wachina

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Roving Journalist

    Waziri wa Ujenzi aagiza Wakandarasi Wachina wanaokwamisha ujenzi wa Barabara wawekwe ndani

    Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ameagiza kuwekwa ndani kwa wakandarasi wa kampuni kutoka China ambao wameshindwa kutimiza masharti ya mkataba wa ujenzi wa barabara ingawa serikali imetimiwa wajibu wake kwa kulipa sehemu ya malipo. Ulega amesema juhudi za kutaka vigogo wa kampuni hiyo kuja...
  2. X

    Hatimaye Wadachi wamewarudishia Wachina kampuni ya Nexperia

    Serikali ya Uholanzi imesitisha uamuzi wake wa kuingilia kampuni ya kutengeneza chipu, Nexperia, inayomilikiwa na China, baada ya mazungumzo kati ya pande hizo mbili. Mnamo Septemba, serikali ya Uholanzi ilisitisha kampuni hiyo kutokana na wasiwasi kuhusu usalama wa upatikanaji wa chipu barani...
  3. L

    Huduma baada ya upasuaji iliyotolewa na madaktari wa China yamwezesha mgonjwa nchini Sudan Kusini kuondokana na maumivu makali

    Ushirikiano kati ya China na nchi za Afrika umedumu kwa miongo kadhaa, na kugusa maeneo mbalimbali ikiwa ni pamoja na elimu, uchumi na biashara, kilimo, na maeneo mengine mengi. Ushirikiano huu umekuwa na manufaa makubwa kwa pande zote mbili, na kubadili maisha ya watu katika nchi nyingi za...
  4. Hance Mtanashati

    Mlishajiuliza kwanini wachina hawajasema chochote mpaka sasa?

    Je, ulishawahi kuwaza au kujiuliza kwa nini wachina hawajasema au kuonesha reaction yoyote mpaka sasa ?. Nitarudi.
  5. X

    Wadachi wameyatimba kwa Wachina, kuwa kibaraka wa Marekani kumeigharimu Ulaya

    Uholanzi walikuwa na kampuni ya inayoitwa Nexperia ya kutengeneza semiconductors ambayo ilikuwa inaelekea kufirisika. Wakaja wawekezaji wa Kichina kampuni ya Wingtech Technology Co wakainunua Nexperia. Hivyo Nexperia ikawa ni kampuni tanzu ambayo inamilikiwa kihalali na Wingtech ya China. Na...
  6. Mi mi

    Trump kaandika bonge la gazeti vita aliyoanzisha na wachina imemgeukia

    Mara ya mwisho Trump kuandika gazeti refu kama hili lini ?maana kalalamika sana humu😀 mpaka namuonea huruma Ubaya mwenzake Xi hayupo kwenye mitandao ya kijamii hivyo ni ngumu kujua hata anajali wala kuzingatia lalamiko la Trump.
  7. Just Pray

    GE2025 Mgombea ubunge Tanga mjini awaahidi wananchi kuwaunganisha na wachina endapo wakimchagua

    Mgombea Ubunge wa Jimbo la Tanga Mjini kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Seif Abalhassan, ameahidi kurejesha heshima ya Jiji la Tanga endapo wananchi watampa ridhaa kwenye uchaguzi ujao. Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliohudhuriwa na Kiongozi mstaafu wa ACT Wazalendo, Zitto Zuberi Kabwe...
  8. Echolima1

    Wachina kwa Magwalide hawajambo sana!!!

    Gwaride la kijeshi la Beijing laanza na mizinga kurushwa kuadhimisha miaka 80 ya ushindi wa China dhidi ya Japan katika Vita vya Pili vya Dunia.
  9. ndege JOHN

    Mbona wachina wanavuta Sana sigara ila hawapati Sana madhara kama kansa kama watu wengine

    Ukitaka kujua wachina wanavuta sigara fanya nao kazi hata siku moja yaani NI bandua bandika kwa wastani ndani ya dakika 10 anavuta sigara zaidi ya 3 sasa nauliza mbona ukiangalia afya zao NI njema hawakooi hovyo wala kusumbuliwa na mapafu na nadhani hata lifespan Yao iko juu.Hii kitaalam...
  10. H

    Wachina Kuichangia CCM ni Ukiukaji wa Wazi wa Mwongozo wa Makampuni ya Kigeni Yanayowekeza Nchini. CCM ni Chanzo Cha Huu Uchafu Wote.

    Mwongozo wetu kwa makampuni yote ya nje, hayaruhusiwi kujishughulisha kwa namna yoyote ile kwenye mambo ya vyama vya siasa na siasa kwa ujumla. Jambo la ajabu, tumeambiwa kampuni ya China imeichangia CCM. Hiyo tayari ni ukiukaji dhahiri wa mwongozo mkuu wa makampuni yanayowekeza nchini. Lakini...
  11. V

    WACHINA waliruhusiwaje kuchangia CCM. Sheria zinasemaje ?

    Nchi nyingine wana sheria kali dhidi ya kuchangiwa pesa kutoka nje ya nch au na wasio raia. Hawataki nguvu au mawazo ya watu Urusi iamue nani anatawala Wafaransa, kwa mfano. Kwa saab ni lazima ana lake jambo, la maslahi yake yeye, vinginevyo anajali nini, mambo ya Wafaransa yanamhusi nini...
  12. M

    Waafrika tumeshindwa kusimamia miradi na kutumia rasilimali zetu kwa manufaa yetu. Ni vyema tukakiri udhaifu huu na kuwaleta wazungu watusaidie

    Waafrika wengi wanapokuwa nje ya mfumo rasmi huonyesha dhamira ya kweli ya kutetea haki na kuleta mabadiliko. Hata hivyo, wanapopata nafasi za mamlaka, husahau majukumu waliyoahidi kuyatekeleza. Madaraka hubadilika na kutumika kwa manufaa binafsi, kutumia kodi na misaada kama pocket money...
  13. ndege JOHN

    Wamasai mikanda yenu ya ngozi inadumu Sana mnakosa hela jiongezeni igeni wachina

    Mnatembeza mikanda Katika ma bar watu tumenunuaga mikanda Miaka kumi nyuma huko na bado tunayo.hela ngumu jamani tutanunua mikanda mingapi punguzeni ubora wa mikanda ili angalau kila mwaka tununue mikanda.
  14. Mindyou

    GE2025 Video: Hawa Wachina kwenye mkutano wa ACT kulikoni? ACT mmefanya kosa la kimkakati sana

    Wakuu, Sijapenda kabisa kuwaona hawa Wachina kwenye mkutano wa ACT Wazalendo. Hawa Wachina wako AGAINST DEMOCRACY na ni marafiki wakubwa sana wa chama cha tawala. Hawa wachina ndio ambao wana kile chuo cha Uongozi kule Kibaha kwa ajili ya "kutrain" viongozi wa CCM Mfumo mzima wa demokrasia...
  15. matunduizi

    Kwa nini Wachina na Wahindi hawasambazi dini KWA bidii kama Waarabu

    Wachina wanadini ZAO, wahindi ndio balaa. CA ajabu watu wa haya maeneo hawana kiu kubwa ya kutaka watu wajiunge na dini yao kama Waarabu. Sababu ni nini?
  16. Carlos The Jackal

    Tungekua na Vyombo vya Dola huru, Kwa Manufaa ya Taifa, Umoja, Mshikamano na Maendeleo thabiti yanayowaunganisha Watanzania

    Niliwahi Uliza , Huu Utekaji, Mauaji, Ufungwaji wa Makanisa, Majaribio ya kuua Viongozi wa Dini, Kumpa LISSU kesi ya kihuni, Kuzuia CHADEMA , kujtahidi sana Mbowe kua Mwenyekiti wa CHADEMA, kufadhili CHAUMA, haya yoooote ni sababu ya Urais wa Miaka mitano tu?. Urais ambao Hayati Magufuli...
  17. JanguKamaJangu

    Richard Nzagi: Mafinga ina Watoto wengi wa Kichina, Wachina wanaacha Watoto wengi wanapopita kwenye miradi

    Mkaguzi Msaidizi wa Idara ya Uhamiaji Mkoa wa Iringa, Richard Nzagi anajibu swali kuwa “Endapo Mtanzania atapata ujauzito na raia wa kigeni, iwe ni mtalii au ameingia nchini kwa njia nyingine halali—halafu huyo mgeni akaondoka kabla mtoto hajazaliwa, je mtoto huyo anakuwa raia wa wapi?” Idara...
  18. M

    Machimbo ya dhahabu ambayo kuna WACHINA yapo wilaya gani mkoa wa Singida na Mbeya?

    wakuu naombeni mnipe uelekeo wilaya zenye wachina kwenye machimbo au migodi ya dhahabu inayopatikana kwenye mikoa ya Singida na Mbeya NB: Kama kuna wachina kwenye mikoa ya Geita na Shinyanga mkinielekeza itakuwa poa sana wakuu.
  19. Fbn

    Wachina ni wachaga waliochangamka tabia zao ni zinafanana

    Kama unataka kumfahamu mchina basi nenda kwa mchaga kwanza kujua wapoje.Wachina ni watu ambao wenye kukuzoom tu ufike kilele cha mlima kilimanjaro wapite na wewe. Wachina wana kamchezo kukupokea na kuwa rafiki yao mzuri wa biashara ijalishi wapo tanzania au nchini mwao.Wakiona biashara yako...
  20. Expensive life

    Madalali Dar, walalama wachina kuingilia kazi zao

    Madalali wanaofanya shughuli zao katika maeneo ya Masaki na Oysterbay, Dar es Salaam, wameiomba Serikali iingilie kati kutokana na kuingiliwa kwa biashara yao na raia wa kigeni, hasa Wachina, wanaodaiwa kufanya biashara ya udalali wanapoingia nchini. Akizungumza na Swahili Times, Kaimu Katibu...
Back
Top Bottom