wafanyakazi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    JamiiForums Tanzania KERO Wafanyakazi Kiwanda cha Saruji cha Maweni Limestone Limited - Tanga tunaishi kwa uchungu mkubwa, hatuna mikataba, bima wala likizo

    Wafanyakazi wa Kiwanda cha Saruji cha Maweni Limestone Limited kilichopo Maweni mkoani Tanga tunaishi kwa uchungu mkubwa, tulikuja hapa miaka iliyopita kama vibarua kwa ahadi ya kupewa mikataba baada ya miezi 6. Tulipata ajira Mwaka 2023 na wengine 2024 lakini hadi leo Julai 2026 ahadi hiyo...
  2. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Viongozi wa TANESCO, TAKUKURU, Osha, MCA wachunguze mradi wa umeme Dodoma – Kilosa, Wafanyakazi wanaonewa

    Mimi ni mfanyakazi wa mradi wa umeme (neg 2 lot 1b Dodoma to Kilosa ) mradi huu amepewa mkandarasi mkuu Tibea ltd (mchina) ambaye naye ameajiri Taasisi ya Tabono ltd ambayo ndio inahusika na mikataba ya wafanyakazi. Kero kubwa ni kwamba gharama za maisha zinazidi kupanda kila siku lakini cha...
  3. Milvik Tanzania

    JamiiForums Tanzania Kuongeza Ufanisi wa Wafanyakazi Wako: B2B Bima za Afya, Maisha na Ajali (Pamoja na Familia Zao!)

    Heshima kwenu wakuu, Katika ulimwengu wa biashara wa sasa hapa Tanzania, rasilimali watu ndio injini kuu ya mafanikio ya kampuni yoyote. Wafanyakazi wakiwa na amani ya nafsi (peace of mind), ufanisi kazini (performance) huongezeka mara dufu. Je, unajua kwamba unaweza kulinda afya na ustawi wa...
  4. A

    JamiiForums Tanzania KERO Wafanyakazi wa Hospitali ya Ekenywa, Magomeni Mwembe Chai hatulipwi kwa wakati

    Wafanyakazi wa Hospitali ya Ekenywa iliyopo Magomeni Mwembe Chai tunapenda kuwasilisha malalamiko yetu kuhusu changamoto tunazopitia katika sehemu yetu ya kazi. Kwa muda sasa tumekuwa tukikabiliwa na matatizo ya kutolipwa mishahara kwa wakati pamoja na kutolipwa malipo ya muda wa ziada...
  5. A

    JamiiForums Tanzania KERO Wafanyakazi wa NSSF hawatusaidii waajiliwa wa private sectors kupata stahiki zetu kutoka Kwa waajili wetu

    Hii changamoto ya wafanyakazi wa NSSF haswa wakaguzi wanaopewa majukumu ya kwenda kukagua katika taasisi mbalimbali kutotimiza majukumu Yao vizuri. Nimekumbwa na changamoto hii baada ya kupeleka malalamiko yangu katika Moja ya ofisi za NSSF zilizopo hapa Dar es salaam kwamba Kwa kipindi kirefu...
  6. Moto wa volcano

    JamiiForums Tanzania Wafanyakazi wa ma Kampuni ni kero wanataka Percent ktk Project za watu

    Wafanyakazi wa makampuni ya ki bongo wanakera sana , inapotokea umefanya kz na kampuni yao wakijua kuna malipo mazuri utapokea , unakutaka mtu anajitokeza Mkuu utaniachaje. Ukichomoa wanakufanyia mizengwe kwenye kupata malipo yako kwa wakati .
  7. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Wafanyakazi wanaolipwa mishahara duni na kufanya kazi masaa mengi kwa siku wanatamani angalau kwa wiki siku moja yatangazwe maandamano ili iwe offday

    Hamjambo! Hii ni maajabu. Nasindwa kuhelewa. Katika mishemishe zangu huko nikatokea kijiwe fulani hivi huko mjini kati. Sasa wale vijana wanafanyia kazi katika moja ya viwanda hapa jijini. Vijana wanakuambia, kazi ni ngumu sana. Kazi wanafanya Masaa zaidi ya 12. Malipo ni kidunchu. Siku za...
  8. SamuraiJack

    JamiiForums Tanzania Mishahara minono kwa kwa wafanyakazi wa NIDA

    .
  9. A

    JamiiForums Tanzania KERO Jinsi kampuni ya mikopo inavyotunyanyasa wafanyakazi wake

    Naandika waraka huu kwa masikitiko makubwa nikiwakilisha sauti za vijana wengi ambao wanapitia mateso na unyanyasaji ndani ya kampuni ya utoaji mikopo iitwayo Orbit Microfinance Services inayofanya shughuli zake Zanzibar. Kampuni hii imekuwa ikiendesha utaratibu wa kuajiri vijana unaoambatana...
  10. Equation x

    JamiiForums Tanzania Kazi zipo ila wafanyakazi wenye sifa sahihi za uzalishaji kwa vitendo ndio hakuna

    Wapo watakao kuja na vyeti vingi na ufaulu wa A+ na kusema wana sifa sahihi za kupata kazi, lakini ukiwapa kazi wafanye kwa vitendo wanashindwa na kupelekea kupata hasara au kushuka kwa mauzo/faida. Mfano: Kiwanda X kinazalisha baiskeli 1000 kwa siku, na ili kiwanda X kiendelee kuzalisha na...
  11. N

    JamiiForums Tanzania Je, unawafahamu wafanya-kazi wa USALAMA WA TAIFA?? Uliwahi kuwaona?? Wasome hapa.

    NB: Nina Akili Ndogo Sana. #USALAMA_WA_TAIFA Je, unawafahamu watu wa Usalama wa Taifa?? Uliwahi kuwaona?? Uliwaona lini?? Uliwaona wapi?? Uliwezaje kuwatambua kama hao ndio wenyewe na sio wanakudanganya?? Nini maana halisi ya Usalama wa Taifa?? Ndugu yangu Mtanzania, sasa ngoja leo...
  12. Kilimi

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Wafanyakazi 50 Kiwandani- Kibaha

    vigezo-wawe na namba ya nida , -wawe na sehemu ya kukaa kibaha - wawe wanaume tu -wawe waaminifu - wawe tayari kwa kazi -mshahara 200k kwa mwezi -whatsap tu 0657392242
  13. A

    JamiiForums Tanzania Wafanyakazi wa BCEG Mbezi Beach tunashukuru Mamlaka Kufanyia Kazi Malalamiko yetu

    Siku chache zilizopita tuliwasilisha malalamiko kuhusu changamoto tulizokuwa tunakumbana nazo katika eneo letu la kazi la BCEG Mbezi Beach, ikiwemo madai ya makato ya michango ya NSSF kutowasilishwa pamoja na masuala mengine ya ustawi wa wafanyakazi. Hoja ya awali ~ Waziri wa Ujenzi na RC wa...
  14. H

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Kwanini ofisi za ardhi Manispaa ya Sumbawanga bado zinatumia wafanyakazi wa kujitolea

    Habarini, Ofisi za ardhi Manispaa ya Sumbawanga imeendelea kuwatumia watumishi wa kujitolea richa ya wananchi kulalamikia jambo hili mara kwa mara kwenye ngazi husika. Kuna watu wapo pale tangu 2010 wanajitolea tu hadi leo wakiilalamikiiwa wwanapumzika kidogo halafu wanarudishwa kitu ammbacho...
  15. Mlalamikaji daily

    JamiiForums Tanzania KERO Serikali imewadhulumu madaraja wafanyakazi walioajiriwa mwaka 2014 na mpaka leo hakuna mtetezi

    Wale walioajiriwa mwaka 2014 walikaa miaka 7 (miaka saba) Kwa lugha ya who are you (SEVEN YEARS) bila kupata nyongeza wala kupandishwa daraja bila kosa lolote! imagine kuanzia mwaka 2014 wakaja kupanda daraja mwaka 2021! pamoja na nia nzuri ya serikali LAKINI kuna haja ya kufidiwa hili daraja...
  16. K

    JamiiForums Tanzania Miaka 60 ya Big Jo: Suala la Hisa kwa Wafanyakazi wake bado kitendawili

    Ndugu yetu katimiza miaka 60 siku ya leo. Tunampongeza. Lakini suala la Wafanyakazi kumiliki hisa za CMG bado imekuwa kitendawili. Suala hili la Hisa Wafanyakazi wa CMG wanalitaka Sana lakini bahati mbaya Sana hata Marehemu muanzilishi hakubahatika hata kuwa na hisa 1 na akafa akiwa hana hisa...
  17. M

    JamiiForums Tanzania Kila sehemu kuna unyanyasaji lakini ni kwanini tumezoea kusikia wafanyakazi wa kiafrika wakinyanyaswa zaidi kwa waarabu kuzidi kwa wazungu ?

    Tatizo huwa ni lipi licha ya baadhi ya waarabu kuwa na mioyo safi ila imekuwa kawaida sana kupata malalamiko ya wafanyakazi wengi wakinyanyaswa nchi za waaabu ?
  18. A

    JamiiForums Tanzania KERO Ngara, Kagera: Wafanyakazi wa shule ya Mchungaji Mwema tunaomba kusaidiwa ili shule itupe haki zetu

    Tunaomba Serikali iingilie kati kuhusu maslahi ya Wafanyakazi wa Shule ya sekondari Mchungaji Mwema iliyopo Wilaya ya Ngara, mkoani Kagera Wafanyakazi wa shule hiyo tunakabiliwa na changamoto mbalimbali zinazohitaji uangalizi na hatua za haraka kutoka kwa mamlaka husika, zikiwemo: Kunyimwa...
  19. A

    JamiiForums Tanzania KERO Walimu katika halmashauri ya Mbozi hatupewi nafasi ya kuchagua chama cha wafanyakazi tunachotaka, tunalazimishiwa CWT

    Tunaomba kufikishwa kwa mamlaka husika malalamiko yetu kutoka kwa walimu wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi kuhusu changamoto inayojitokeza katika suala la uchaguzi wa vyama vya wafanyakazi. Kumekuwa na malalamiko kwamba watumishi wa kada ya ualimu wanazuiwa au kushinikizwa kubadilisha au...
  20. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Wafanyakazi wa Joshmal Hotel (Arusha) hatujalipwa mishahara wala kuwekewa NSSF kwa muda mrefu

    Naandika ujumbe huu kwa niaba ya wafanyakazi wenzangu wa Joshmal Hotel, Arusha, ili kuwasilisha changamoto kubwa tunayokabiliana nayo mahali pa kazi. Sisi wafanyakazi tumekuwa tukifanya kazi kwa muda wa zaidi ya miezi sita hadi mwaka mmoja bila kulipwa mishahara yetu. Zaidi ya hayo, hatujawahi...
Back
Top Bottom