Wakuu nadhani mko salama,.
Ntajaribu kutumia codes isijekua wahusika wako humu nikawa nimechomoa betriii,.
Ni hivi,.
Kuna last born wa bibi yetu ambaye mwaka huu mwezi9 anatarajia kufunga ndoa,. Yaani process zote za uchumba na mahari zishafanyika na kamati zishaundwa watu tunaendelea tu...