wakuu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. BabaMorgan

    Kuna baadhi ya vyumba vinatisha wakuu

    Chumba changu cha kwanza kupanga hapa DSM kilikuwa kipo vibaya ila kutokana na hali ikabidi nikizoee licha ya uchakavu wa chumba changu ili kuna baadhi ya vyumba mitaani vilikuwa too much nikakumbuka kuna mshikaji alipata kazi ya kupuliza dawa ya mbu kwenye wilaya fulani alikuwa akiniambia...
  2. issac77

    Wakuu zinaa sio dili tulia na wako mmoja anatosha ona wenzetu anavyoyeseka

    Sijui gonjwa Gani hili limembutua kwa starehe ya siku moja
  3. L

    Wakuu nna biashara nyingine nauza

    Habari za Jumamosi Wakuu,nna biashara wakubwa zangu nauza,biashara hizo ni pamoja na (1)Samick 12 Channel Mixing Console Model no SM-1200p hii naitakia 500,000. (2)Jebson SD 1 Table top Mixer hii naitakia 400,000. (3)Lenovo Mini Laptop,Battery iko poa sana 2hr,hii naitakia 200,000.Naambatanisha...
  4. jaqson

    Habari wakuu

    New member hapa, naona kuna member wengine wana blue tik hivi ndio kusema? Like MshanaJR
  5. M

    Wakuu nauza UNGA wa uji lishe

    Habari Katika harakati za kujitafuta nimeamua niingie kwenye ujasiriamali ambapo natengeneza uji mzuri wa uji wa lishe ambao una faida kiafya kulingana na viambata vyake ambavyo nimetumia UNGA huu unatumiwa na watu wa rika zote kuanzia watoto wadogo Hadi watu wazima Lakini pia una faida Kwa wale...
  6. F

    Wakuu msaada

    Political science Theology Bachelor Degree in International Relations and Diplomacy Tourism Laws Bachelor of Science in Aquaculture and Aquatic Sciences Logistics and Transport Shipping and Logistics Management Shipping Economics and Logistics Bachelor of Accounting with Information...
  7. Scared

    Kuna dogo kashinda Millioni 58 kwa kubeti. Mnashauri nini?

    Kuna dogo huku mtaani kampiga meridian bet milion 58 halafu dogo tu miaka 29 Nimejionea kwa macho yangu betting inalipa. Hapa anatuomba ushauri ma broo wake asijui tumpe ushauri gani Wanajukwaa najua vichwa vyenu vina IQ huyu dogo awekeze kwenye nini hii pesa kabla hajaanza starehe maana...
  8. Fufua Tumaini Jipya

    Mtu anayeitwa kiparangoto ni nani? nasikia ndo anataka kukiondoa kitalu namba nne

    Leo nilikuwa Ofisini Ila nimeambiwa kuna MTU anaitwa Kiparangoto je huyu ni nani wakuu?.
  9. fact only

    Wakuu tuwe makini lock milango kabla ya kuanza kuendesha gari

    Habari wana JF. Leo nikiwa kwenye safari zangu mjini Dar es salaam Kuna gari ilikuwa inazunguka round-about, ghafla mlango wa nyuma ulifunguka na akadondoka mtoto umri kama miaka 4 hivi. Na dereva aliyekuwa anaendesha hilo gari hajajua kwamba mtoto kadondoka, Kwa nyuma pia kulikuwa kuna gari...
  10. 1Africa54

    Habari wakuu wa kaya Naomba Ushauri juu ya uchimbaji wa Dhahabu

    Wakuu wa kaya NAOMBA USHAURI JUU YA UCHIMBAJI WA DHAHABU Kuna eneo nyeti Lina dhahabu nahitaji niwekeze Anae jua process za UCHIMBAJI anipe info mbili tatu
  11. B

    Anayejua dawa ya jino, leo sijalala

    Wapendwa sijalala naugilia maumivu jino linanitesa hua linauma linaacha nimetumia dawa dawa hapo kati lakini Leo limeniamulia. Kuhusu kutoa nimetoa meno kama ma 5 tokea udogoni Hadi hivi ukubwani pia mwaka Jana nilitoa ma wili kwakupishana miezi nilihisi nitapumzika Sito pata tena shida mwaka...
  12. Expensive life

    Wakuu, mnasemaje?

    Kwa anayefahamu udani wa hii picha anijuze hivi ilikuwa mwaka gani?
  13. Royal Son

    Wakuu hii gari inatoboa au editing za vijana

    Nimeikota hii post huko mitandaoni
  14. Melancholic

    Wakuu

    Wakuu ni sehem gani hapa dar wanatoa huduma za Wigs za kiume kwa mtu mwenye upara naomba kuwasilisha
  15. Mr Beach Boy

    Pressure cooker Wakuu hii sio hatari?

    Pressure cooker yangu naiosha sana ila bado inakuwa kama inatoa kutu na maji yanabadilika rangi kuwa kama meusi hata wali unabadilika rangi.. Nimeosha sana na Steel wire Ila bado nitumie njia gani? Nisije kuwa nakula sumu bila kujua
  16. Ponjoro wa Kinondoni

    Mkimsema vibaya Mh. Rais naumia sana wakuu, naona kabisa mnanizibia riziki

    Wakuu kwanini msikae kimya tu hata kama mnamchukia? Huu ni wakati wetu wa kutamba na mama yetu. Nyie tulieni ikifika zamu yenu mtatamba na wakwenu. Mnanikosesha amani, nikiongea mnaanza kuniita Ponjoro wa Kinondoni , jina sio baya sana ila mtulie nasisi tule keki ya taifa, tukishiba mtakuja na...
  17. L

    Wakuu nna biashara nauza

    Habari za jioni wakubwa?Wakubwa nna biashara nauza,biashara hizo ni pamoja na,. (1)Focusrite Scarlett 18i20,hii ni soundcard for Professional recording studio naitakia 1,700,000. (2)Scarlett solo,hii ni kwa home studio naitakia 350,000 (3)Garmin Heart Rate Monitor,hii ni mikanda ya kuvaa...
  18. mbozimbozi kumwitu

    Kwanini Askofu Gwajima anasema wakuu wa nyombo vya ulinzi kulindwa na kulipa mishahara mizuri na wafanyakazi wao?

    1. Kufanya wafanye kazi kwa weredi na ustadi wa Hali ya juu sana 2. Kutoka kuendesha na kutumika na wanasiasi kwenye mambo ya siasi kisa njaa na familia zao. 3. Kuwafanya wafanye kazi zao bila presha yoyote kutoka kwa mtu yoyote. 4. Kufanya wawe na confidence na wasimuogope mtu yoyote na kuhofua...
  19. Mr Beach Boy

    Mbona kama nashindwa kufanya Diet! Wakuu mnawezaje?

    Nawezaje kuepuka ugali. Nawezaje kuepuka wali. Maisha ya kigeto kigeto. Ugali una wanga ambao ni hatari. Wali una sukari ambayo ni hatari Sasa ntafanyaje mana migahawani hakuna diet wenzangu mnawezaje?
  20. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    Ili kuku wa mayai watage vizuri wanatakiwa wapewe dawa gani na dawa zipi haziwafai nipo najifunza wakuu

    Wakuu nipo hapa kupokea nondo zenu sijawahi fuga kuku wa mayai. Najua kuna dawa wakipewa huwa zinawazuia kuku kutaga sio dawa tu hata booster pia nyingi huwafanya wanenepeane na kuwa na mafuta na mwisho kuwafanya kuku wasitage Nakaribisha Elimu zenu tujifunze
Back
Top Bottom