wanasiasa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JOYOPAPASI

    Watanzania lazima bwawa la Rufiji likamilike, Wanasiasa njaa pembeni

    Vita ya mradi wa Rufiji sio ya kwanza Afrika. HUENDA wengi hawajui visa vya mabwawa ya kufua umeme na historia ya Afrika. Nimeona bora niwaelimishe. Mabwawa haya yana kitu kinaitwa 'geo-politics' toka zamani na yapo mabwawa ambayo yamewahi kuhujumiwa ili yasijengwe. Miongoni mwa mabwawa hayo...
  2. Johnny Sins

    Luqman Maloto: Wataalam ni chukizo kwa wanasiasa

    FEBRUARI 7, mwaka huu, China ilimpoteza daktari bingwa wa macho (ophthalmologist), jina lake ni Li Wenliang. Alikuwa kijana mdogo. Oktoba 12, mwaka huu, angetimiza umri wa miaka 34. Wenliang alikuwa anahudumu kwenye Hospitali Kuu ya Jiji la Wuhan. Desemba mwaka jana, alikuwa mtu wa kwanza...
  3. The Sheriff

    Si kila jengo, eneo na barabara lazima ipewe jina la Mwanasiasa au Kiongozi. Kuna Wanamichezo na Wasanii wanaopaswa kuenziwa ili kulinda historia yetu

    Marehemu mzee Morris Nyunyusa Nina jambo moja ambalo huwa linanitatiza kidogo. Majina ya viongozi wa kisiasa ndiyo yametanda kila kona ya nchi yetu. Kuanzia majengo, mitaa, barabara, taasisi za elimu na nyinginezo. Hili sina shida nalo na wala sina dhamira ya kulifanya kuwa shida akilini mwangu...
Back
Top Bottom