wafanyabiashara

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    MKOPO KWA WAFANYABIASHARA WANAAGIZA MIZIGO NJE YA NCHI NA ULIPAJI WA USHURU BANDARINI 0(KOPA MPAKA SHILINGI MILION 500)

    Habari Pasipo kupoteza muda naomba niende Moja Kwa moja kwenye mada, Ukiwa wewe mfanyabiashara na unahitaji kununua mzigo Toka nje ya nchi lakini kiasi Cha pesa hakitosh au mzigo wako umekwama bandarini sababu umeshindwa kulipia ushuru basi karibu ofisin kwetu tukusaidi,e MIKOPO yetu huanzia...
  2. J

    Hii ni kwa wafanyabiashara tu tunaotoaga 10% ili tupate kazi/Tender. Tuijadili hii 10% tuiwekee utaratibu

    Katika upambanaji wa kutafuta kazi tender kutoka makampuni makubwa binafsi au taasisi za Serikali ni kawaida jamaa wanaotoa kazi kuomba 10% ya thamani ya kazi. Mfano kazi ya 10M wataomba 1M na kazi ya 100M wataomba 10M lasivyo hupati kazi. Sasa tatizo linakuja wakati unapofanya kazi!! Kazi ya...
  3. M

    Mikopo maalum kwa wafanyabiashara

    Habari Naomba nianze kutoa ufafanuzi yakinifu kuhusiana na mada niliyoleta hapo juu. Ulimwengu wa biashara hujawaji kuwa mwepesi mara nyingi huwa na mapito ya kupanda na kushika hususani hasara inapokuwa kubwa kwenye mzunguko wa biashara yako na hivyo kujikuta ukilazimika kuongezapesa nyingine...
  4. M

    Wafanyabiashara Wadogo Langangabilili Walia Kutapeliwa na Askari wa Uhifadhi

    Wafanyabiashara wadogo katika mji mdogo wa Langangabilili, wilayani Itilima, mkoani Simiyu, wameibua kilio kikubwa wakidai kutapeliwa na askari wa taasisi tatu za uhifadhi za serikali waliokuwa wakitekeleza operesheni ya kutokomeza fisi kwa zaidi ya miezi mitatu mfululizo katika eneo hilo...
  5. A

    DOKEZO Wizi wa mtandaoni (wauzaji wezi Instagram)

    Kuna watu wanauza bidhaa Instagram,lakini kumbe ni matapeli na wezi. Nashauri kuwa makini sana na watu wote wanaofanya biashara online. Mimi binafsi nimetapeliwa na Dada anajiita queen Zipporah IG.
  6. Mzee wa Code

    DOKEZO Kasalali Mageni: Wafanyabiashara wa Asia na China wakwepa kodi kwa kuepuka Malipo ya Kielektroniki

    Mbunge wa Sumve, Kasalali Mageni, ameibua hoja kuhusu ongezeko la wafanyabiashara kutoka mataifa ya Asia, hususan China, akisema kuwa pamoja na wingi wao, wamekuwa na tabia ya kukwepa kodi. Akichangia makadirio ya bajeti ya Wizara ya Fedha kwa mwaka wa fedha 2025/2026, Mageni amesema kuwa...
  7. K

    Gwajima > Wafanyabiashara wa G55

    Gwajima > Wafanyabiashara wa G55. Kwamwao elewa Gwajima mmoja ni zaidi ya G55 wote. Mfukuzeni awe huru kuongea na kusaidia taifa mapema.
  8. Waufukweni

    Wafanyabiashara Kariakoo wadai fidia TSh. bilioni 40 jengo kuporomoka

    Wakili Peter Madeleka leo amezungumza na vyombo vya habari katika viunga vya Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam – Divisheni ya Ardhi, kuhusu kesi ya wafanyabiashara waliopata hasara kubwa kufuatia kuporomoka kwa jengo la ghorofa lililokuwa katika eneo la Kariakoo. Kesi hiyo...
  9. A

    DOKEZO Wafanyabiashara wa Mkata - Handeni hatupingi kulipa kodi, tunapinga kunyanyaswa, kudhalilishwa na kukamuliwa kwa namna isiyo ya haki

    MALALAMIKO KUHUSU UKAMATAJI WA WAFANYABIASHARA NA TOZO ZISIZOFUATA TARATIBU – MKATA, WILAYA YA HANDENI Mdau wa Maendeleo na Mwana Jamii: Napenda kuwasilisha kwa umma na mamlaka husika kilio cha Wananchi wa Mkata, Wilaya ya Handeni, kufuatia tukio la tarehe 28 Mei 2025 ambapo Wafanyabiashara...
  10. Moseskyey

    Je wajua faida(umuhimu) wa website katika Biashara yako

    Hello, Guys najua wafanya biashara wengi sana hawana website na wanafikiri kuwa kwao kuwa na website yake (Online Store) kama haina umuhimu au kuona kuwa kumiliki website mpk uwe na biashara kubwa sana, sasa leo nataka niwape faida zakuwa na website yako (Online Store) 1. Kuaminika Wateja...
  11. Meneja Wa Makampuni

    Jinsi ya kuwadhibiti wafanyakazi waizi kwenye biashara yako

    Ili kujilinda Dhidi ya Wafanyakazi Wasioaminika fanya yafuatayo: 1. Fanya Uajiri wa Kiuchunguzi (Due Diligence) Usikurupuke kumpa mtu kazi kwa sababu kaonekana mpole au amesema ana shida. Fanya yafuatayo kabla hujamkabidhi chochote: Pata taarifa zake kamili – jina halisi, namba ya simu...
  12. stabilityman

    Nafundisha kusponsa matangazo yaruke Facebook na Instagram yawafikie watu wengi sana kwa wafanyabiashara

    Kama unataka kujifunza kusponsa matangazo yaruke Facebook na Instagram yawafikie watu weng saana kama wewe ni mfanyabiashara utanichek inbox nikuunge kwenye group hilo la watu wenye nia hiyo tu 0743 257 669 Nichek whatsapp
  13. Mr Why

    Wafanyabiashara wa Dar es Salaam nipeni siri ya kuuza nguo za ndani kwenye fremu ya milioni moja au zaidi kwa mwezi, je mnawezaje kulipa kodi?

    Wafanyabiashara wa Dar es Salaam nipeni siri ya kuuza nguo za ndani kwenye fremu ya milioni moja kwa mwezi, je mnawezaje kulipa kodi? Hili jambo linanitatiza sana sipati majibu, wafanyabiashara wengi wa Dar hasa Sinza wanakodi fremu za bei ghali sana lakini bidhaa wanazouza hazilingani na kodi...
  14. M

    Mkopo kwa wafanyabiashara wadogo, wakati na wakubwa

    Habari Tunajihusisha na utoaji wa mkopo Kwa wafanyabiashara kuanzia million Moja Hadi SHILING MILLION 40 Muda wa kurejesha MIKOPO ni miezi mitatu Hadi miaka Tano lakini Kwa mkopo unaoishia Milioni Tano muda wa kurejesha mkopo ni miezi 12 means maximum F Riba ni asilimia 3.5 Kwa kila mwezi...
  15. BigTall

    Baadhi ya Wafanyabiashara Dodoma wanauza mafuta ya Korie kwa kwa kuwaadaa wateja kuwa wanauza Alizeti

    Nilienda kununua mafuta ya kura na nilihitaji mafuta ya Alizeti maeneo ya Sabasaba, baada ya kufika kwenye hilo duka la mafuta na lina mchanganyiko wa bidhaa za chakula, alitoka msichana na kuniuliza ninahitaji nini? Nilimueleza nahitaji mafuta ya Alizeti akanitolea moja ya dumu la lita tatu...
  16. youngkato

    Kwanini wafanyabishara wanaotambulika wanapata wateja wengi na tenda nyingi kuliko ambao hawajulikani?

    Jibu ni Moja tu! wamesajili majina ya biashara zao Ndio, kuna ulazima mkubwa wa kusajili jina la biashara na faida zake ni nyingi kuliko watu wanavyofikiria. How👇👇 Kusajili jina unapata uhalali wa Kisheria. Unaposajili jina lako kupitia BRELA, Biashara yako inatambua rasmi. Inakulinda...
  17. Carlos The Jackal

    Mwambieni BASHE, Hasara ni kubwa Kwa Wafanyabiashara wa Bidhaa zinazoharibika mapema, Serikali iwalipe Fidia Hawa wafanyabiashara!!

    Huwezi kulala usiku, Asubuhi utoe zuio kama hilo, Bila kujua ni Bidhaa gan ' perishable goods ' ziko njiani kuelekea Nchi Jirani , na Zuio kama lake litagharimu Hasara kiasi gani. Pia soma: Bashe apiga marufuku mazao ya kilimo kutoka Malawi na Afrika Kusini kuingizwa nchini BASHE alikua na...
  18. FestoKaguo

    Tunaelekea Wapi? Umuhimu wa Crypto Kama Njia ya Malipo kwa Biashara Ndogo Tanzania

    Tumekuwa tukisikia habari au taarifa nyingi sana kuhusu cryptocurrency na blockchain. Neno Bitcoin limekuwa likitawala kwenye vinywa vya wengi, hususan vijana na wafuatiliaji wa teknolojia, lakini hadi sasa, bado ni watu wachache sana walioelewa kikamilifu maana na matumizi halisi ya teknolojia...
  19. Kitchener

    Short Notice ya Malawi yaleta hasara kubwa kwa wafanyabiashara Tanzania

    Mfanyabiashara ameshatoa mzigo shambani ama yuko mpakani au yuko njiani kisha anakutana na notice ya kutoingia Malawi Kwanini wasitoe notice hata ya wiki mbili au mwezi mmoja? Waziri wetu Hussein Bashe ametoa notice ya wiki moja kwa wafanyabiashara wa Malawi na Africa Kusini kuwa...
  20. Yoda

    Wafanyabiashara acheni tamaa ya uchumi wa fremu na uchuuzi kila mahali

    Tamaa za Wafanyabiashara kufikiria kila mahali Panamanian kuwa na fremu na kufanyia uchuuzi ni janga kwa taifa hili na ndio imesababisha hata Dar es Salaam kukosa open spaces za umma. Shule sio kitu cha kupunguzwa bali kuongezwa kila mahali, ni bora mngependekeza makanisa na misikiti kupunguzwa...
Back
Top Bottom