Alloyce PR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2020
- 704
- 801
"Hebu tafakari:
Mwanasiasa anasimama mbele ya wafuasi wake na kuanza kuwaponda viongozi wa Serikali kuwa hawana akili au ni wajinga, akidai hawawezi kuleta maendeleo; wakati huo huo, huko anakotoka ameshindwa hata kuwahamasisha na kuwawezesha vijana wa chama chake walau kujiajiri. Katika mazingira kama hayo, ukiitwa 'nguchiro' una sababu gani ya kulalamika?
Ni muhimu kwa wanasiasa kutambua kuwa mjinga huvutiwa na matusi, kejeli, na kila aina ya maneno yaliyojaa upuuzi. Hata hivyo, mtu mjanja na mwerevu huvutwa na hoja zenye mashiko, wala si makelele yasiyo na tija kama ya nguchiro." — Alloyce, P.R.
Mwanasiasa anasimama mbele ya wafuasi wake na kuanza kuwaponda viongozi wa Serikali kuwa hawana akili au ni wajinga, akidai hawawezi kuleta maendeleo; wakati huo huo, huko anakotoka ameshindwa hata kuwahamasisha na kuwawezesha vijana wa chama chake walau kujiajiri. Katika mazingira kama hayo, ukiitwa 'nguchiro' una sababu gani ya kulalamika?
Ni muhimu kwa wanasiasa kutambua kuwa mjinga huvutiwa na matusi, kejeli, na kila aina ya maneno yaliyojaa upuuzi. Hata hivyo, mtu mjanja na mwerevu huvutwa na hoja zenye mashiko, wala si makelele yasiyo na tija kama ya nguchiro." — Alloyce, P.R.