzwa ni makabila gani hasa...
  4. Yafahamu madhara ya kitambi kwa wanaume

    Yapo madhara mengi Na hutofautiana kulingana Na jinsia, umri, Na umbo. Nayo ni; - Kukosa choo, kupata choo kigumu, - Constipation au choo kuganda - Bawasili kutokana Na mfumo wa chakula kuzongwa Na taka mwili hasa masalia ya vyakula visivyo mengenywa (insoluble wastes) - Kupungukiwa Nguvu za...
  5. Heshima ya kipekee sana iwafikie Wanaume

    Hi guys. Naomba hizi baraka za dhati ziwafikie WANAUME, Hasa wale wanaume wanaosimamia na kutekeleza majukumu yao ipasavyo. Nakumbuka muda mfupi uliopita I passed through a very rough road to hell. Kuna zile nyakati kwenye maisha unatamani kabisa kama ujikane nafsi, yote yanayokusibu yawe tu...
  6. Dada zetu muwe mnaangalia wa kuwapa Mioyo yenu wanaume wengine ni Mawakala wa Shetani

    MUME AMWEKEA PILIPILI NA KUZIBA NA GUNDI NYETI ZA MKEWE POLISI katika Kaunti ya Taraka Nithi nchini kenya, wanamshikilia mwanaume mmoja aliyejulikana kwa jina la James Muriuki, kwa tuhuma za kumuwekea Mke wake Pilipili kwenye sehemu zake za siri na kisha kumziba na gundi. Kwa mujibu wa...
  7. M

    Kwanini wanaume wako hivi?

    Nilikuwa naangalia movie ya kinigeria. Basi kuna msichana anafuatiliwa na mwanaume ila huyo dada hataki yule dada alipomwambia ukweli yule kaka akaanza kumdis oh wewe ni shepless sijui ungekubali nisingekuleta kwangu ninapoishi sijui ningekutumia kichakani au lodge ya mbali hufai . Yaani...
  8. Mume aziba nyeti za mkewe kwa gundi akimlazimisha amwambie idadi ya wanaume aliolala nao yeye alipokuwa safarini

    Polisi wanamsaka mwanamume mmoja kwa madai ya kuziba sehemu za siri za mke wake na gundi kwa sababu ya kutomuamini. Kisa hicho cha kushangaza kilitokea katika Kaunti ya Tharaka Nithi huku mwathiriwa akiwasimulia polisi namna alilazimishwa na mume wake kuvua nguo kabla ya kuanza kumhoji...
  9. Swali la Wanaume Tu: Wanaume Mkifumaniwa huwa mnamalizanaje na wapenzi wenu?

    Swali ndo Hilo jamaa: Jamani kama sio mwanaume, usikuje, tuwaache wanaume marijali tu wajibu hili swali 🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶
  10. Kwanini ni nadra sana kusikia Mwanamke kajiua kwa ajili ya mapenzi kuliko Mwanaume?

    Au labda Mwenyezi Mungu alivyowaumba Wanawake hakuwawekea ile roho dhaifu ya kutaka Kujitoa Uhai ( Kujiua ) kama ambayo inaonekana kwa Wanaume hiyo Roho si tu kwamba aliiweka bali aliigundisha kabisa na Super Glue kama si Gesi au Shaba ili isitoke milele? Wanawake wote mliopo hapa JamiiForums...
  11. Kwanini asilimia chache tu ya wanaume wa Ki-Africa ndio huoa Wazungu na kati ya hao asilimia kubwa huoa wazee?

    Hili suala mimi binafsi limekuwa likinitesa sana pamoja na kuwa nje kwa mda mrefu na mahusiano tofauti tofauti lakini linapokuja suala la kuoa napata wakati mgumu sana nikiwa naamini kwamba mwanamke wa ndoto yangu atatoka ukanda wa Africa mashariki. Na hii sio kwangu tu black wengi ambao...
  12. Wanaume tuna Matatizo

    Sio mpenzi sana wa jukwaa hili ila kuna tabia nimeiona imenishangaza baada ya kwenda likizo home kama unavyojua janga la corona. Kuna wapangaji pale home huyu sasa ni mwalimu ameoa unamkuta anafua nguo za ndani za mkewe, nguo za mkewe watoto, anaosha vyombo na kupiga deki ndani duh! Ukweli...
  13. Wanaume tunapokutana na wanawake kuna ambao wanavutia kwa ndoa na kuna ambao wanavutia kwa ngono tu

    Wengi hushangaa kwa nini kajikuta kaoa mwanamke mwenye heshima na adabu msomi lakini sio mzuri,hana umbile ambalo alitamani hapo mwanzo awe nalo mwanamke atakaemuoa. Wanaume wengi utawakuta wameoa wanawake ambao wako nje na malengo yao ya zamani na maisha bado yanakwenda. Wakati mwingine huwa...
  14. Mapenzi ya wanaume akishajua una pesa na kwake hali ni ngumu

    Kwanza mwanaume akishakuzoea romance zinapungua anaanza ubinafsi wa kujiridhisha mwenyewe. Hapo ameshatoka kunywa bia zake utasikia mimi ninalala kesho nina mkutano wa muhimu sana. Sasa hii corona si unajua michongo mingi imekata. Ile hela ya bia hana sikuhizi anashinda nyumbani na bukta...
  15. Unadhani hawa Wanaume wangekosa hizi Silaha muhimu za Wanawake wangechukua Silaha zao zingine zipi wajikinge na CORONA?

    Baadhi ya Wanawake katika eneo la Trans Nzoia Kenya wamelalamikia tabia ya Wanaume kukata sidiria za Wake zao na kuzigeuza barakoa(mask) kwa madai ya kukosa pesa za kununua mask ili kujikinga na corona ” Wazee wanakata Bra (sidiria) zetu na kuzivaa, tena wengine hawajawai hata kutununulia...
  16. Wanaume wengi hupenda kuwa kwenye mahusiano na kuoa mwanamke wa aina hii...

    Habari wana jamvi wenzangu. Leo nitazungumazia juu ya aina ya wanawake ambao wanaume wengi hupendelea kuoa. Wanaume wengi wanapofikia hatua ya kuoa si kwamba wanakurupuka tu na kuoa mwanamke yeyote mwenye sura nzuri, bali huchukua muda wao mwingi kuchunguza mambo mengi juu ya wake ambao...
  17. Y

    Wanaume tupunguzeni tamaa za ngono

    Mtaani kwetu kuna chizi kasaidiwa na police kwenda hospital kujifungua but cha ajabu alomtia mimba haonekani. Nachojiuliza je kufikia hatua ya kumla chizi mtu anakua domo zege ama anakwama wapi? karibuni tujadili
  18. Kwanini wanaume tukinyoa mustache (sharubu) sura inabadilika unakuwa mbaya

    Kwanini wanaume tukinyoa mustache (sharubu) sura inabadilika unakuwa mbaya. Yaani kwakweli natamani nisinyoe, maana unakuwa unaonekana kama nini vile.
  19. M

    Eti wanaume utamwoa mtu mwenye tatoo? Na wadada je utaolewa na mwanaume mwenye tatoo

    Je ukimpenda mtu ukajua anatatoo na nibaada ya kumtolea posa utafanyaje ? Na mwanamke umeshatolewa poswa na mwanaume ukaja jua yule aliyekuposa anatatoo utamkubali akuoe?
  20. Wanawake si wabinafsi kama wanaume mnavyotuchukulia, huwa tunawaza msiyo ya waza

    Wanawake tumetoka sayari ya Zuhura (Venus), hata mawazo yetu yako ki Zuhura tofauti inaanzia hapo. Mwanaume anawaza mambo makubwa lakini anasahau kuwa haya madogo yakikosekana tofauti itaonekana Mwanaume atanunua kiwanja, atajenga nyumba lakini hafahamu kuwa deco ndani ya nyumba ni muhimu na...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…