Kwa tathimini ya haraka Ubunge umekuwa jambo jepesi sana,niwaombe wabunge watakaopita hasa Ma prof na ma Dr wakakomae bungeni ili wabadilishe vifungu katika katiba kuhusu eneo la uwakilishi iwe kama ifuatavyo:
1. Elimu nikuanzia kidato cha 6 na kuendelea
2. Ubunge uwe na kikomo vipindi vinne...