Mimi nafanya kazi za serikali.
Nalipa kodi zote, iwe za TRA, NSSF, WCF, OSHA,FIRE, WMA, Weights and Measures, Hali ya Hewa, City Levy,
Achana na kodi za maisha kama Fuel Levies, Umeme, Kodi ya Majengo n.k.
Wabunge wamepiga kelele kwa niaba yetu lakini ni kama kuongea na jiwe.
Wakati huo huo...