Karavati hili lilijengwa kwa nguvu na mchango wa wananchi miaka mingi iliyopita, lakini hadi leo bado lipo katika hali inayotia wasiwasi mkubwa.
📍 Mahali: Mkoa wa Pwani, Mkuranga, Kata ya Vikindu, Kitongoji cha Madafu.
📍 Linaunganisha maeneo ya Chatembo na Madafu kupitia kiwanda cha samaki...