Free zone ni project ambayo kwa wale wanaopenda pesa madaraka wanakurupuka ndio haya tumeona ngorongoro kwa waarabu.
Free zone nahisi na bagamoyo imeshaanza.
Kinacho fanywa kwenye project hizi wanakuwa na bandari yao au maeneo ambayo yana viwanda wavyo ndani ya eneo na hakuna wa kuwagusa...
Wachina wanakaribishwa kwa wingi Kariakoo ikibidi wafungue malls za kutosha pale Mnazi Mmoja na Jangwani ili wauze vitu nafuu tofauti na Walanguzi wa sasa. Shati la Tsh 5,000 Mkinga/Mangi anauza 30,000 Kariakoo?
Linapokuja swala la userious kwenye uwekezaji wachina hawako seriously kabisa.
Mpaka sasa tangu wameanza kuingia hapa Tanzania sijaona mradi hata mmoja walio wekeza zaidi ya kamari na kufungua fremu za biashara za kodi ya millioni 2 hadi 3.
Hebu angalia Dangote mradi aliowekeza huko Nigeria...
Mahali popote mzungu amepita kutafuta riziki huwa panaqchwa katika Hali Bora.
Williamson alitoka Canada Hadi misungwi kabla ya uhuru. Akaishia Mwadui na kuacha mji wenye hadhi ya juu sana.
Ukienda KWA Mzungu Barrick Kahama na Nyamongo ni miji inayokuwa KWA kasi na wafanyakazi hawajachoka sana...
Naomba tujadili hii maada kwa kirefu.
Mada yetu: Hivi waChina wanaobishana na Marekani ndio hawa wanaofanya uwinga Kariakoo?
Katika medani ya kimataifa, China na Marekani hushindana vikali kiuchumi na kiteknolojia, kila taifa likitaka kuwa kinara wa dunia. Vita hii ya kiuchumi mara nyingi...
Yees, baada ya wabongo wenzetu kuingiza tamaa na kutunyoosha kwa bidhaa kutokea china wakiuza na kupata faida zaidi ya mara 4, na endapo ukijichanganya kwa hawa madogo wanaojiita winga wa kariakoo utanunua kwa bei mara 10 zaidi.
Mfano blender ya 3000 watakuuzia 120,000/=...
Ukijichanganya...
Pamoja na hofu kubwa ya Ongezeko la Wachina kufanya biashara ndogo ndogo zilizopaswa kufanywa na wazawa nchini lakini wana upande mzuri pia kwa raia wengi ambapo ni watu kupata bidhaa kwa bei nafuu sana pamoja na kuwaondoa MAWINGA na usumbufu wao uliokubuhu katika biashara Kariakoo.
USHAURI KWA SERIKALI
TYSISIKILIZE HIZI KELELE ZA WAFANYABIASHARA WA KRKOO
KAMA WANALIPA KODI ILEILE ILE MNAYOHIITAJI
TUNAOMBA HAWA WATU WASISUMBULIWE WAHESHIMIKR KAMA WENGINE
HATUWEZI KUNUNUA MALI ZA 8000 LWA 60000. KISA TU KUBADILI MTAA HII N LAANA
TUNAOMBAA WATANXANIA WOTEE TUPINGR...
Mwanadiplomasia wa Kichina ameeleza hivi karibuni kuwa China haigopi kuangushwa kiuchumi na imeshajifunza kuwa wavumilivu miaka 5000 iliyopita na inataraji kuishi miaka 5000 ijayo....!!YAANI 5000 TENA!!
Hilo ni somo kubwa la kidiplomasia ambalo linatakiwa kuingizwa kwenye mitaala yetu...
Vita inayoendelea ya kupandishiana ushuru kati ya Marekani na China (ongeza niongeze) imekula kwa China, wamejipiga pini kwa kuona ni sifa kubwa kusifiwa sio waoga lakini Marekani inazidi kufurahia hii vita, Marekani wapo tayari hata kufikia hatua ya kuongeza ushuru wa China kuwa asilimia 400...
Ukraine imefanikiwa kuwaua wapiganaji kutoka China wakiwa pamoja na askari wa Urusi nchini Ukraine. Askari wawili wachina walikamatwa mateka, na wapo kwenye gereza nchini Ukraine.
China daima imekuwa ikisisitiza kuwa haiisaidii Urusi kupigana na Ukraine kwa namna yoyote ile, lakini habari za...
Inashangaza sana wakuu,
Wachina, kwenye cafes, na restaurant zao wana kila aina ya nyama🥶
👉Wapo fit physically
👉Wanafanya vumbuzi nyingi
👉Wana 1.4 billion
👉Watoto wanaozaa wapo vizuri mentally
Africa nchi nyingi zina ubaguzi wa vyakula lakini, bado hatuwafikii wachina kiafya ata thinking...
Hapa kazungumza na waziri mkuu wa Japan kuhusu hatua alizochukua kwa nyongeza ya ushuru na namna gani wanaweza fikia makubaliano na Japan.
Huyu mzee kaona haitoshi katika kuzungumzia Japan kaamua akazie kwa kuitaja China.
Ni tishio gani serikali ya Trump inapata kutoka kwa China maana kila...
Rais wa marekani Donald Trump bado anaendeleza msimamo wake juu ya nchi ya China katika suala zima la kuiwekea ushuru.
Pia Trump amehitaji usaidizi wa haraka wa Federal Reserve kuondoa interest rates. kwa kipindi cha karibuni Trump amekuwa akihishutumu Fed chini ya mwenyekiti Jerome Powell...
Ni muendelezo wa Trump na kuwakalia kooni wachina toka awamu yake ya kwanza mpaka sasa kawaweka mdomoni kweli.
Trump anasema anachofanya sasa ni mapinduzi ya kiuchumi na hakika lazima washinde japo anakili maumivu watayapitia ila wanashinda.
China has been hit much harder than the USA, not even...
Trump bwana kawakalia kooni kweli kweli wachina.
Inavyoonekana ana lala na kuwaota wachina kila siku, hii hapa ni baada ya China kutangaza nyongeza ya asilimia 34% kwa ushuru kwa bidhaa zote za kimarekani baada ya yeye Trump na serikali yake kutangaza ushuru kwa mataifa mbalimbali duniani...
Wakuu,
Tunaposema kuwa Wachina ni existential threat kwa jamii yetu ya kitanzania huwa tunamaanisha
Hapa ni GUangdong Hotel, Dar Es Salaam, huyu jamaa kasimamishwa getini anakatazwa kuingia kwenye hii hoteli na mlinzi.
Akihoji kwanini anaambiwa hiyo hoteli ni "special" kwa Wachina. Ngozi...
Acheni kujibanza kwenye kisingizio cha uzawa, wateja wanachotaka ni kupunguza ukali wa maisha.
Tunachotaka kukiona ni ladha ya ushindani wa kibiashara, haiwezekani kitu ya tsh elf 5 unauziwa mpaka elf 30, mchina anakuja kuuza kwa bei rahisi mnaanza kulia Uzalendo, ni uzalendo gani huo wa...
-Nikiwa kongwa wilayani nilienda stationary moja iko hapo karibu na kwa DC. Nilichokutana nacho toka kwa mhudumu ina justify ngozi nyeusi ifundishwe business skills na wageni. Na sasa tuna hawa wachina.
-mhudumu stationary unamuomba akupatie bahasha anakunja midomo. .
Unamuomba aweke document...
Pamoja na kwamba tunaona majengo makubwa na miondombinu mizuri inayomeremeta China ila ukweli pia ni kwamba raia wengi wa nchi hiyo hata wale wenye kipato kizuri cha wastani kwa huko kwao wanaishi maisha ya shida sana ya kubanana katika makazi.
Raia wengi wa China wanaishi kwenye vi-...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.