[Yoh8:2]Hata asubuhi kulipokucha akaingia tena hekaluni, na watu wote wakamwendea; naye akaketi, akawa akiwafundisha.
[Yoh8:3]Waandishi na Mafarisayo wakamletea mwanamke aliyefumaniwa katika uzinzi, wakamweka katikati.
[Yoh8:4]Wakamwambia, Mwalimu, mwanamke huyu amefumaniwa alipokuwa akizini...