Wahenga walikosea sanaa

Wahenga walikosea sanaa

appoh

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2013
Posts
5,843
Reaction score
3,131
MAkosa ya kiufund yapo kila mahal hapa wahenga walikosea sanaa

Pale wanaposema mwanamke mpumbavy hujenga ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe ni makosa kinachojenga ndoa ni mdomo sio mikono hata kubomoa ni mdomo kauli njema ni msing wa aman na furaha katika ndoa wanawake weng ni vibur jeur wajuaji
 
Wahenga hawaishi kwenye utashi wako...

Kama huwezi kuwaelewa wahenga, utaweza kumuelewa nani?
 
Back
Top Bottom