wanasiasa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Logikos

    Tunawalaumu Wasanii kwa kufanya Usanii (sio Wanasiasa) badala ya Kulaumu Wanasiasa (Watunga Sera) kuleta Usanii

    Sio tu kumekuwa na Kasumba ya Cancel Culture; bali kutegemea baadhi ya watu kuwa malaika na kuwalaumu, badala ya lawama hizo kuzipeleka kwa mashetani tunaowalipa... Binafsi lawama kwa wasanii tazipeleka pale wakitoa kazi mbovu (sitaisikiliza) na sio kuangalia msimamo wao katika jamii au busara...
  2. Mjanja M1

    Wanasiasa acheni kuchochea hasira kwa wananchi

    Kilasiku mnatoa matamko kwamba Tanzania ni nchi Tajiri na ina rasilimali za kutosha ndio maana majirani na mataifa mengine ulimwenguni yanachochea machafuko hapa nchini. Mlishawahi kujiuliza ni kwanini mnakopa pesa kila uchwao na mkikosa mikopo mnakuwa na unyonge na kusema tuna hali mbaya...
  3. A

    KERO Kama Chuo Kikuu Huria (Open University) kilitengenezwa kwa ajili ya Wanasiasa pekee, mngetuambia mapema

    Kwa miaka yangu mitatu niliyokuwa hapa chuoni nimeona Walimu wetu wakionyesha dharau na kutosimamia majukumu yao sawasawa na kwa wakati. Miaka yote kumekuwa na tatizo la kuchelewa kwa matokeo, unaweza kuwekewa matokeo wiki mbili baada ya Graduation na ukakosa nafasi ya ku-graduate mwaka husika...
  4. Ileje

    CDF Mkunda amechangia kwa kiwango kikubwa kutokea mauaji ya maangamizi ya wananchi

    Tangu tupate Uhuru haijawahi kutokea Mkuu wa Majeshi (CDF) kulihutubia Taifa kwa njia yo yote ile. Jambo lililo wastaajabisha wengi ni pale CDF General Mkunda alipojitokeza mbele ya vyombo vya habari na kumuunga mkono IGP katika harakati za kuua wananchi kwa kisingizio cha kuzima maandamano ya...
  5. KikulachoChako

    Hivi wanasiasa wetu wateule wanakula viapo kwa sababu za kiimani za dini zao au ni kutimiza wajibu tu wa majina yao?

    Hivi wanasiasa wetu wateule wanakula viapo kwa sababu za kiimani za dini zao au ni kutimiza wajibu tu wa majina yao?
  6. Black Opal

    PostGE2025 Kesi ya Ugaidi ina Dhamana? Kwanini Viongozi wa CHADEMA wamepata Dhamana? Kuna presha ya maridhiano?

    Kwa mujibu wa sheria za Tanzania mtu anayetuhumiwa au kushtakiwa kwa makosa ya ugaidi hawezi kupata dhamana, kitu ambacho tulikitegemea kwa viongozi wa CHADEMA kina Lema, Heche, Boni Yai na Golugwa. Wawasumbue weee kama wanavyomsumbua Lissu, mwishoni DDP aseme hana nia ya kuendelea na kesi hiyo...
  7. Sax

    PostGE2025 JWTZ ni "Jeshi la Wananchi" au "Jeshi la Wanasiasa"?

    JWTZ Haina Sifa ya Kuwa Jeshi la Wananchi Katika muktadha wa mageuzi ya kijeshi na kisiasa duniani kote, tunapaswa kujiuliza: je, Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) lina sifa ya kuitwa "Jeshi la Wananchi"? Au ni jeshi la watawala na wateule wachache? Ingawa JWTZ inajivunia historia ndefu ya...
  8. Idugunde

    GE2025 Factum probandum imeyeyuka . Wanaona aibu kufuta kesi. Kutumia Mahakama kunyanyasa wanasiasa ni aibu

    Ushahidi ambao waliutegemea kuwa msingi wa kumtia hatiani Lissu umekataliwa na mahakama. Factum probandum. How can they prove then? Hata mashahidi waliofuafa walitegemea kukazia huu ushahidi uliokataliwa. Ndio maana leo wametoka nduki Kutumia mahakama kunyanyasa Wazalendo kama Tundu Antipasi...
  9. Kitimoto

    Madhambi ya Wanasiasa wa Tanzania na Madhara ya Utawala wa Kidikteta

    Tanzania ni taifa lenye historia ndefu ya umoja na amani, lakini pia ni taifa ambalo limekumbwa na changamoto kubwa za kisiasa, hususan katika kipindi cha miaka ya karibuni. Wakati wengi wanajiunga na siasa kwa lengo la kuhudumia jamii na kuleta maendeleo, wapo baadhi ya wanasiasa ambao hutumia...
  10. M

    Vitisho vinavyotolewa na Majeshi na wanasiasa likiwemo himizo la kulinda amani ni ishara tosha Serikali na CCM wanayaogopa Maandamano!

    CCM na Serikali inatambua Fika Maandamano ya wananchi ndio njia pekee ya wao aidha kuondoshwa madarakani au kulazimika kukubali matakwa ya wananchi ambayo hawataki kuwapa. Njia zote nyingine ikiwemo ya kukaa mezani haziwezi kuzaa matunda kwani tayari CCM wanajua namna ya kucheza ulaghai kwa...
  11. H

    GE2025 Lengo la maandamano liwe kuikomboa Tanzania kutoka mikononi mwa viongozi wabovu na mafisadi siyo kubadili wanasiasa

    Watanzania huu siyo wakati wa kufanya maandamano ili kuuuweka upinzani madarakani ila ni kuondoa uongozi mbovu na wa kifisadi unaosababaisha maisha magumu kwa wananchi huku hao wachache wakifaidi keki ya nchi hii. Katiba na mengineyo itakuja baada ya nchi hii kuwa ktk mikono salama sivyo hata...
  12. Lord Denning

    Ni kichaa tu atatunza amani ili Wanasiasa, Viongozi na familia zao waishi maisha ya ukwasi kwa Ufisadi wa pesa za Umma

    Kuelekea tarehe 29 Oktoba 2025 napenda kuwaambia hawa wanasiasa mafisadi wanaotulisha propaganda za amani ili waendelee kuishi vizuri kwa ufisadi wanaofanya kwenye kodi zetu na mali zetu wanachi. Safari hii Wananchi tumekataa kuitunza amani ili wao waishi maisha ya ukwasi kwa kodi zetu huku...
  13. Mhaya

    Hoja: Mapambano kati ya kizazi cha zamani cha wanasiasa na kizazi kipya

    Wana JF, Kuna jambo linanitesa kichwani siku hizi: mapambano yasiyo rasmi kati ya kizazi cha zamani cha wanasiasa na kizazi kipya. Tukiri ukweli: Kizazi cha zamani cha wanasiasa (waliobeba urithi wa siasa za chama kimoja, mapinduzi, na siasa za ujamaa) kimejikita kwenye mfumo wa heshima...
  14. MamaSamia2025

    GE2025 Viongozi wa umma, wanasiasa na watendaji wa serikali wawabane watoto wao kutopost mali wanazomiliki

    Hawa vijana wadogo wanachofanya ni upuuzi. Wazazi wao wasiwachekee. Mtoto wa kiongozi wa umma kupost kabeba maburungutu ya pesa nyumbani sio sawa. Inaleta maswali mengi sana hasa nyakati hizi za uchaguzi. Tunajua viongozi sio maskini ila hili la watoto wao kupost mali na pesa hovyohovyo lina...
  15. The Father of All

    Kwanini idadi ya wanasiasa na wachumia tumbo watumiao dini imeongezeka?

    Kwanini tuna wachungaji, mashehe, wanasiasa na matapeli wengine kama hao barani Afrika kuliko mabara yaliyoendelea kiuchumi? Je, wingi wa makundi haya unatufundisha au kututahadharisha na nini? Kwanini Afrika ina makanisa mengi sambamba na watu maskini wengi? Kwanini nchi zilizoendelea zina...
  16. K

    Wanasiasa wazalendo tumewajua uchaguzi huu!

    Wanasiasa wazalendo tumewajua uchaguzi huu! Wale wote wanaofanya vitu bila kijinufaisha wenyewe kama wakina Sugu, Popepole, Dr Gwajima, Lema, Lissu, Heche, Warioba na wengine wengi ambao wanapigania nchi na sio nafasi ndiyo wazalendo wa kweli kwa mawazo yangu. Lakini wale wote wanaonyanyasa...
  17. Jaji Mfawidhi

    Uzi Maalum wa Ahadi za Uongo za Wanasiasa kuelekea October 2025

    Wanasiasa wamekua wakitoa ahadi ya mambo ambayo wanapaswa kufanya kwakuwa wanakusanya kodi, sasa Je, ni ahadi zipi ambazo unajua kabisa ni kama mama anamwambia mwanaye baba yule anaendesha ndege anaelekea Ulaya, zile za utotoni? Mgombea Ubunge Moshi- Nitafufua viwanda vyote vilivyofilisiwa na...
  18. R

    Kupanda majukwaa ya kisiasa ni vita kama vita zingine, tuwaombee wanasiasa

    Salaam! Kuitaka Nafasi yoyote kisiasa ni sawa tu na Askari anapokwenda vitani maana unaenda kuhatarisha uhai wako kulinda nchi, ukishinda nchi imeshinda, ukishindwa, jirani yako ,adui yako anashangilia. Sasa matukio ya majukwaa ya kisiasa ni mengi, yote hulenga kuongeza ushindani Ili mshindi...
  19. Just Pray

    GE2025 Coaster Kibonde: Polepole anatuita wanasiasa uchwara kisa nimesema nitampa kazi Rais Samia

    Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Makini, Coaster Kibonde katika uzinduzi wa kampeni za kitaifa za chama hicho uliofanyika Septemba leo 02, 2025 Manzese Jijini Dar es Salaam amvaa vikali Humphrey Polepole kisa kauli yake ya akishinda Urais atampa kazi Rais...
  20. S

    Mtazamo: Rost tamu anaweza kutangulizwa ili wanasiasa wa kundi lake wabaki salama. Lengo asije kutumika kuwataja siku moja huko mbeleni

    Huyu mtu ameshachafuka sana na ni hatari kwa kundi zima kwani kuna siku anaweza kutakiwa kuwataja wenzake katika kundi. Kwa msingi huo, mimi naona yuko hatarini kwasababu wanasiasa anaoshirikiananao wanaweza kumtanguliza ili kupoteza ushahidi kwani yeye kwa sasa ndio main suspect. Kama ana...
Back
Top Bottom