Yan kwakweli nataman nisinyoe, mana unakua unaonekana kma nini vile
Mkuu umenifanya nimecheka sana sema ukinyoa mustachi mdomo wa juu unakua mrefu halafu disign km unavimba unakua km version fulan hivi ya bata
Mkuu Wewe ni Mimi kabisa,
Zinakua kama zinavimba hivi
Kuna kipindi nilienda saloon ngeni jamaa si akazitoa zote Nikampa tusi (Nilimind), Huwezi amini nikafunga kitambaa huku Natukan njia nzima
Watu ni wehu kweli, mfano mm juz kat nilienda kunyoa boya kaniharibu kabisa mstachi wangu! Yaan jitu unalielekeza usiweke nyembamba Sana basi jitu linajifanya linanyoa mpka linakubaribu matokeo yake inakubidi unyoe tu zote au kipara kabisa! Vinyoz wetu wajinga sana
Mkuu Wewe ni Mimi kabisa,
Zinakua kama zinavimba hivi
Kuna kipindi nilienda saloon ngeni jamaa si akazitoa zote Nikampa tusi (Nilimind), Huwezi amini nikafunga kitambaa huku Natukan njia nzima
Daaah mkuu nimejikuta nimecheka ile mbayaaa😂😂😂😂 kuna jamaa angu mmoja wakati wa chuo alikuwa hazipendi mustach basi kila akienda kunyoa huwa anazitoa zote, sasa ule mdomo wa juu unavyoumuka mimi nilikuwa nikimuona sina mbavu😂😂😂, sitokuja kunyoa mustach mimi.Mkuu umenifanya nimecheka sana sema ukinyoa mustachi mdomo wa juu unakua mrefu halafu disign km unavimba unakua km version fulan hivi ya bata
Sent using Jamii Forums mobile app
Wekeni na picha wakuu ya hiyo midomo iliyoumuka kama bataDaaah mkuu nimejikuta nimecheka ile mbayaaa😂😂😂😂 kuna jamaa angu mmoja wakati wa chuo alikuwa hazipendi mustach basi kila akienda kunyoa huwa anazitoa zote, sasa ule mdomo wa juu unavyoumuka mimi nilikuwa nikimuona sina mbavu😂😂😂, sitokuja kunyoa mustach mimi.
😁😁😁😁Halafu ukinyoa mustache sura inakuwa serious sana,muangalie hata Jiwe utaona
Mkuu umefufuka?Ni kweli, mtu akinyoa sharubu muda wote sura inakua kama unazomea....haupendezi kabisa!!!!
Ndio, naomba na rambirambi yanguMkuu umefufuka?
Karibu tena mkuu.Ni kweli, mtu akinyoa sharubu muda wote sura inakua kama unazomea....haupendezi kabisa!!!!
Uzuri unabaki na uhandsome wako hata ukinyoaUle muda ndevu na sharubu zinaanza kuota huwa ni very critical sana kwa wanaume.
Unatakiwa uwe makini sana kuassess una ngozi aina gani. Ukikosea ukanyoa na wembe au ukaenda kwa vinyozi hewa utatokwa na mapele yatakayoacha makovu ya milele.
Mimi huwa siangalii mambo ya kupendeza ama kutopendeza. Ratiba yangu nazinyoa kila baada ya wiki 3 no matter what. Kunyoa mara kwa mara nako kunachangia kukomaza ngozi.
Unforgetable
daaaahhhh. Nimecheka balaaa, khaaaaaaKuna mwalimu wetu enzi hizo-Popatlal sec School. Aliingia darasani kanyoa ndevu zote, alikua kama anapuliza moto....watu walicheka mpaka aka hakrisha kipindi kwa wiki nzima.