Mama hauwi watoto wake, bali huwakumbatia na kuwalinda.
Hata vitabu vya dini vinasema, Mtoto wako akiomba mkate huwezi kumpa jiwe.
Hata sisi tuliomba haki hatukustahili kupewa vifo, vilema na majeraha..!!
Kama kulikua na makosa mama anatumia kiboko kukanya na kuadhibu na sio risasi za moto...